hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Ila Hawa akili zao bwana [emoji16][emoji16]Mlisema hawezi vamia leo mmebadilisha maneno.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila Hawa akili zao bwana [emoji16][emoji16]Mlisema hawezi vamia leo mmebadilisha maneno.
Werevu huangaikia Kinga na si Tiba. Kinga hugharimu padogo kuliko Tiba.Sasa mbona mpangaji mwenyewe hajapanga nyumba hiyo kwanini uanze kumshambulia?
Ukraine hajajiunga na Nato ila alikuwa na kusudio hilo tu sasa imekuwaje Urusi iishambulie kijeshi wakati hata hajajiunga?
[emoji23][emoji23][emoji23]Haaaahaaah. Halafu Fake ID madhara yake mnaweze kuwa Ofisi Moja halafu unayemtukana ni Mkuu wako wa department. Kila ninapoona Post zako naona zina test fulani na jamaa hapa ofisini. Naendelea kuku zoom ifike hata 60% nitakachofanya huyu jamaa wa ofisini nitamhamishia sehemu network shida na usipoonekana humu nita conclude ni wewe.
Acha matumizi ya ^key-levi,^ utakuja kunishukuru baadaye. But Putin is right.Putin Jasusi Mbobezi kama Mh. Bernard Membe , amesha ithibitishia dunia ya kwamba yeye ndiye mbabe kwa sasa.
Hivyo Marekani ni kama CCM tu mbele ya Chadema! Yaani mwanamke hawezi kupigana na mwanaume kirahisi tu. Labda akuvizie na kuzikamata zile nanihii (kwa Marekani ni vikwazo dhidi ya Russia), hapo atashinda.
Huwezi kumuamini U.S.A hata kidogo, majuzi tu aliisaliti serikali ya Afganistan.Yeye akivamia wanasema anataka kuleta demokrasia Urusi ikifanya ooh ni Udikteta [emoji1787][emoji1787] Pro-America wanashida Sana mkuu
Putin amekataa hizo mambo. Amesema tayari ashaanza ^special operation,^ na lazima ikamilike. Too late for the president! Lazima Ukraine plus nchi zote za former USSR zirudi Russia.Teh..teh..teh...Russia wahuni kweli, eti Russia haibadilibadili msimamo wake kama mtoto wa kike (msichana)!
Any way, tayari rais wa Ukraine kaomba kuzungumza na Putin juu ya Ukraine kutojiunga na NATO na kutoweka silaha za US na NATO kwenye ardhi ya Ukraine
![]()
Ukraine advisor flags neutral NATO stance
Ukrainian presidential advisor Mykhailo Podolyak says Ukraine wants peace and is ready for talks with Russia, including on neutral status regarding NATO.7news.com.au
Hivi unaamini kabisa Taliban hawakuwa wamekula dili na hao 🇺🇸?Huwezi kumuamini U.S.A hata kidogo, majuzi tu aliisaliti serikali ya Afganistan.
Alikata umeme akatoroka kimyakimya usiku wa manane bila kutoa taarifa kwa mkuu wa majeshi. Taliban wakaingia kilaini bila kufyetua risasi hata moja!
Sasa mbona mpangaji mwenyewe hajapanga nyumba hiyo kwanini uanze kumshambulia?
Ukraine hajajiunga na Nato ila alikuwa na kusudio hilo tu sasa imekuwaje Urusi iishambulie kijeshi wakati hata hajajiunga?
Watu wa Cryptos Ni kama WEHU.urusi imejikuta kuwa na vikwazo kama pesa yao kutumiwa kwenye biashara za kitaifa kwenye mataifa mengine hata kubadilishana.
utafiti unaonyesha kuwa urusi ilijipanga mda mrefu na baada ya kupata elimu ya cryptocurrency .
urusi imewekeza pesa zake nyingi humo ambapo mfumo huu wa cryptocurrency uwezi kujua pesa anamiliki na nani na unaweza kwenda sehemu yoyote na kununua chochote.
Tuachane na kujipanga kivingine.hata North korea ilishawahi kuiba mamilioni ya cryptocurrency na kununua vifaa kwa ajili kutengeneza makombora.
cryptocurrency itaweza kuzuia vikwazo vya urusi
Hahahahahahahahahahahahaha.......Acha matumizi ya ^key-levi,^ utakuja kunishukuru baadaye. But Putin is right.
Huyo ni Mrusi wa Buza, anajaribu kujifariji na cryptocurrency! Atakapominywa asipate hata Mia ya kununua unga Manzese ndo atakapojua hajui.Dah aiseeh sikujua Kama humu bongo tuna warusi weusi na wamarekani wengi namna hii
Mpira tena? Kule field watu wanakufa, wewe!mpira ni dk 90, mapema sana kutoa majibu sasa hivi