Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwezi andika vitu vya ajabu. S-500 gani unazosema, regiment yenye hizo systems chache sana iko deployed Moscow area. Hautokaa uione inatumika nje hasa kuvamia adui. Hawana hata regiment moja ya hiyo system na mpaka December mwaka jana bado walikuwa wanafanyia analysis.Mkuu umeandika kweli ila kwenye asessment yako umejumlisha S400, S500 na S550
SU 57
T14 ARMATA
Hivi unafuatilia haya mapigano. Hilo jeshi la Urusi mnaloliona linatisha mbona silioni? Urusi imepeleka special forces kufanya landing Kyiv mida ya mchana, Ukraine wamefanya counter attack wakiwa surrounded na Russia ameperform very poor. Nakwambia Urusi angekuwa amevamia Poland hapa tungekuwa tunashangaa![]()
Report: Super-Silent Russian Submarines Are in British Waters, Making Navy Anxious
They are believed to be tapping into internet cables on the ocean floor virtually undetected.observer.com
Usiwachukulie poa warusi they are not military slouches as you think.
Hiyo ni story ya zamani, mwaka jana tu waingereza walikuwa na inquiry nuclear submarine yao mpya ilifuatwa na chombo cha Russia kwa masaa kadhaa bila ya wao kujua; walipoona awajagundulika kwa muda mrefu warusi wakawawashia sonar tupo nyuma yenu.
EU kwenye hili ni wachokozi ni sawa na U.S kufikiria tu kuwa rafiki wa karibu na N.Korea achilia mbali kuweka military base; China awezi kuruhusu kirahisi ilo jambo miaka 800.
EU wamesogea kwenye mipaka ya Russia nje ya makubaliano yao mpaka imekuwa too dangerous for comfort kwa upande Russia na bado wanataka waimeze na Ukraine; jamaa washari.
Acheni kuwa mnatazama video YouTube mnafanya conclusion kwenye battleground. Ndio yule yule aliyekuja kusema Su-57, T-14 Armata na S-500. Silaha ziko kwenye testing wewe unasema matumizi. Mbona hata US anazo hypersonic missiles on testing au kisa hazioneshi YouTube?Sio kwamba mrusi kaingia vile kutokana na jinsi myukrein alivyo, sasa kama Ukraine haiko imara saana ya nini kutumia miguvu mingi zaidi.. Mrusi aamue kufanya lake kisha mpoland ammzuie, masihara hayo mzee, mtu mwenye nguvu ya kijeshi namba 2 duniani jnamdharau kiasi hiki, acheni ushabiki.
Hilo moja pili, ikitokea vita ya magwiji hayo itakuwa ni piga nikupige, hypersonic missiles za mrusi zitaland kwa mmarekani vizuri tu, mrusi ana makombora ya kupiga popote duniani, ila sema tu vita hii itapiganwa ndani ya urusi, mmarekani atajaribu kuingia na kushambulia kutokea kambi zake za karibu. Ila mrusi atapiga kutokea kwake na sio kuzuia tu, sio Chelsea ya mourinho ile.
NDo unamsimanga[emoji1787][emoji1787]haya russia kapiga tayar hivyo vikosi vyako vipo wap
Hizi imani sometimes zinawafanya watu kuwa vichaaHuyu anaimba nyimbo za vibogoyo angekuwepo ndo tungemwona hapa. Ngonjera hatutaki ni fayaaaaa.
Vyanzo vyako vya habari ni vipi?..Bado kuna elements za uhai wa Ukrainian air defence capabilities pamoja na airstrikes za mwanzo asubuhi ya jana. Milipuko imetokea mjini Kyiv usiku huu, Western intelligence communities zinaendelea kutoa accurate data na briefings ila CNN ilisema kutakuwa na attack mjini Kyiv possibly artillery or missiles at 03:00 local time na sioni kama imetokea. Huwa siwaamini CNN moja kwa moja.
