LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Sorry mkuu. Hamid Kharzai aliyekuwa Rais wa Afganstani alikwa chagua la wananchi au chaguo la Marekani?
The same kwa Libya. Aliyepewa nchi baada ya sheikh Ghadaffi kundolewa alikuwa ni chaguo la walibya au alikuwa ni chaguo la westen country? Hivyo hivyo kwa Iraq.
Ziliesky atadondoshwa soon. Ukraine itakaliwa kwa muda na russia. No matter how long. Hali itatulia na maisha yataendelea.
Mpaka sasa loser ni Ukraine.
Sijabisha sasa wafanyeje. Mpaka sasa wamegoma kukubali kama unawahurumia sana wao wamegoma huruma wanataka kupigania nchi yao. Na huo msimamo wako wa kwamba Zelensky hafai sio msimamo wao.

Russia ni looser vilevile no matter how long it will take
 
Mkuu hv unafikiri russia kapeleka jeshi lake kamili kapeleka vibaraka tu. Na ukraine pia usiichukulie poa mzee wako vzr ila russia akiamua ni dakika tu. Na russia anajitahd kuichukua russia bila kuleta maafa makubwa. Shida media za magharibi zinawadanganya sana marekani ni propaganda tu na putin ameshawasoma vizuri.

Lile lililotabiriwa kwenye biblia naona linatimia aseee mmarekan ataanguka tu
Acha unazi mkuu vibaraka Ndio Nini? Russia always ni loser. Katika watu wanaopotezaga idadi kubwa ya wanajeshi vitani ni Urusi katika vita vyote.
Hata Ukraine hatatoa siraha zake zote. Kumbuka anacho kinu Cha Nyuklia. Unajua alikuwa anateengeneza chapati kule chenobly?
 
huu msemo kuwa binadamu wote hatuwezi kuwa sawa ni kweli kabisa.
kutokuwa sawa kimaisha,kimitazamo,kimaendeleo,kimawazo,kifikra,matendo,muonekano na n.k

unaweza kuchukua watu kumi na ukawapa kila mtu mtu elfu kumi kumi.
ila kati ya watu kumi uliowapa kila mmoja hata kuwa na utofauti na hiyo pesa uliyowapa.

jambo ambalo linanishangaza kwa sisi watanzania kushangilia mtu ambaye anatendea mabaya kwa sababu yuko mbali na wewe.

yani nimeshangaa sana vijana wa ccm wakishangilia putin kuvamia ukrain na wakimsifu putin wakati hawa fahamu kuwa putini ni moja ya watu ambao wameshikilia madaraka mda mrefu na moja ya ditekta mkubwa wa nchi hiyo.
 
It has been said that, Ukrine is the most corrupted country in the world.

lkn pia CIA wanaitumia sana Ukrine kama base yao kuipeleleza RUSSIA sasa Rusia haitaki huo ujinga either UKRINE ibaki na RUSSIA au iungane na USA ipate kichapo kikali.
UKRINE iamue yenyewe hatma yake.
Ukraine under this regime is powerful compares to the last.
 
Vita ya kuisha saa moja ina manufaa gani..Vita si kuharibu Nchi na watu halafu utatawala JANGWA LENYE MIONZI YA NYUKLIAI!! wengi wanadhani wataona makombora ya nyuklia yakitua Ukrain!!
Urusi inahitaji Ukrain yenye watu na miundo mbinu na kumweka mtu atakaewasikia aachane na NATO na Ulaya. ndio sababu ya vita.
Na hicho hakiwezekani kwa sababu rais wengi wanachukua silaha ku defend miji yao,Urusi atafakiniwa kuiteka Kyiv lakini in long run nchi haitatawalika hata siku moja...
 
Ana mpango wa kufanya re-enforcement ya 100k soldiers,mambo yamekuwa magumu..
Askari wa kirusi hawaña motisha ya kupigana kama wenzao na hapo Ndio maelfu ya wanajeshi wao watakufa. Nilitarajia atatumia mbinu kama za Irael za kushambulia Toka mbali. Yeye anakuja kichwakichwa.
 
[emoji28][emoji28][emoji28]
211873380.jpg
 
Mkuu hv unafikiri russia kapeleka jeshi lake kamili kapeleka vibaraka tu. Na ukraine pia usiichukulie poa mzee wako vzr ila russia akiamua ni dakika tu. Na russia anajitahd kuichukua russia bila kuleta maafa makubwa. Shida media za magharibi zinawadanganya sana marekani ni propaganda tu na putin ameshawasoma vizuri.

Lile lililotabiriwa kwenye biblia naona linatimia aseee mmarekan ataanguka tu
Uongo huo,hajapeleka jeshi lote lakini kala hasara ambayo hakuitegemea.

Ukraine hakuna kitu pale Hata spending ya budget Kati ya Tzn na Ukraine Kwenye Jeshi Tzn tumewazidi..

Yaani migambo wa hesbullah wanawashinda jufyatua rocket hata moja kuingia Russia?

Waasi wa Yemen wa Kihouth wanapigia hadi Riyadh afu hao wapuuzi wa Ukraine hawawezi hata jufyatua rocket moja.
 
