LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Mpaka sasa hivi kinachompa Putin wakati mgumu ni propaganda za marekani, kwamba atakapovamia Ukraine basi atakua amewaprove right marekani kitu ambacho Putin ataki sababu hii itawapa credit marekani.

Kinachowapa nguvu wamarekani ni teknolojia waliyonayo wanajua kinachoendelea mpaka mwa Russia na Ukraine, katikati ya wiki Russia walisema vikosi vinarudi kwenye Kambi zake kumbe ilikuwa ni kinyume vikosi vilikuwa vinaongezeka na marekani kama kawaida amejua kupitia satellite na anaendelea na propaganda na hii inaendelea kumpa Putin wakati mgumu.
 
Russia asifikiri hii itakuwa ni Crimea nyingine na asifikiri akiivamia Ukraine dunia watabaki wamekaa tu kwenye fensi.

Ukraine lazima watapigana kuilinda nchi yao na mataifa marafiki hawatakuwa mbali nao ila shida itakuwa kwa Russia kwani madhara watakayopata uchumi wao utawapelekea kuwa The Banana Republic.
 
Ninachoamini Mimi ni kuwa Propaganda za Marekani hazina tishio kwa Russia. Suala la picha za Satellite kuonyesha hili ni jambo la kawaida kwa hizi nchi kubwa. Kumbuka hizi nchi kubwa including China zina mifumo ya Satellite huko juu.

Sio kwamba Russia ana nguvu kuliko USA , anajua ukubwa wa USA tena + NATO ila ni dhahiri huyu Russia amedhamiria kuingia Vitani linapokuja suala la Ukraine kujiunga na NATO. Kwa Russia ni maslahi ya Usalama zaidi .

Dunia inatakiwa watu kama hawa ambao wakipiga Mkwala hata giant kama Marekani anataharuki. Vinginevyo akibaki Kiranja mmoja tu ni rahisi kuwachapa fimbo akijisikia tu
 

Well said
 
Anajifanya mjinga, ila pindi atakapovamiwa hawataacha kaa ona rangi zate wavamizi...
 
Hawa ni wajinga na waoga sana,wangejifunza kwa Cuba na Vietnam zilivyosimama ngangari dhidi ya ubabe wa USA,wakiendelea kumtetemekea Mrusi,atakuwa ana washika makalio kila wakati.
 
only west has right to promote so_called democracy and human right not Russia. Kigingi kilichobakia kwa usa ni urusi akimuweka chini huyu bas dunia nzima take mchina mwoga tuu hapa putin anatakiwa kuchanga karata vizuri
 
Hali siyo nzuri katika majimbo ya Donesk na Luhansk, waasi wamefanya mashambulizi katika ardhi ya Ukraine na kuuwa wanajeshi wa 2 wa Ukraine.

Viongozi wa majimbo wameita vijana wote kuchukua silaha kwa ajili ya kupambana na majeshi ya Ukraine.

Huku hayo yakiendelea Urusi imesema kuwa vikosi vya Ukraine hapo juzi vilifanya mashambulizi kwenye ardhi yake karibu na mpaka wa nchi izo mbili.

Kwa upande wa Nato imetangaza kutoa wafanyakazi wake kwenye mji mkuu wa Ukraine
 
kiukweli katika watu naweza kuwa sehemu ya ulimwengu kujenga na kujuana nao kirafiki ni moja ya ukraini

hawa ndugu zangu wanaweza kuonesha kuwa hata mwenye nguvu tunaweza kumuonesha.



 
Jamaa wanahisi africa tuko dark hatupati hizo info
 
Yeye: They have a strong army.
Wewe: Respect bro

Yeye: In Africa, they also talk about this situation? Or did you watch American news?
Wewe: Africa there support you 100% but media not show.

Mimi: WTF πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…