Ndugu yangu mimi nadhani huna data kabisa za vita vya Iraq, kwanza kukusahihisha tu vita vilianzia kutoka Kuwait na Kuwait na Iraq ni kama Tanga na Mombasa hilo moja, pili Saddam hakuwa kama alivyokuwa akisema ila waarabu wanajulikana ni wapiganaji. Kukusahihisha ila vita first desert storm nchi zote unazizijuwa wewe super power mpaka wasindikizaji walijikusanya Kuwait ndio vita ilianzia pale na vilichukuwa siku 43 kuiweka chini Baghdad wanaume walipigana, USA na washirika wake wote walijumuika nchi zote. Nenda Libya siku ngapi ziliwachukuwa kuichukuwa Libya? wewe unashangaa siku mbili watu wako city centre Samora evenue huku dunia nzima ikiwa upande wako? kasome history