Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,843
- 10,321
Sawa mkuu kwa kuwa wako wengi tutawagawa makundi wengine tutawapeleka nyakahako mbalagane lugongo na nyamtelela hukoMawasubiria hapa Ibondo na Nayamililo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu kwa kuwa wako wengi tutawagawa makundi wengine tutawapeleka nyakahako mbalagane lugongo na nyamtelela hukoMawasubiria hapa Ibondo na Nayamililo
Tuna bonde letu hapa la magereza kwa ajili ya kilimo so hao mamluki watatufaa sana wengine tutawapeleka igalagaliloHapo kisungamile siku hizi mna Lima mpunga ? Nataka nimuombe Putin asiwaue wake huko majarubani
Wako shamba wanapalilia mpungaSasa hivi jukwaa hili ni Pro Russia TU ndio wanatamba.
Wale wazee wa maelezo meeeengi wametoweka kuelekea kusikojulikana.
waliwalisha watu wengi sana matango pori Kwa vile wanaojua Kila aina ya silaha.
Kuna watu waliaminishwa kua Urusi ni masikini,dhaifu ,jeshi dhaifu,silaha Duni,wanajeshi wa Russia hawana nidhamu,Urusi nchi masikini,Haina high tech,hawawezi kupigana muda mrefu,Urusi ni supa pawa wa mchongo na Kila aina ya blabla.lkn watu wana msemo,usemao kua, "muda ni mwalimu mzuri",hatimae muda umesema.
Wengine tutawapeleka Nyachina karibu na Mlima Nkala kata ya NyantakubwaTuna bonde letu hapa la magereza kwa ajili ya kilimo so hao mamluki watatufaa sana wengine tutawapeleka igalagalilo
Ndo sources muhimu za kipanya44Ona hawa ng'ombe walichoandika 🤣🤣View attachment 3269417
Ukiona watu walikua mjini halafu baadae wakaenda shamba kulima ujue hapa mjini wamekimbia kwa kukosa la kufanya ha ha haaWako shamba wanapalilia mpunga
Naona umekuwa depressed baada ya kipigo Cha Kursk, hadi huna Cha kujibu umebakiwa na ukasuku wa hizo statements tatu, labda na ile ya tutazidi kuwachinjaUkraine ameshapata medali zake muhimu alizokuwa anafukuzia kwa udi na uvumba
1.resume flowing of military aid
2.intelligence sharing from USA
3.Access to satellite images
Kwa Ukraine hata akipigana miaka 10 hii si tatizo kwake, sanasana urusi atazidi kupoteza ushawishi kama alivofurushwa huko syria
Umenikumbusha mbali sana huo mlima nkala miaka ya 1977 huko pamoja na mlima wa igaka karibu na kanisa la rc ilikuwa ni misitu mikubwa sana leo hii imebaki mawe tu na vichaka ndugu zangu wamekata miti yote kwa ajili ya mkaaWengine tutawapeleka Nyachina karibu na Mlima Nkala kata ya Nyantakubwa
Naona Mzee wa The Kiev independent unazidi kujizima data. Huoni collective west wanavyohangaika kuanzia vikwazo, military aids, mercenaries, military trainers na advisors, intelligence support n.k. lakini bado hawajaweza kuikokoa Ukraine kutoka katika mkono wa The Super Bear of Siberia.Urusi hauwezi mziki wa west. ,nikumbushe pamoja na back up ya north Korea.., Belarus., Iran.,china na wengineo,bado ameshindwa kukatiisha kanchi kadogo tu Tena jirani yake
Anazidi kuweweseka, tazama majibu yake hapa chini👇👇kp kipanya44 kama msemaji wa Kiev anasemaje kuhusu hili la kuzingirwa kwa majeshi ya Ukraine huko Kursk?
Huu sasa ndo ubwaya ubwela⚡Putin made Trump's envoy Witkoff wait 8 hours while he held a meeting with Lukashenko in Moscow.