Ministry of Defence inasema losses kwa Russia ni 30 tanks, 130 armoured combat vehicles, 6 helicopters, na ndege 7. Ukraine imekwishapoteza wanajeshi 137
Watu wanatumia nguvu kulingana na adui.Hivi unafuatilia haya mapigano. Hilo jeshi la Urusi mnaloliona linatisha mbona silioni? Urusi imepeleka special forces kufanya landing Kyiv mida ya mchana, Ukraine wamefanya counter attack wakiwa surrounded na Russia ameperform very poor. Nakwambia Urusi angekuwa amevamia Poland hapa tungekuwa tunashangaa
TBC2Hii vita iko live chanel namba ngapi wakuu?
we ni mjenda wa marekani au Urusi, au ni shabiki tuAssessment niliyofanya mpaka sasa kwa Russian landing forces, their military gears, troops, tectics nakuhakikishia Russia hana uwezo wa kuvamia Marekani. Labda hiyo Marekani uwe unaisema iliyochorwa kwenye kikaratasi chumbani kwako umeiweka uvunguni mwa kitanda. Poland tu the way walivyo wanaweza mount resistance kwa invading Russian forces. Uturuki hii pekee inaweza zuia landing kama iliyofanyika leo.
Silaha kubwa zilizotumika leo: ukituma Mi-8s na Ka-52s unakutana na MANPADS na short range air defence systems, ukituma tanks ardhini unakutana na Uturuki au Poland wanazo German made Leopard 2 na ATM za kutosha. Ukija na Sukhoi na MiG haziko stealth hata bila ground radar Poland wakinyanyua AWACS mbili tu angani zinatoa mwongozo wa fighters zao kushambulia adui akiingia anga lao. Russia ikitumia artillery, self propelled howitzers na MRLS kama Smerch, Uragan hao members wa NATO karibia wote huwa wana counter battery radars. Kitu pekee ambacho Russia ana edge ni missiles hizo Kalibr zilizotumwa kama 160 hivi. Russian navy ilikuwa na meli zaidi ya 12 baharini na imeteka mji wa Maliupol na navy base ya Ukraine. Meli zinaleta shida kiasi, hakuna ASM za range kubwa ila landing crafts zitazuilika. Kuna nchi kibao hapo zinaweza hold more than a month zikivamiwa na Russia.
Ukraine sio level za Urusi na haina silaha za kutosha, wala sioni kama ina mobilization ya maana, kwanza jeshi ni 160,000 hivi ukiongeza na reserve wasiofika milioni moja. Hata hivyo Ukraine imefanya counter attack mida ya jioni, imepeleka mashambulizi kujaribu kuzuia airports za karibia na mji mkuu kutekwa. Naamini wakishindwa wataweka craters kwenye runways ili ndege za Urusi zisitue hapo.
Siwezi ilinganisha Russian na Marekani, ikitokea vita kati yao doctrine zao zinaonesha kabisa kwamba Russia atakuwa na defensive position na US atakuwa na offensive position. Hatotokea mwanajeshi yeyote wa Urusi aingie ardhi ya Marekani. Kwa mfano atapita wapi na kwa kutumia nini?
Kuhusu nuclear capabilities achana na idadi ya warheads sema nuclear delivery systems, preemptive strike capability na response. Hawazidiani sana idadi ya makombora na hawahitaji kutumia hata robo yake kumaliza vita.
Vita ya Russia vs USA haipo. NATO vs Russia haipo zitakuwepo operations za kuunga mkono au kumpinga third party
😂😃😀Hii vita acha nikomae nayo kupitia BBC Swahili, Aljazeera bila Dictionary hautoboi
CNN inasema kuna Su-27 ya Ukraine imedondoshwa na SAM ya UrusiKuna ndege moja kubwa imedondoshwa mjini Kyiv muda si mrefu, kwa mlio wa engines inaweza kuwa IL-76 airlifter. Sidhani kama itakuwa ni bomber. Kuna uhai bado kwenye air defence ya Ukraine, vigumu kufanya landing bila kuwa na anti access/aerial denial (A2/AD)
Unam- underrate sana Russia, nadhani movie za kimarekani zimekufanya uwe hivyo.Hivi unafuatilia haya mapigano. Hilo jeshi la Urusi mnaloliona linatisha mbona silioni? Urusi imepeleka special forces kufanya landing Kyiv mida ya mchana, Ukraine wamefanya counter attack wakiwa surrounded na Russia ameperform very poor. Nakwambia Urusi angekuwa amevamia Poland hapa tungekuwa tunashangaa
Fake news ndio nyingi kuliko ukweli. Am trying to avoid biasVyanzo vyako vya habari ni vipi?..
Vyombo vyongi vya habari viko biased..either vipo upande wa Ukraine au vipo upande wa Russia.
Kupata reliable news info. ni kazi.
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app