Ukraine akishinda hii vita huyu Rais atapendwa sanaKitendo Cha Raisi wa Ukraine kusambaza Siraha kwa Raia tayari hiyo nchi haitawaliki Tena. Hiyo ni Somalia Mpya kabisa,Marekani alikimbia Somalia baada ya Kuona nyomi ya Raia inakuja na AK-47. Kufanya Uchunguzi akagundua Kila Nyumba moja Mji wa Mogadishu ina RPG ya Kutungulia Ndege,hapo akaona hii Vita haiwezekani Tena.
US kavamia na kuleta mchafuko nchi nyingi sanaa. Wote kimya. Sasa hivi kwakua wao ndio wanalaani kila mtu analaani. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aisee hizi siasa za vita ni ngoma sana. Afu kuna watu mnaishabikia US kama vile ni dini yenu
Bradha nondo zako ni muhimu sana kwetu hebu achana nae anakupotezea muda. Pale tu anapoitaja tu un naacha kumuelewa.ni lini un ilifanya haki.Ndugu yangu mimi nadhani huna data kabisa za vita vya Iraq, kwanza kukusahihisha tu vita vilianzia kutoka Kuwait na Kuwait na Iraq ni kama Tanga na Mombasa hilo moja, pili Saddam hakuwa kama alivyokuwa akisema ila waarabu wanajulikana ni wapiganaji. Kukusahihisha ila vita first desert storm nchi zote unazizijuwa wewe super power mpaka wasindikizaji walijikusanya Kuwait ndio vita ilianzia pale na vilichukuwa siku 43 kuiweka chini Baghdad wanaume walipigana, USA na washirika wake wote walijumuika nchi zote. Nenda Libya siku ngapi ziliwachukuwa kuichukuwa Libya? wewe unashangaa siku mbili watu wako city centre Samora evenue huku dunia nzima ikiwa upande wako? kasome history
Bonge moja la propaganda, hii inawafanya Urusi wajifikirie zaidiNilisema wa nje nje wa ndani ndani, wandani watarejea ndani ya masanduku.View attachment 2131913
umekosea kaka hivyo utakuwa umepoteza maana halisi ya great thinker, kuna watubwanauliza kwa lengo la kutaka kuelewaChukulia mambo mengine kwa wepesi tu.Utapata shambulio la moyo bure.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukitaka story za kuchekesha kama hizi unakuja kusoma hapa😀USA kwenda Iraq tu alikusanya kijiji cha Dunia na alichukuwa siku 28 Russia siku mbili tu yuko mlangoni capital city. Hata huko nyumba history inaonesha aliyemuweza Germany ni Russia ndio aliokoa bara la ulaya. Sasa wewe amini hivyo na ndio maana hujasikia hao unaona wana nguvu hata mmoja kuingilia na Putin katema mkwara tu wote kimyaa. Jana Rais wa Ukraine anasema kawapigia wote kimyaa.
Dunia ina principle zake zinazoheshimiwa na mataifa makubwa na si uoga kama unavyosema.Ashasema MTU yoyote aingilie mambo yake atakiona.ndo maana wote wameogopa kuingilia
Uzushi wa magharibi. Subiri mwisho wake.Nilisema wa nje nje wa ndani ndani, wandani watarejea ndani ya masanduku.View attachment 2131913
Mi pia nimependa ustaarabu wa URUSI, hawana shida na makazi ya watu. Sijui tungezungumza nini muda huu.Warusi wastaarabu Sana. Tofauti na wale wa upande ule.
Tungekuwa tumeshashudia madaraja,vituo vya umeme, hospitali,vituo vya televishini na majumba ya raia yameshateketezwa wakisingizia kuwa zinatumia as a human shield.
Halafu sikujibu mimi.Rudia upya ujiridhishe.Ingawa,nasisitiza,uonapo majibu ya utani tulia.Wengine watakufafanulia utakacho.umekosea kaka hivyo utakuwa umepoteza maana halisi ya great thinker, kuna watubwanauliza kwa lengo la kutaka kuelewa
sasa wewe ukiwalisha matango pori itakuwa sio poa maana wengi umu hatujui chanzo cha vita yao
tunaweza tukaulizwa uku mtaani tukajibu kupitia jibu lako kumbe tofauti na uhalisia
Kwani ww kwa unavyoona anayepigwa nani?? Hakuna nchi itapigwa kwa siku moja au bila nao kuua.Ngoja tusubiri tuone itakuwaje. Kumbe nguvu ya Urusi si kama tulivyoaminishwa
Nafikiri Eukrain kuna watuvwenye asili ya warusi wengi tu. Ukianza kuua bila utu unaua ndugu zako.Mi pia nimependa ustaarabu wa URUSI, hawana shida na makazi ya watu. Sijui tungezungumza nini muda huu.
Hata marekani pamoja na maguvu yake yote hawezi kukubali Russia au China waweke makombora yao ya nuklia Cuba, Haiti, Mexico, au Canada, japo ni nchi huru. Hiyo ni issue ya msingi sana kiusalama usiichukulie kirahisi hivyo.Hivi Ukraine si ni nchi huru?
Sasa mbona kama Russia anawapangia wenzie? Kwani ye hofu yake nini km NATO wakiweka hizo silaha huko Ukraine? Ye si anasifiwa ana nguvu za kivita,na jeshi nk!
Basi km ni hivyo anawaogopa NATO
Putin kiboko ya magaidi,tena walilipuliwa na marubani wa kike.Na mabwana zako mashoga wapo duniani wakizidi kutafunwa
Idadi kubwa ya vyombo vya habari vinavyoripoti kile kinachoendelea katika mapambano ni kutoka Ulaya (ikiwemo Ukraine), pamoja na Marekani.Aisee hizi siasa za vita ni ngoma sana. Afu kuna watu mnaishabikia US kama vile ni dini yenu
Nikadhani unatoa habari zako kwa nutural media,kumbe unatoa kwa hizi Pro Russia PropagandaSilaha za msaada alizopewa Ukraine na Nchi za Magharibi zimetua mikononi Russia Wizara ya Ulinzi ya Urusi imesema wamepata shehena kubwa za silaha mpya za kutoka Nchi za Magharibi. hili ni pigo jingine kubwa kwa NATOView attachment 2131905View attachment 2131906