Utaratibu ukoje ? nipe connection niibukie majuu.View attachment 2131960
Baada ya kuona simu zake hazipokelewi na maraisi wote wa Ulaya, rais wa Ukraine 🇺🇦 ametoa wito kwa watu wote wenye mapenzi mema na nchi yake waende kumsaidia.
Hii ni nafasi kwa Watanzania mnaosema bora mzaliwe mbwa Ulaya kuliko binadamu bongo.
Nendeni mkabebe mtutu, hii vita ni fupi sana inaisha ndani ya siku tano tu
MilardAyo nae kapost eti Warusi 3500 na nyungo zao 34 wamededishwaHakuna video. Hakuna picha ya kusapoti taarifa zao zinazoonyesha hayo yanayofanyika.
Mbona leo walivyowakamata wanajeshi wa Chechen 4 kuwatoa ndani ya gari na kuwapiga risasi na kuwaua wameonyesha video yao. Chechen walitoka jana jeshi la askari 1000. Leo 4 wameuuliwa tena muda huu. Iweje hizo za Urusi washindwe kuonyesha video hao askari waliyo waua kwa kiasi hicho wanachokisema?
Ukraine leo asubuhi wamesema Llyushin ndege ya Urusi yenye uwezo wa kubeba wanajeshi 200 wameilipua. Lakini mpaka sasa hivi hakuna picha, hakuna video.
Jana asubuhi ikatangazwa wamelipua ndege SU-27 ya Mrusi kumbe wametungua ndege ya kwao. Kucheki engine ni ndege ya kwao.
Ukraine walionyesha video wamewakamata askari wa jeshi la Urusi na kuonyesha wanawahoji hao mateka. Kuna kitu kinaitwa accent/lafudhi. Lafudhi yao si ya Warusi wana lafudhi ya Kiukraine. Ni maigizo wanafanya.
Zelensky sasa huko twitter anadai meli ya kivita ya Turkey imeizuia meli ya kivita ya Urusi kupita black sea. Lakini mamlaka ya Turkey kwa haraka imejibu muda huu yaani sasa hivi kuwa hiyo taarifa ni ya uongo.
View attachment 2132037
Ukraine kwa sasa hana airforce. Ukraine kwa sasa hana air defensive system. Ukraine hana drone. Ukraine hao hao wameua wanajeshi 3500 wa Urusi kwa siku 2. Amewaua kwa nini? Kwa vifaru?
Ukraine wanafanya propaganda nyingi sana kwenye mitandao ya kijamii ila siwalaumu kwani ni jambo zuri hususani nyakati za vita. Unabusti morali ya raia na wapambanaji wako. Ni psychological warfare. Ni hizi habari Warusi wakizisoma zinawachanganya maandamano yanazidi Urusi na anapata pressure ndani ya nchi kutoka kwa raia. Hapa wamempiga bao Putin.
Mtanzania wewe anajua kuwa ni propaganda lakini mrusi na ukraine wanajua ni kweli. Waukraine wanapata moyo, warusi habari zinawachanganya wanazidisha maandamano. Hichi ndicho ulichokisema ndugu yangu😃😃Hakuna video. Hakuna picha ya kusapoti taarifa zao zinazoonyesha hayo yanayofanyika.
Mbona leo walivyowakamata wanajeshi wa Chechen 4 kuwatoa ndani ya gari na kuwapiga risasi na kuwaua wameonyesha video yao. Chechen walitoka jana jeshi la askari 1000. Leo 4 wameuuliwa tena muda huu. Iweje hizo za Urusi washindwe kuonyesha video hao askari waliyo waua kwa kiasi hicho wanachokisema?
Ukraine leo asubuhi wamesema Llyushin ndege ya Urusi yenye uwezo wa kubeba wanajeshi 200 wameilipua. Lakini mpaka sasa hivi hakuna picha, hakuna video.
Jana asubuhi ikatangazwa wamelipua ndege SU-27 ya Mrusi kumbe wametungua ndege ya kwao. Kucheki engine ni ndege ya kwao.
Ukraine walionyesha video wamewakamata askari wa jeshi la Urusi na kuonyesha wanawahoji hao mateka. Kuna kitu kinaitwa accent/lafudhi. Lafudhi yao si ya Warusi wana lafudhi ya Kiukraine. Ni maigizo wanafanya.
Zelensky sasa huko twitter anadai meli ya kivita ya Turkey imeizuia meli ya kivita ya Urusi kupita black sea. Lakini mamlaka ya Turkey kwa haraka imejibu muda huu yaani sasa hivi kuwa hiyo taarifa ni ya uongo.
View attachment 2132037
Ukraine kwa sasa hana airforce. Ukraine kwa sasa hana air defensive system. Ukraine hana drone. Ukraine hao hao wameua wanajeshi 3500 wa Urusi kwa siku 2. Amewaua kwa nini? Kwa vifaru?
Ukraine wanafanya propaganda nyingi sana kwenye mitandao ya kijamii ila siwalaumu kwani ni jambo zuri hususani nyakati za vita. Unabusti morali ya raia na wapambanaji wako. Ni psychological warfare. Ni hizi habari Warusi wakizisoma zinawachanganya maandamano yanazidi Urusi na anapata pressure ndani ya nchi kutoka kwa raia. Hapa wamempiga bao Putin.
China soko la bidhaa zake lipo Ulaya na Marekani .Hayupo Tayari kutoswa na Hizo nchi.Tayari macron ameamua kumsaidia Ukraine silaha za viata. Marekani nayo tayari imeingia mzigoni baadaya ya kumdhoofisha kiuchumi. Jamaa walikuwa wanasubili wanamwangalia Putin ana silaha gani Sansa wamemsoma tayri hapa Ni patamu Sana.
