LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Alipe gharama gani..
Yeye yuko kwenye nchi yake..anongelea nchi yake..anaweza kujiunga na upande anaoutaka hii ndio maana ya sovereignty..
Hata akiongea mangapi Russia inamuhusu Nini Kama sio ubabe tu..
Ziliensky
Alipe gharama gani..
Yeye yuko kwenye nchi yake..anongelea nchi yake..anaweza kujiunga na upande anaoutaka hii ndio maana ya sovereignty..
Hata akiongea mangapi Russia inamuhusu Nini Kama sio ubabe tu..
Hii kauli utalipa gharama unafahamu maana yake? Mfano. Umeambiwa ukachanje chanjo ya korona. Ukakataa. Korona ikaja. Ikakupata. Hapo ndio huu msemo unaposimama. U'll pay the praice"

Gharama hapa ni pamoja na msukosuko wananchi wa nchi yake wanaopata. Nk nk
 
Amalizane kwanza na Ukraine ambaye ni weak mbele ya kina Poland na Finland. Russia uwezo wake uko exaggerated tukubali tu, vita atashinda ila weakness ashaonesha.

Ila nadhani inachangiwa na kupigania mjini, uko kwingine aliwashinda walikuwa hawajajipanga na hawakuchukulia serious kama watavamiwa. Haya mambo ya urban warfare Israel ndio wameishi nayo muda mrefu na silaha zao ziko kwa ajili ya urban pamoja na desert warfare. Urusi silaha zake ni za kupigania porini kwenye vast lands maeneo ya Siberia uko. Akitoka hapa atafanya modifications ya silaha na kujipanga dhidi ya vitu kama IEDs vilivyosumbua Wamarekani Uarabuni. Una kifaru kina armour ya kuzuia HEAT shell kikipigwa na rocket kinahimili, ila mpishi wa Ukraine anakirushia chupa ya petrol kinawaka moto, hajatumia hata TSH. 2000.

Kupigana na jeshi linaloungwa mkono na raia ni kazi sana. Kwanza wanoko, ukipitisha vifaru CCTV zao mtaani wanasoma wanawaambia wanajeshi wao mko wapi mnapigwa ambush. Mpaka Urusi baadhi wakavaa sare za Ukraine kufanya infiltration ila mambo magumu bado
USA kwenda Iraq tu alikusanya kijiji cha Dunia na alichukuwa siku 28 Russia siku mbili tu yuko mlangoni capital city. Hata huko nyumba history inaonesha aliyemuweza Germany ni Russia ndio aliokoa bara la ulaya. Sasa wewe amini hivyo na ndio maana hujasikia hao unaona wana nguvu hata mmoja kuingilia na Putin katema mkwara tu wote kimyaa. Jana Rais wa Ukraine anasema kawapigia wote kimyaa.
 
Manina Russia wakutane na Poland ana kwa ana hiyo vita itakuwa sio ya kitoto,Poland wana hasira za kihistoria na Russia,Russian infantry ni wakawaida sana sio kama dunia inavyowapamba kabisa..
Kwanza hadi sasa ni siku ya 4 Russia imeshindwa kuweka No fly zone hapo Kyiv pamoja na Airforce power walionayo,ni kitu cha kushangaza sana.
Yule pilot wa Ukraine wanamuita nickname Ghost of Kyiv ameshaka kula jets 4-6 za Urusi hadi sasa,ikiwemo the most advanced Su-35 ila jamaa anda Mig-29...Jamaa ni mzee tu late 50s...
Unaongelea vita kama vile unaongelea ushabiki wa ligi ya mpira ya Uingereza,

Wamarekani wa Buza mnateseka sana.
🤣🤣🤣🤣
 
Chanzo ni Ukraine kukubali kujiunga na NATO lakini sio hilo tu kingine ni kukubali marekani na NATO kuingiza silaha zao ndani ya nchi ya Ukraine

Kama unavyojua Russia na Ukraine ni majirani na hawezi kukubali kuona silaha za maadui zake NATO na marekani zinakuja karibu
Huko ni kuhatarisha usalama wake
So anajilinda ndio maana anamwambia Ukraine ajiondoe NATO na asiruhusu silaha kuingia Ukraine.

