Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia usisahau raisi wa Ukraine ameamua kutafakari upya suala la kujiunga NATOAivamie Ukraine akose mradi wa gas wa Nord Stream 2?..NATO walishamwambia Putin very clear,hawezi pata vyote,achague kimoja,aivamie Ukraine akose Nord Stream 2 au aachane na Ukraine inversion abakize Nord stream 2.
Unafikiri Putin ni mjinga hivyo akose mradi utaofaidisha genereations sababu ya vita Ukraine.
Kila kitu ni leverage boss sio ubabe wa kijinga mnaoupigania huku usio na kichwa wala miguu.
Leo Sergei Lavrov amesema baadhi ya wanajeshi waliokuwa mpakani Ukraine wameanza safari ya kurudi kambini,Hata satellites za Marekani wame confirm movements za wanajeshi ku withdraw..
Vita sio lelemama aisee
Donesk gani iyo mkuu ambayo ipo chini ya serikali?Mkuu yale majimbo yapo chini ya majeshi ya Russia tayari,na si kwamba Ukraine haipigani litakimbia, tayari kuna Jimbo la Donetsk lipo mikononi mwa Serikali ya Ukraine.
Sasa Russia kama ana nguvu kwanini na yeye anashindwa kuiwekea vikwazo US?
This means yeye bado ni Bwana mdogo tu,na ukichapwa vikwazo utawezaje kushinda Vita?
Kwa sababu vita inahitaji Uchumi Bora
Urusi akitumia taarifa za kiintelijensia za baba mzazi wa computer Allan turring...bila hivyo huenda matokeo ya Vita yangekua tofautiHuyo Hitler alipigwa na Warusi na siyo taifa lingine kamaulikuwa hujui sasa ujue
Nitajie ni lini Ukraine imetishia raia wa Urusi?..
Ukraine anataka uhuru wa kuchagua rafiki bila kupangiwa na mtu,maana ni nchi huru,labda useme hapa Ukraine sio nchi huru na utoe vigezo.
Marekani sio tu anaowapigia Russia kelele dunia yote inamuona mrusi ana sababu za hovyo kutaka kuivamia Ukraine,,strategic area zote kama eastern Ukraine na Crimea ambapo ni door to black sea fleet na baltics Russia ndio anazitawala,leo anataka ku bomb Kyev aue raia wasio na hatia in what grounds??
Kingine shida ni kujiunga NATO sio?,,Ronania,Lithuania,Wazirstan wote hawa walikuwa Soviet members na wamejiunga na NATO,mbona Russia hakuwavamia kwa kigezo hicho hico unachokiita kuhatarisha raia wake?...Tuache kushabikia mauaji kishabiki shabikiWakuu, Baada ya Russia kupeleka jeshi kubwa mno kwenye mpaka wake na Ukraine, mataifa makubwa Duniani yalihamaki yakiongozwa na Marekani.
NATO ilisema wazi kwamba haitaiacha Ukraine ikiwa yatima,na tayari muungano huo wa kujihami wa Ulaya magharibi na Marekani umeimarisha vikosi vyake Poland na Estonia.
Russia imepeleka zaidi ya wanajeshi 130,000 kwenye mpaka wake na Ukraine na wakati wowote wanasubiria amri ya Rais Putin Kuivamia Ukraine.
Baada ya Russia kuimega Crimea na Dunia kukaa kimya,Putin alidhani itakuwa rahisi pia Kuivamia Ukraine na kufanya lolote sasa mambo yamekuwa Tofauti.
Uingereza imepeleka shehena kubwa mno ya silaha mbalimbali Ukraine na makomandoo wa kikosi maalumu cha SAS.
Canada nayo imesema haitaiacha pekee yake Ukraine itaipa misaada yote ya kijeshi dhidi ya uvamizi wa Russia. Kwa hiyo Russia inafikia hatua wanaogopa wakijua wazi kwamba kushinda vita kwao itakuwa ngumu mno.
Na hakika Russia ikijaribu kuivamia Ukraine haitashinda hii vita zaidi ya kuharibikiwa kiuchumi. Russia ni nani hasa hata ashinde vita dhidi ya Marekani, Uingereza,Canada na mataifa mengine mengi ambayo yanaisaidia Ukraine bila kuitangazia Dunia.
Mengine yabakie ushabiki tu, lakini Russia haitashinda hii vita na wao wameshaliona hilo.
View attachment 2119949
Huenda nikweli naungana na wewe.
Putin amesema wazi kwamba hataki Ukraine wajiunge na NATO.
