Bado kuna elements za uhai wa Ukrainian air defence capabilities pamoja na airstrikes za mwanzo asubuhi ya jana. Milipuko imetokea mjini Kyiv usiku huu, Western intelligence communities zinaendelea kutoa accurate data na briefings ila CNN ilisema kutakuwa na attack mjini Kyiv possibly artillery or missiles at 03:00 local time na sioni kama imetokea. Huwa siwaamini CNN moja kwa moja.
Ministry of Defence inasema losses kwa Russia ni 30 tanks, 130 armoured combat vehicles, 6 helicopters, na ndege 7. Ukraine imekwishapoteza wanajeshi 137