Taifa la Ukraine ni miongoni mwa nchi zinazomiliki silaha za Nyuklia na makombora ya masafa marefu
Ni taifa kubwa tu la watu milioni 45 kulingana na takwimu za mwaka 2020
Jamaa wana silaha za kila aina lakini wanapigwa biti na mrusi wanaufyata
Kila mtu anaijua nguvu ya Putin na Urusi,lakini nachotaka kusema hapa ni kuwa, kama nchi nyingine tusiwe kama Ukraine
Hata kama ni Russia na manguvu yote ukraine alitakiwa akitishiwa kuvamiwa naye aonyeshe misuli ya umwamba
Taifa la watu milioni 45 sio taifa dogo wakuu ni taifa ambalo linaweza kuwa na uwezo wa kutunisha misuli kwa taifa hata lenye watu milioni 300
Sasa wapo milioni 45 wanakua waoga hivyo na wanaonyesha udhaifu mkubwa,jee wangekua milioni 3 au 4 jee?
Taifa la watu milioni 45 mkiamua kuwekeza kwenye jeshi na uwezo mkubwa mnauwezo wa kulitunishia misuli dola lolote hapa ulimwengu, milioni 45 inakutosha kuwa superpower nawe ukatunisha misuli
Na silaha za nyukilia wanazo lakini wamekua watu waoga hivyo?Vita ikitokea Ukraine wakijipanga wakipigana na Russia hata kama mrusi atashinda lakini wangemuachia russia makovu fulani au kumporomosha kiuchumi,kwamba vita viww virefu vya kufa na kupona.
Ukraine anapitwa hadi na nchi kama Israel ambayo ina idadi ndogo lakini wanatunishia misuli madola makubwa,kila kitu ni kujipanga,Israel sio wengi ni nchi ndogo lakini kijeshi wanajitahidi vipi hao ambao wapo milioni 45 na wamejionyesha dhaifu hivyo
Una makombora ya masafa marefu yanayofika Moscow halafu unatishiwa kuvamiwa?Kwanini usitamke wazi kabisa kwamba ukivamiwa utaishambulia Moscow kwa makombora ya masafa marefu?
Hii nchi ni ya ajabu sana....Mimi kwa hili nasimama na Urusi katika huu mgogoro lakini Ukraine wanafeli sana masilaha yote hayo lakini wameshindwa hata kupiga mkwara tena watavamiwa na hawatafanya kitu,hawa jamaa ni useless kabisa
Ukraine hawafai kuig
Unajua andiko lako linatoa picha gani kuhusu wewe?
1. Mwili wako umejaa makovu na ngeu kila mahala.
2. Huna rafiki anayekuamini ila tu watu wanakuwa na wewe kama kuna kitu wanahitaji kwako.
3. Unaweza kuwanyoa watoto wako vipara siku moja kabla ya harusi waliyondaliwa wasimamie.
4. Mkeo hajumuiki.
5. Hujawahi kuchaguliwa kuwa hata mjumbe wa kamati yoyote maishani mwako.
6. Kwenye mikutano ya jumla kazi yako ni kushambulia meza na wanakujua hivyo wanakuachaga kama ulivyo.
7. Una mahusiano ya mbali sana na hata majirani zako wakati huo huou huweze kuendana na hata ndugu zako wa damu.
8. Unatabia za kufuatilia na kukuza mambo na kwako kila jambo ni kubwa.
10. Uanjiona mpweke lakini ukwlei watu wanakukwepa kwa tabia zako za kupend ligi.
11. Unapenda kusutana kama genge la waimba taarabu.
12. Ni kama mtu umekua bila kupendwa na ukaachwa ujilinde na kujitegemea toka ukiwa umri mdogo, na bahati mbaya ukaishi kwenye mazingira ya visasi na kutokujali wengine.
13. Huamini katika amani na uvumilivu bali ni "Kama mbwai na iwe".
14. Huna sifa za uongozi.
15. Selfish.
16. Katili na hujali maisha ya kesho kwa yeyote.
17 Mihemuko kwa sana.
18. Kilakitu unafanya kwa kujihami na kuthibitisha.
19. Limitations kadhaa.
Pole sana ndugu.
Wingi wa watu, siyo nguvu wala uwezo.
Ngumi si suluhisho la kila changamoto.
Vita haina sura moja.
Hekima ni bora kuliko misuri.
Umeonyesha ni namna gani wewe si mtu sahihi wa kufanya maamuzi mikakati na ndiyo sababu hakuna mtu anayeweza kukuamini kukupa hiyo nafasi.
Mchana mwema.