LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
View attachment 2131960

Baada ya kuona simu zake hazipokelewi na maraisi wote wa Ulaya, rais wa Ukraine 🇺🇦 ametoa wito kwa watu wote wenye mapenzi mema na nchi yake waende kumsaidia.

Hii ni nafasi kwa Watanzania mnaosema bora mzaliwe mbwa Ulaya kuliko binadamu bongo.

Nendeni mkabebe mtutu, hii vita ni fupi sana inaisha ndani ya siku tano tu
Utaratibu ukoje ? nipe connection niibukie majuu.
 
Hakuna video. Hakuna picha ya kusapoti taarifa zao zinazoonyesha hayo yanayofanyika.

Mbona leo walivyowakamata wanajeshi wa Chechen 4 kuwatoa ndani ya gari na kuwapiga risasi na kuwaua wameonyesha video yao. Chechen walitoka jana jeshi la askari 1000. Leo 4 wameuuliwa tena muda huu. Iweje hizo za Urusi washindwe kuonyesha video hao askari waliyo waua kwa kiasi hicho wanachokisema?

Ukraine leo asubuhi wamesema Llyushin ndege ya Urusi yenye uwezo wa kubeba wanajeshi 200 wameilipua. Lakini mpaka sasa hivi hakuna picha, hakuna video.

Jana asubuhi ikatangazwa wamelipua ndege SU-27 ya Mrusi kumbe wametungua ndege ya kwao. Kucheki engine ni ndege ya kwao.

Ukraine walionyesha video wamewakamata askari wa jeshi la Urusi na kuonyesha wanawahoji hao mateka. Kuna kitu kinaitwa accent/lafudhi. Lafudhi yao si ya Warusi wana lafudhi ya Kiukraine. Ni maigizo wanafanya.

Zelensky sasa huko twitter anadai meli ya kivita ya Turkey imeizuia meli ya kivita ya Urusi kupita black sea. Lakini mamlaka ya Turkey kwa haraka imejibu muda huu yaani sasa hivi kuwa hiyo taarifa ni ya uongo.

View attachment 2132037

Ukraine kwa sasa hana airforce. Ukraine kwa sasa hana air defensive system. Ukraine hana drone. Ukraine hao hao wameua wanajeshi 3500 wa Urusi kwa siku 2. Amewaua kwa nini? Kwa vifaru?

Ukraine wanafanya propaganda nyingi sana kwenye mitandao ya kijamii ila siwalaumu kwani ni jambo zuri hususani nyakati za vita. Unabusti morali ya raia na wapambanaji wako. Ni psychological warfare. Ni hizi habari Warusi wakizisoma zinawachanganya maandamano yanazidi Urusi na anapata pressure ndani ya nchi kutoka kwa raia. Hapa wamempiga bao Putin.
MilardAyo nae kapost eti Warusi 3500 na nyungo zao 34 wamededishwa
 
Hakuna video. Hakuna picha ya kusapoti taarifa zao zinazoonyesha hayo yanayofanyika.

Mbona leo walivyowakamata wanajeshi wa Chechen 4 kuwatoa ndani ya gari na kuwapiga risasi na kuwaua wameonyesha video yao. Chechen walitoka jana jeshi la askari 1000. Leo 4 wameuuliwa tena muda huu. Iweje hizo za Urusi washindwe kuonyesha video hao askari waliyo waua kwa kiasi hicho wanachokisema?

Ukraine leo asubuhi wamesema Llyushin ndege ya Urusi yenye uwezo wa kubeba wanajeshi 200 wameilipua. Lakini mpaka sasa hivi hakuna picha, hakuna video.

Jana asubuhi ikatangazwa wamelipua ndege SU-27 ya Mrusi kumbe wametungua ndege ya kwao. Kucheki engine ni ndege ya kwao.

Ukraine walionyesha video wamewakamata askari wa jeshi la Urusi na kuonyesha wanawahoji hao mateka. Kuna kitu kinaitwa accent/lafudhi. Lafudhi yao si ya Warusi wana lafudhi ya Kiukraine. Ni maigizo wanafanya.

Zelensky sasa huko twitter anadai meli ya kivita ya Turkey imeizuia meli ya kivita ya Urusi kupita black sea. Lakini mamlaka ya Turkey kwa haraka imejibu muda huu yaani sasa hivi kuwa hiyo taarifa ni ya uongo.

View attachment 2132037

Ukraine kwa sasa hana airforce. Ukraine kwa sasa hana air defensive system. Ukraine hana drone. Ukraine hao hao wameua wanajeshi 3500 wa Urusi kwa siku 2. Amewaua kwa nini? Kwa vifaru?

Ukraine wanafanya propaganda nyingi sana kwenye mitandao ya kijamii ila siwalaumu kwani ni jambo zuri hususani nyakati za vita. Unabusti morali ya raia na wapambanaji wako. Ni psychological warfare. Ni hizi habari Warusi wakizisoma zinawachanganya maandamano yanazidi Urusi na anapata pressure ndani ya nchi kutoka kwa raia. Hapa wamempiga bao Putin.
Mtanzania wewe anajua kuwa ni propaganda lakini mrusi na ukraine wanajua ni kweli. Waukraine wanapata moyo, warusi habari zinawachanganya wanazidisha maandamano. Hichi ndicho ulichokisema ndugu yangu😃😃
 
Tayari macron ameamua kumsaidia Ukraine silaha za viata. Marekani nayo tayari imeingia mzigoni baadaya ya kumdhoofisha kiuchumi. Jamaa walikuwa wanasubili wanamwangalia Putin ana silaha gani Sansa wamemsoma tayri hapa Ni patamu Sana.