Mmarikani alivyo mjanja kahakikisha ana coordinate nchi marafiki wote na putini amejikuta yupo mtu katib china ameshamruka tayari. Sasa hapo ndo patamu
Hakuna vita laini huyo,huyo kuku ukimchinja ushakata shingo atakimbia sembuse wa Ukraine. Hakuwa na busara raisHiyo bongo movie bado yamsumbua Putin
😂😂😂 unajua haya mambo yanachekesha sana. Kuna mmoja huku anasema kuna mambo anayajua ambayo warusi hawajayajua na yanawachanganya kweli.😂😂😂😂warusi wa mchambawima, mwembetogwa, matombo, mwembekiuno, kwa mpalange wana hasira hao na wanacomment kwa jazba kama babu yao Putin
Sawa,acha ukraine asaidiwe yeye hana uwezo,naona ufaransa tayari wanampa msaada wa silaha"Russia ina uwezo mkubwa wa kuendana na hali yoyote ile nchini Ukraine, yenyewe kama yenyewe, na wala haihitaji msaada wowote wa kijeshi wa China", msemaji wa Wizara ya mambo ya nje wa China imezungumza.
"Russia ni taifa kubwa lenye uwezo na nguvu kubwa za kijeshi. Haihitaji msaada toka China wala nchi nyingine yoyote"
=====
Beijing Says Russia Doesn’t Need China’s Military Support in Ukraine Operation - Other Media news - Tasnim News Agency
TEHRAN (Tasnim) – Russia is capable of coping with the situation in Ukraine on its own and does not need China's military support, Chinese Foreign Ministry Spokesperson Hua Chunying announced on Thursdaywww.tasnimnews.com
Russia is capable of coping with the situation in Ukraine on its own and does not need China's military support, Chinese Foreign Ministry Spokesperson Hua Chunying announced on Thursday.
"Russia is a great power with might. It does not need the support of China or other countries," she said at a briefing, answering a corresponding question from a Western journalist.
The Chinese diplomat noted that Beijing’s position on this issue differs from the views of the American leadership. "We will not act as the United States acts, which supplies Ukraine with a large number of weapons," she stated.
Bado ana nguvu,ndio maana unaona USA ana bwabwaja,hasogei kwenye uwanja wa vita.Russia ilikuwa na sauti enzi za USSR sasa hivi hana lolote
Wale wanaokufa na njaa kila siku. Uchumi wao unazidiwa hata na huu wa kwetu. Kiduku bure kabisa.Norh korea bado wanadunda mpaka leo na vikwazo venu mbuzi
Mzee hiyo taarifa ni ya uongo! Ukraine wanafanya propaganda nyingi sana zinazowasaidia kipindi hiki cha vita. Warusi wakizisoma zinawachanganya na waanaandamana nchini kwao. Hivyo Putin anapata pressure ndani ya nchi.Waziri wa Mambo ya Nje wa Ukraine amesema Uturuki imekubali kufungia meli za Urusi kupita straits za Black sea. Ikitokea hivyo meli za Urusi hazitapita kwenda kushambulia Ukraine mpaka watumie bandari iliyopo Crimea
Hawana anti-ballistic missile systemMbona hujaitaja north Korea?
Sio rahisi US kuingia vitani US na Russia top nuclear powers kuna MAD Mutual Assured Destructions wote wana maelfu ya powerfull nuclear weapons ambayo ukimshambulia mwenzako na wewe unashambuliwa pia.Inasemekana ishapangwa kabisa vijana wa myahudi (jeshi la Ukraine) watafute kombora moja tu la Mrusi walivugumize Poland ili wanaume wa kazi wakiongozwa na baba yao USA waingie kazini kumalizia mission yao. Ikumbukwe kwamba Poland ni moja kati ya nchi wanachama wa NATO waliokaribu kabisa na ukanda huu wa vita. Na kwa vile sheria za NATO zinaruhusu mataifa hayo kuishambulia nchi yoyote inayomvamia mwanachama wao, basi hii ndio itakuwa njia rahisi ya wao kutimiza malengo yao walioyapanga muda mrefu.
Kashata zinakuja muda gani maana kahawa itapoaSio rahisi US kuingia vitani US na Russia top nuclear powers kuna MAD Mutual Assured Destructions wote wana maelfu ya powerfull nuclear weapons ambayo ukimshambulia mwenzako na wewe unashambuliwa pia.
Nuclear detterence ni ngumu sana kwa nchi zenye nuclear weapons kushambuliana itaishia kupigana kwa non nuclear weapons tu
Unachokataa ni nini? Hii ni taarifa ya Zelensky.Mtanzania wewe anajua kuwa ni propaganda lakini mrusi na ukraine wanajua ni kweli. Waukraine wanapata moyo, warusi habari zinawachanganya wanazidisha maandamano. Hichi ndicho ulichokisema ndugu yangu😃😃
Hii habari ya zuio la Black Sea ina mkanganyiko kidogo, maana rais wa Ukraine ameisema kama request muda mfupi uliopita. Imezua mjadala maana kuna vyanzo vingine vinadai kuwa Uturuki haijathibitisha kufanya hivyo.Waziri wa Mambo ya Nje wa Ukraine amesema Uturuki imekubali kufungia meli za Urusi kupita straits za Black sea. Ikitokea hivyo meli za Urusi hazitapita kwenda kushambulia Ukraine mpaka watumie bandari iliyopo Crimea