Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha Hii Kali
Huegemei Upande wowoteWaache wachapane tu
Wataniangusha sana hii vita isipo maliza mwaka
Wazungu waache wauane tu
Mimi nipo kote kote
Gringo niko busy kichiz nabeba boksi nadeliver misosi kama sina akili nzuriHuyu myebusi Maghayo yuko wapi wajameni?
Jamaa anasambaza mabomu kama matone ya mvua. Hii vita ikimaliza siku nne basi hakutakuwa tena na nchi inayoitwa UkraineKunaendeleaje huko Ulaya mashariki
Huyu anaimba nyimbo za vibogoyo angekuwepo ndo tungemwona hapa. Ngonjera hatutaki ni fayaaaaa.😂😂😂😂
Kwahiyo Upo Huko unayaona?Jamaa anasambaza mabomu kama matone ya mvua. Hii vita ikimaliza siku nne basi hakutakuwa tena na nchi inayoitwa Ukraine
𝐡𝐚𝐡𝐚𝐡𝐚𝐚𝐡𝐚.....Kwahiyo Upo Huko unayaona?
Zile drone za uturuk zikiwashwa itakuwa kama Ethiopia, mrusi ataomba poo.muache aingize magari kwa pupa nahisi analiwa timing kama ilivyokuwa ethiopia, syria kwa jeneral khalifa, na armenia.Miji mingapi mpaka sasa ipo mikononi mwa Russia?
Ina maana Russia hawakutani na upinzani wa jeshi la Ukraine?
Sasa hzo picha mbili utatujazia uzi kwa kuzipost kila mara kwa taarifa yako airport imeshatekwa hukoKwa nn unashindwa kuji uliza maswali ya msingi kama why nchi zote zilizokuwa za Soviet zina ikimbia Russia?Ukraine ni nchi ina panga foreign affairs na internal affairs zake .anyway Nime kuwekea picha za vijan wa putin hapo chin View attachment 2129923View attachment 2129924
Hatukusababisha vita sisi wacha wauane.Kuna watu wanadhani bara la ulaya hadi america kukichafuka kwa vita Africa itakuwa na usalama naona hamuoni mbali
Vita sio kitu cha kuombea kabisa, uchumi wa mafuta na maligafi nyingine muhim zimeshikiliwa na wazungu yaani ikitokea vita vikubwa vikubwa vimezuka tegemeeni anguko la uchumi la kutisha, bei za bidhaa zitapanda mara kumi mtakuja kulia lia hapa mna ugumu wa maisha
Mpo kwenye nchi ambayo inatembeza bakuli kila kukicha kwa wazungu na ushahidi mnao kuwa ni ishara kuwa nchi mnayoishi pesa za pato la ndani hazitoshi kupambana na shuhuli za maendeleo ndio maana kila kukicha kazi kukopa kwa wazungu sijawahi sikia mnakopa Russia
Hadi madawa ya TB na mengine mengi ya kurefusha maisha ni misaada ya wazungu, wale leo hii wakiingia vitani vita ikawa ya kutisha nawahakikishia mtarudi hapa kumlaumu mrusi kwa nini ameanzisha vita
Ombeni amani na maridhiano msiombe vita mtakuja kulia lia hapa
Kwakudadavua Wabongo HamjamboZile drone za uturuk zikiwashwa itakuwa kama Ethiopia, mrusi ataomba poo.muache aingize magari kwa pupa nahisi analiwa timing kama ilivyokuwa ethiopia, syria kwa jeneral khalifa, na armenia.
Story za KusimuliwaMark my word... mbwa akikaribia kufa huzagaa barabarani ilimradi tuu agongwe afe
Sent from my HTC_M9e using JamiiForums mobile app
Nipo Beijing ila madude nayafuatilia kwa ukaribuKwahiyo Upo Huko unayaona?