Jana wakati anaongea na waandishi wa habari yeye na kiongozi wa ujerumani alisema inaonekana kama amepuuzwa katika hojayake ya kuitaka Ukraine isijiunge NATO.
Kwasababu inchi za ulaya na mshirika wao US wamejiingiza kwenye huo mzozo mazima kwa kupeleka wanajeshi Ukraine na kutoa mafunzo ya kijeshi na vifaa.
Kwa maana hiyo in other way around, Ukraine nikama tayari wapo nato nandio maana NATO wanaungana nae.
Sasa najiuliza kama Putin amesha jua hivyo anasubiri nini kushusha kipondo!!.
Nadhani anawaogopa Us tu hapo vinginevyo angesha fyatua risasi.
Us kuna kitu kinacho watia kiburi ndio maana wanajiaminisha kiasi cha kwenda nchi za mbali kuzuiya mipango ya watuwengine,maana kutoka Marekani mbaka Ukraine nimbali na unavuka nchi nyingitu.
Putin knows what's gonna happen once akiingia kwenye vita na US.
Russia anavyo vyote uwingi wa mabomu ya nuclear na mabomu hatar zaid duniani ! Na sio mabomu tu na silaha hatar zaid ya kutosumbuliwa duniani.Wala hauhitaji warheads 5,000 au zaidi kuipiga nchi kama Urusi. Ushindani wa kuwa na mabomu mengi ulikuwa ukifanywa enzi hizo za Cold War kwa sababu teknolojia ilikuwa hafifu.
Unachohitaji kwa sasa ni mabomu machache lakini yenye uwezo mkubwa wa kupeleka madhara kwa adui (high precision). Ukiwa nayo, unapeleka mashambulizi katika maeneo ya kimkakati zaidi yakiwemo majiji makubwa.
Kwenye vita ya nuke ataiteka ulaya lakin sio kawaidalabda kwenye vita ya nuke. Ila kwenye vita ya kawaida ndani ya mwezi tu urusi anaiteka ulaya
Russia ame suffer enough kwenye uchum na hawez ku risk zaid ya hapo. Vikwazo vingi alivowekewa vimemfanya asiwe na makali kwenye uchumi lakin kwenye uwanda wa vita mkuu yule jamaa si mchezo.Mkuu, siyo kila kitu Marekani inaitangazia Dunia juu ya uwezo wake kijeshi, Kama Russia inaogopa vita kwa sababu za kiuchumi basi huo ni udhaifu tosha wa kushindwa kabila ya kushindwa,ulishawahi kusikia kuwa Marekani inaogopa vita kwa sababu ya Uchumi?
Ndo ujue kuwa Marekani ni Baba lao Duniani [emoji16]
Hawafuatiliii hizi mambo wako wanasikiliza sana sky news, cnn, wion na nyingine nying lakini hawasikilizi habari pia za upande wa pili.Putin ukitaka achague mradi wa gas na nord stream 2 au ukraine asain mkataba wa kuungana na nato unahisi atachagua kipi ?
atachagua kuivamia ukraine na kuzuia mkataba.
kitu ambacho hawajui media za marekani,ufaransa,australia,ujerumani na bbc zilizo africa kwa kifupi radio mbao zote zilizopo upande wa nato hata urusi.
"""" alivyozindua avangard hypersonic missile linatoka urus mpaka marekani moja kwa moja na bomu la zurcon ambalo marekani hana" mlitangaziwa nawauliza hii habari mara mbili mbili zaidi zaidi huwa mnasikia habari za kiduku tuuu"
hizo media zinamaongezi ya kuonyesha usupa power kwa NATO countries au kuonysha kama urusi hana nguvu za kufanya lolote au wamesalender.
Nawapa taarifa lugha anayo ongea putin na uchina hamuijui kabisa ? wiki iliyopita uchina ilitoa tamko la kuiunga mkono urusi, belarus walimuunga mkono urusi na taarifa nyingi hamzipati kwa sababu "zinachujwa" ....... na kupewa zenye kuonesha urus si kitu.
Ukitaka ujue urusi ni mwanaume nitakuorodheshea mambo kadhaa hapa :…
1. Rais wa ufaransa alienda urusi kufanya maongezi ili wamtulize lakini alipigwa chini hakuonekana kitu, watu kitu ambacho hawaelewi ni kuwa BIDEN kaharibu sana .
2. Cancellor wa ujerumani kwa kiasi kikubwa ndio kasikilizwa baada ya ziara ya jana ukraine na kwenda urusi leo na putin kasema atapunguza troops kule.