Hautukatai kaka embu chukulia mfano mafuta wachukulie nje na ulaya unategemea nini kwenye soko? Price fluctuations bei itapanda sana na kumbuka nishati ya mafuta kila siku inapungua ndomana wana encourage kuingia kwenye technology ya magari ya umeme. Expect bei kupanda sana aseee mzee uchumi haupo kama unavofikiriaa wewe bei za mafuta zitapanda sana sio ulaya tu hadi africa mkuu.

Umeshaambiwa 75% ya nishati Europe inatoka russia sasa asitishe unategemea nini? Wote wataathirika na sio kwamba russia hawezi uza mafuta au gas atauza sana tu aseee coz soko lake lipo kubwa kwa sasa
Hizo kupanda Kwa bei nk ni lazima vitokee kwenye short term ila open wata stabilise supply..

Otherwise wazungu wataendelea kunyanyaswa na Russia miaka yote wasipochukua hatua saizi hata kama zitawaumiza kwa mda mfupi kwa sababu wao wameendelea wanaweza ku survive.

Saizi Russia kawatishia Sweden na Finland kwamba marufuku kujiunga NATO sasa hizo ni Nchi au wake za Russia? Majeshi yao Kazi yake ni nini hasa?
 
Mkuu naomba unipe source iliyoseka Russia wamejipa masaa 72 maana tangu mzozo niufuatilie sijaona hiki kitu. Ni kuteka viwanja vya ndege, Ukraine kuvikomboa tena, kuingia mjini kukutana na Molotov cocktails na vizuizi vya rais. Intel ya NATO jana imesema malengo yote ya Urusi hajayatimizwa hata moja.

China kakataa kukaa kwenye mjadala wa UN jana na kashaishauri Urusi ifanye mazungumzo. China yuko neutral na vikwazo vya Marekani lazima makampuni ya China yavizingatie (baadae miezi kadhaa tutarudi hapa kuambizana uchumi wa Urusi utakavyonywea trust me). Kazakhstan imegoma kushirikiana na Urusi, Urusi ana Chechens na Belarus. Putin kadri ya Ukraine inavyochelewa kuanguka ndivyo anazidi kupata opposition kwake na kwa majirani kina Finland anaowadharau.

NATO jana imemaliza kikao jioni na Secretary General wao kasema matakwa ya Russia kuondoa wanachama zaidi ya nusu hayakubaliki na jinsi Putin alivyotishia military consequences NATO imeamua kuactivate Rapid Response ambayo haijawahi kuwa activated tangu NATO iundwe.

Huu upiganaji wa jeshi la Urusi haunishawishi lolote. Kisingizio cha 72 hours sikikubali Putin anataka ashinde immediately ndio maana alianza na kuwataka wanajeshi wa Ukraine kujisalimisha wakagoma, sasa jana kawaambia wafanye mapinduzi wamuondoe Zelensky. He is very desperate huwezi nishawishi anasubiri 72 hrs. Hii ndio Russia ya kukutana na Polish brigades, Finn snipers?
Manina Russia wakutane na Poland ana kwa ana hiyo vita itakuwa sio ya kitoto,Poland wana hasira za kihistoria na Russia,Russian infantry ni wakawaida sana sio kama dunia inavyowapamba kabisa..
Kwanza hadi sasa ni siku ya 4 Russia imeshindwa kuweka No fly zone hapo Kyiv pamoja na Airforce power walionayo,ni kitu cha kushangaza sana.
Yule pilot wa Ukraine wanamuita nickname Ghost of Kyiv ameshaka kula jets 4-6 za Urusi hadi sasa,ikiwemo the most advanced Su-35 ila jamaa anda Mig-29...Jamaa ni mzee tu late 50s...
 
Chanzo ni Ukraine kukubali kujiunga na NATO lakini sio hilo tu kingine ni kukubali marekani na NATO kuingiza silaha zao ndani ya nchi ya Ukraine

Kama unavyojua Russia na Ukraine ni majirani na hawezi kukubali kuona silaha za maadui zake NATO na marekani zinakuja karibu
Huko ni kuhatarisha usalama wake
So anajilinda ndio maana anamwambia Ukraine ajiondoe NATO na asiruhusu silaha kuingia Ukraine.

Kingine ni watu wenye asili ya urusi wa majimbo ya Donetsk na luhanski waliopo ndani ya Ukraine wanaotaka kujitenga na Ukraine na kujiunga na Russia
Kama ni mtihani una 27%
 
Hizo kupanda Kwa bei nk ni lazima vitokee kwenye short term ila open wata stabilise supply..

Otherwise wazungu wataendelea kunyanyaswa na Russia miaka yote wasipochukua hatua saizi hata kama zitawaumiza kwa mda mfupi kwa sababu wao wameendelea wanaweza ku survive.

Saizi Russia kawatishia Sweden na Finland kwamba marufuku kujiunga NATO sasa hizo ni Nchi au wake za Russia? Majeshi yao Kazi yake ni nini hasa?
Huyu Putin mjinga sana..its now or Never...

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Askari wa kirusi hawaña motisha ya kupigana kama wenzao na hapo Ndio maelfu ya wanajeshi wao watakufa. Nilitarajia atatumia mbinu kama za Irael za kushambulia Toka mbali. Yeye anakuja kichwakichwa.
Boots on ground ni risky sana hainaga mwenyewe aisee,Na sasa raia karibia 30k wa Kyv tu wana silaha mkononi za kuwaua warusi wakiingia Kyiv,Hata Russia akishinda hii vita atapata tabu sana kuitawala Kyiv.
 
Back
Top Bottom