mpendazote
Member
- Dec 12, 2021
- 16
- 35
Hata USA hana ubavu wa kuzuia mradi wa bomba la gas, sababu gas inayopatikana toka russia ni rahisi kuliko inayopatikana marekani.
Haushangai kansela wa ujerumani alipeleka helmets 5000 kama support kwa ukrain ?
Mnufaikaji mkubwa wa gas ya urusi ni German.
Na kama vita itatokea ulaya haiwez ku stand against Russia kamwe, narudia kamwe even China na India wakiamua kuunga mkono bado sababu Russia technologia ya silaha yuko far sana na compete na Marekani na hata baadhi ya technolojia marekani hana kama hypersonic missile.
Kama wachambuzi wabobezi baadhi walivyochambua kwenye huu uzi uko juu ni issue ya uchumi ndo inaweza kusababisha Russia asimponde Ukrain. Na sio vitisho vya Western bloc wakiongozwa na USA.
Haushangai kansela wa ujerumani alipeleka helmets 5000 kama support kwa ukrain ?
Mnufaikaji mkubwa wa gas ya urusi ni German.
Na kama vita itatokea ulaya haiwez ku stand against Russia kamwe, narudia kamwe even China na India wakiamua kuunga mkono bado sababu Russia technologia ya silaha yuko far sana na compete na Marekani na hata baadhi ya technolojia marekani hana kama hypersonic missile.
Kama wachambuzi wabobezi baadhi walivyochambua kwenye huu uzi uko juu ni issue ya uchumi ndo inaweza kusababisha Russia asimponde Ukrain. Na sio vitisho vya Western bloc wakiongozwa na USA.