3. Nchi zaidi ya 7 kubwa ikiwemo marekani, wingereza,ujerumani,ufaransa wanamuongelea urusi peke yake .
4. Hivi urusi hamjiulizi kwa nini viongozi wakubwa ndio wanamfata kwenye nchi yake lakini jamaa amewakazia mpaka cancellor wa ujerumani ndio kasikilizwa dunia nzima wanaiogopa NATO chini ya U.S.A kwa sababu ya propaganda.
halafu media za NATO zinavyoripoti et putin anatoa majeshi kama kaogopa vilee au hawezi kuvamia yani watu ni wanadanganywa na media.
kwa kifupi mimi nafatilia maneno ya putin kupita media yao ya RT .
kimachofanya asikurupuke anajua kwamba viongozi wa hii dunia ya leo hawajielewi yeye toka mwaka 2000 kaanza na bush,obama,trump anawajua vizuri hlf huyu biden.
1. BiDEN MGONJWA U.S.A
2. RAIS WA UKRAINE ALIKUA MCHEKESHAJI sio kiongozi mwenye uzto.
3. MACRON NI MTOTO bado hajakomaaa kwa maono ya putin.
KIDOGO KWA SASA ANAWEZA SEMA NA KIONGOZI WA UJERUMANI KWA SABABU VIONGOZI WAKE NI WATU WANAOJUA HISTORIA
KWA KIFUPI CANSELLOR WA UJERUMANI KATOA HOJA YA MSINGI KUWA KWA KIZAZI CHA SASA HAKITAJI VITA KAMA KIPINDI WALIVYO SHUHUDIA WAO ATHARI ZAKE NA KUELEZEA NAMNA WANAVYOTAKIWA KUFOCUS NA UWEKEZAJI.
Putin kamuelewa yule cansellor hata mimi hoja za cansellor wa ujerumani nimeziona zinastahili kupunguza jazba ya Putin.
NB : Putin ndio anaongoza kwa bomu za nuclear duniani msisahau hilo licha ya nchi saba kumtaka peke yake.
unajua back up ya mrusi kumpiga Hitler aliipata wapi?.Huyo Hitler alipigwa na Warusi na siyo taifa lingine kamaulikuwa hujui sasa ujue
Hawa jamaa ni useless kabisa
Ukraine hawafai kuigwa
Are you kidding me Putin was KBG director .Huyo ana create story Ukraine started watch PutinWakuu, Baada ya Russia kupeleka jeshi kubwa mno kwenye mpaka wake na Ukraine, mataifa makubwa Duniani yalihamaki yakiongozwa na Marekani.
NATO ilisema wazi kwamba haitaiacha Ukraine ikiwa yatima,na tayari muungano huo wa kujihami wa Ulaya magharibi na Marekani umeimarisha vikosi vyake Poland na Estonia.
Russia imepeleka zaidi ya wanajeshi 130,000 kwenye mpaka wake na Ukraine na wakati wowote wanasubiria amri ya Rais Putin Kuivamia Ukraine.
Baada ya Russia kuimega Crimea na Dunia kukaa kimya,Putin alidhani itakuwa rahisi pia Kuivamia Ukraine na kufanya lolote sasa mambo yamekuwa Tofauti.
Uingereza imepeleka shehena kubwa mno ya silaha mbalimbali Ukraine na makomandoo wa kikosi maalumu cha SAS.
Canada nayo imesema haitaiacha pekee yake Ukraine itaipa misaada yote ya kijeshi dhidi ya uvamizi wa Russia. Kwa hiyo Russia inafikia hatua wanaogopa wakijua wazi kwamba kushinda vita kwao itakuwa ngumu mno.
Na hakika Russia ikijaribu kuivamia Ukraine haitashinda hii vita zaidi ya kuharibikiwa kiuchumi. Russia ni nani hasa hata ashinde vita dhidi ya Marekani, Uingereza,Canada na mataifa mengine mengi ambayo yanaisaidia Ukraine bila kuitangazia Dunia.
Mengine yabakie ushabiki tu, lakini Russia haitashinda hii vita na wao wameshaliona hilo.
View attachment 2119949
kuwa KGB hakufanyi Putin asiwe wa kubebeka, hata Gharib bilali kasomea utengenezaji wa mabomu ya nyukilia ila sasa kaanzisha Ufugaji wa kwale.Are you kidding me Putin was KBG director .Huyo ana create story Ukraine started watch Putin