ngoma nzito mkuuUkraine atashindwa ila Russia atapata hasara pia
Moyo wa kiume na wakipekee huo, vinabo bado wamejibanza kwenye machaka waskilizie vita iishe waendeleze kampeni yao ya 50/50
Embu twende pole pole.Putin ni msssssenge sana yule qumer. Na wanaomshabikia ni watoto wadogo wanaokaa kwa wazazi wao. Huwezi ukawa una interest na uchumi halafu ukafurahia vita
Kwa hio Ukrain akisaidiwa silaha ndio atashinda?Tayari macron ameamua kumsaidia Ukraine silaha za viata. Marekani nayo tayari imeingia mzigoni baadaya ya kumdhoofisha kiuchumi. Jamaa walikuwa wanasubili wanamwangalia Putin ana silaha gani Sansa wamemsoma tayri hapa Ni patamu Sana.
Mmarikani alivyo mjanja kahakikisha ana coordinate nchi marafiki wote na putini amejikuta yupo mtu katib china ameshamruka tayari. Sasa hapo ndo patamu
Kwangu mm naona kosa lake ni kukosa nguvu ya ushawishi kwa serikali ya Eukrain.Embu twende pole pole.
Putin kosa lake liko wapi?
Hiyo ni tactical ndugu yangu. Marekani na mfaransa wanaingia taratibu bila kumpigia kelele mwizi akajiandaa zaidiKwa hio Ukrain akisaidiwa silaha ndio atashinda?
Ufaransa na Urusi nani ana nguvu kubwa ZA kivita?
Mwanzo alidanganywa na China, ngoja apikwe vizuriTayari macron ameamua kumsaidia Ukraine silaha za viata. Marekani nayo tayari imeingia mzigoni baadaya ya kumdhoofisha kiuchumi. Jamaa walikuwa wanasubili wanamwangalia Putin ana silaha gani Sansa wamemsoma tayri hapa Ni patamu Sana.
Mmarikani alivyo mjanja kahakikisha ana coordinate nchi marafiki wote na putini amejikuta yupo mtu katib china ameshamruka tayari. Sasa hapo ndo patamu
Ufaransa ipo juu snKwa hio Ukrain akisaidiwa silaha ndio atashinda?
Ufaransa na Urusi nani ana nguvu kubwa ZA kivita?
Lete linkUfaransa ipo juu sn
.Kwa hio Ukrain akisaidiwa silaha ndio atashinda?
Ufaransa na Urusi nani ana nguvu kubwa ZA kivita?
Lete link
Kwa hiyo wewe us kuwa un ndo raha yako. Hata wewe ni shabiki kama wengine. Ndo maana un hainaga msemo kwa mengine ila leo mimi na wewe ndio tumlaumu putin. Nilichojifunza kwenye hii vita watu wote ni wanafiki kila mtu analalama pindi upande wake ukizidiwa. Ila safari hii USA kakaliwa na russia. Najua utasema USA hahusiki.
Wazungu sio waafrika, wao baada ya vita kumalizika tu silaha nyingi zitarudishwa kwa serikali tu kwani utaratibu wao wa maisha sio kama sisi huku Afrika vulugu tupu, aliyepewa silaha hajulikani anaishi wapi!!ni zoezi linaloratiba vizuri licha ya kuwa nchi iko vitani.Kitendo Cha Raisi wa Ukraine kusambaza Siraha kwa Raia tayari hiyo nchi haitawaliki Tena. Hiyo ni Somalia Mpya kabisa,Marekani alikimbia Somalia baada ya Kuona nyomi ya Raia inakuja na AK-47. Kufanya Uchunguzi akagundua Kila Nyumba moja Mji wa Mogadishu ina RPG ya Kutungulia Ndege,hapo akaona hii Vita haiwezekani Tena.