Mmarikani alivyo mjanja kahakikisha ana coordinate nchi marafiki wote na putini amejikuta yupo mtu katib china ameshamruka tayari. Sasa hapo ndo patamu
China soko la bidhaa zake lipo Ulaya na Marekani .Hayupo Tayari kutoswa na Hizo nchi.
Ameona Bora Putin apambane na hali yake!
 
warusi wa mchambawima, mwembetogwa, matombo, mwembekiuno, kwa mpalange wana hasira hao na wanacomment kwa jazba kama babu yao Putin
😂😂😂 unajua haya mambo yanachekesha sana. Kuna mmoja huku anasema kuna mambo anayajua ambayo warusi hawajayajua na yanawachanganya kweli.😂😂😂😂
 
"Russia ina uwezo mkubwa wa kuendana na hali yoyote ile nchini Ukraine, yenyewe kama yenyewe, na wala haihitaji msaada wowote wa kijeshi wa China", msemaji wa Wizara ya mambo ya nje wa China imezungumza.

"Russia ni taifa kubwa lenye uwezo na nguvu kubwa za kijeshi. Haihitaji msaada toka China wala nchi nyingine yoyote"

=====


Russia is capable of coping with the situation in Ukraine on its own and does not need China's military support, Chinese Foreign Ministry Spokesperson Hua Chunying announced on Thursday.

"Russia is a great power with might. It does not need the support of China or other countries," she said at a briefing, answering a corresponding question from a Western journalist.

The Chinese diplomat noted that Beijing’s position on this issue differs from the views of the American leadership. "We will not act as the United States acts, which supplies Ukraine with a large number of weapons," she stated.
Sawa,acha ukraine asaidiwe yeye hana uwezo,naona ufaransa tayari wanampa msaada wa silaha
 
Waziri wa Mambo ya Nje wa Ukraine amesema Uturuki imekubali kufungia meli za Urusi kupita straits za Black sea. Ikitokea hivyo meli za Urusi hazitapita kwenda kushambulia Ukraine mpaka watumie bandari iliyopo Crimea
Mzee hiyo taarifa ni ya uongo! Ukraine wanafanya propaganda nyingi sana zinazowasaidia kipindi hiki cha vita. Warusi wakizisoma zinawachanganya na waanaandamana nchini kwao. Hivyo Putin anapata pressure ndani ya nchi.

Kingine ni morali. Ina busti morali ya jeshi na raia ndani ya nchi kupambana na Urusi. Taarifa uliyoiweka mamlaka ya Uturuki imekanusha baada ya Zelensky ku-tweet hivyo. Nusu saa iliyopita walishakanusha hiyo habari.

Screenshot_20220226-170413.png
 
Apo n Kama dongo tu kwa NATO means wanaweza kumsaidia mrusi akizidiwa kingine China anawaonesha kuwa Russia n nchi yenye nguvu kubwa Sana Dunian
 
Inasemekana ishapangwa kabisa vijana wa myahudi (jeshi la Ukraine) watafute kombora moja tu la Mrusi walivugumize Poland ili wanaume wa kazi wakiongozwa na baba yao USA waingie kazini kumalizia mission yao. Ikumbukwe kwamba Poland ni moja kati ya nchi wanachama wa NATO waliokaribu kabisa na ukanda huu wa vita. Na kwa vile sheria za NATO zinaruhusu mataifa hayo kuishambulia nchi yoyote inayomvamia mwanachama wao, basi hii ndio itakuwa njia rahisi ya wao kutimiza malengo yao walioyapanga muda mrefu.
Sio rahisi US kuingia vitani US na Russia top nuclear powers kuna MAD Mutual Assured Destructions wote wana maelfu ya powerfull nuclear weapons ambayo ukimshambulia mwenzako na wewe unashambuliwa pia.

Nuclear detterence ni ngumu sana kwa nchi zenye nuclear weapons kushambuliana itaishia kupigana kwa non nuclear weapons tu
 
Sio rahisi US kuingia vitani US na Russia top nuclear powers kuna MAD Mutual Assured Destructions wote wana maelfu ya powerfull nuclear weapons ambayo ukimshambulia mwenzako na wewe unashambuliwa pia.

Nuclear detterence ni ngumu sana kwa nchi zenye nuclear weapons kushambuliana itaishia kupigana kwa non nuclear weapons tu
Kashata zinakuja muda gani maana kahawa itapoa
 
Mtanzania wewe anajua kuwa ni propaganda lakini mrusi na ukraine wanajua ni kweli. Waukraine wanapata moyo, warusi habari zinawachanganya wanazidisha maandamano. Hichi ndicho ulichokisema ndugu yangu😃😃
Unachokataa ni nini? Hii ni taarifa ya Zelensky.

Screenshot_20220226-173228.png


Hii ni taarifa ya kutoka Uturuki kukanusha hiya taarifa.
Screenshot_20220226-170413.png

Ni juu yako! Kuchagua kuamini au kutoamini. Muda huu An-26 ya Ukraine imelipuliwa.
 
Waziri wa Mambo ya Nje wa Ukraine amesema Uturuki imekubali kufungia meli za Urusi kupita straits za Black sea. Ikitokea hivyo meli za Urusi hazitapita kwenda kushambulia Ukraine mpaka watumie bandari iliyopo Crimea
Hii habari ya zuio la Black Sea ina mkanganyiko kidogo, maana rais wa Ukraine ameisema kama request muda mfupi uliopita. Imezua mjadala maana kuna vyanzo vingine vinadai kuwa Uturuki haijathibitisha kufanya hivyo.
 
Back
Top Bottom