T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Sijabisha sasa wafanyeje. Mpaka sasa wamegoma kukubali kama unawahurumia sana wao wamegoma huruma wanataka kupigania nchi yao. Na huo msimamo wako wa kwamba Zelensky hafai sio msimamo wao.Sorry mkuu. Hamid Kharzai aliyekuwa Rais wa Afganstani alikwa chagua la wananchi au chaguo la Marekani?
The same kwa Libya. Aliyepewa nchi baada ya sheikh Ghadaffi kundolewa alikuwa ni chaguo la walibya au alikuwa ni chaguo la westen country? Hivyo hivyo kwa Iraq.
Ziliesky atadondoshwa soon. Ukraine itakaliwa kwa muda na russia. No matter how long. Hali itatulia na maisha yataendelea.
Mpaka sasa loser ni Ukraine.
Russia ni looser vilevile no matter how long it will take