Yeye: They have a strong army.
Wewe: Respect bro
Yeye: In Africa, they also talk about this situation? Or did you watch American news?
Wewe: Africa there support you 100% but media not show.
Mimi: WTF [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yeye: They have a strong army.
Wewe: Respect bro
Yeye: In Africa, they also talk about this situation? Or did you watch American news?
Wewe: Africa there support you 100% but media not show.
Mimi: WTF [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
MmmhMpaka sahivi kinachompa Putin wakati mgumu ni propaganda za marekani, kwamba atakapovamia Ukraine basi atakua amewaprove right marekani kitu ambacho Putin ataki sababu hii itawapa credit marekani.
Kinachowapa nguvu wamarekani ni technologia walionayo wanajua kinachoendelea mpaka mwa Russia na Ukraine, katikati ya wik Russia walisema vikosi vinarudi kwenye Kambi zake kumbe ilikua ni kinyume vikosi vilikua vinaongezeka na marekani kama kawaida amejua kupitia satellite na anaendelea na propaganda na hii inaendelea kumpa Putin wakati mgumu.
Aingie tuu aone atakavyofanywa kama Iran kwenye uchumi hadi watamtimua wa Russia wenyewe.Ninachoamini Mimi ni kuwa Propaganda za Marekani hazina tishio kwa Russia. Suala la picha za Satellite kuonyesha hili ni jambo la kawaida kwa hizi nchi kubwa. Kumbuka hizi nchi kubwa including China zina mifumo ya Satellite huko juu.
Sio kwamba Russia ana nguvu kuliko USA , anajua ukubwa wa USA tena + NATO ila ni dhahiri huyu Russia amedhamiria kuingia Vitani linapokuja suala la Ukraine kujiunga na NATO. Kwa Russia ni maslahi ya Usalama zaidi .
Dunia inatakiwa watu kama hawa ambao wakipiga Mkwala hata giant kama Marekani anataharuki. Vinginevyo akibaki Kiranja mmoja tu ni rahisi kuwachapa fimbo akijisikia tu
HatafanikiwaPutina anataka kurudisha himaya ya Ussr kimabavu
kama atafanikiwa itapendeza sanaaaPutina anataka kurudisha himaya ya Ussr kimabavu
Iskander jeUkraine ilikuwa sehemu ya urusi hivyo wanaifahamu moscow kuliko wewe na kitu usichokijua ni kwamba kipindi cha soviet union Ussr ilijitahidi kusambaza silaha kila kona ya himaya yao hivyo ukraine anaifahamu vilivyo urusi kuliko hata NATO.
Hata hivyo vidude alivyo navyo ukraine ni less than 1/10 ya madude yaliyopo urusi maana kuna midude kama vile Bulava, Topol, bila kusahau Satan usikute na Lucifer sasa hayoote yatue Ukraine hivi unadhan hadi kuufyata ufaikiri hawajui kilivhopo Russia?
====
Marekani anahitaji vita kwa udi na uvumba!
Na bado!hii habari inahusiana vipi na hii thread?.
siku hizi Jf ni chimbo la mamtu ya hovyo sana.
Na bado!
Asifanikiwe mara 2 keshachukua crimea georgia na belarus bado padogo tuHatafanikiwa
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]hii habari inahusiana vipi na hii thread?.
siku hizi Jf ni chimbo la mamtu ya hovyo sana.
Ndio mbinu kama unataka kuvamia taifa lingine kwakisingizio unaenda kutoa msaada wa kijeshi.So Putin ameamua kuunda kundi la uasi halafu anajifanya yeye na taifa lake hawaingii vitani !? Aiseee hawajamaa wanashida Sana [emoji16][emoji16]