Kingine ni watu wenye asili ya urusi wa majimbo ya Donetsk na luhanski waliopo ndani ya Ukraine wanaotaka kujitenga na Ukraine na kujiunga na Russia
Uhasama wa nini wa kihistoria? Uhasama hauwezi kuisha? Mitizamo ya kikomunist ni ya kishamba sana.
 
Uongo huo,hajapeleka jeshi lote lakini kala hasara ambayo hakuitegemea.

Ukraine hakuna kitu pale Hata spending ya budget Kati ya Tzn na Ukraine Kwenye Jeshi Tzn tumewazidi..

Yaani migambo wa hesbullah wanawashinda jufyatua rocket hata moja kuingia Russia?

Waasi wa Yemen wa Kihouth wanapigia hadi Riyadh afu hao wapuuzi wa Ukraine hawawezi hata jufyatua rocket moja.
Kama ulimsikia Zelensky alikuwa clear kwamba the aim ya Ukranian amry ni defense sio offensive war maana wanajua hawana resource kupigana offensive war,Wanachokifanya ni kuwasubir Russia infantry wajae target then wanawashambulia,hadi sasa tactick yao ime work 100%,hayo mengine ya kushambulia Moscow unasema wewe,ila Generals wa Ukraine wameshachagua tactic yao 'defensive'.
Halafu punguza hasira Russia watashinda vita ila chamoto lazima wakipate,na pia wataonyesha ulimwengu kwamba russian infantry haipo kama tulivyoaminishwa mwanzo...Hakuna kitu ngumu kama kupigana na mtu mwenye spirit na yuko tiyari kufa kutetea alichonacho,hiki ndio kinawaua warusi
 
Tuseme chanzo ni Marekani na washirika wake kutaka kuweka silaha zao za Nuke Ukraine kwa kupitia mgongo wa Ukraine kujiunga na NATO.

Mkataba wa Minsk uliosainiwa sijui miaka mingapi iliweka wazi kwamba NATO haitaendelea kujitanua kuelekea upande wa Urusi hivyo kitendo cha NATO kutaka kupokea Ukraine ni kuvunja mkataba huo.

Hii ndiyo maana Putin amezionya Finland na Sweden nao wakijifanya kutaka kujiunga na NATO watapigwa vibaya.
Warusi badala wajenge uchumi na kujitanua duniani bado wanaota ndoto za ukomunist
 
Unaongelea vita kama vile unaongelea ushabiki wa ligi ya mpira ya Uingereza,

Wamarekani wa Buza mnateseka sana.
🤣🤣🤣🤣
Mzee punguza hasira mrusi mweusi,Wenzako warusi vita watashinda ila cha moto watakiona tu,..
Halafu kwa nini Kremlin hawatoi data za vifo vya warusi,au hawafi wamekuwa ma robots??..Propaganda at it best...
 
Mzee punguza hasira mrusi mweusi,Wenzako warusi vita watashinda ila cha moto watakiona tu,..
Halafu kwa nini Kremlin hawatoi data za vifo vya warusi,au hawafi wamekuwa ma robots??..Propaganda at it best...
Hasira ziko wapi hapo? Naona tu unavyoteseka utafikiri wewe ni mu Ukrania kumbe upo Buza huko chini ya muembe unatafuna tu muhogo mbichi kupitisha siku.
🤣🤣
 
Kama ulimsikia Zelensky alikuwa clear kwamba the aim ya Ukranian amry ni defense sio offensive war maana wanajua hawana resource kupigana offensive war,Wanachokifanya ni kuwasubir Russia infantry wajae target then wanawashambulia,hadi sasa tactick yao ime work 100%,hayo mengine ya kushambulia Moscow unasema wewe,ila Generals wa Ukraine wameshachagua tactic yao 'defensive'.
Halafu punguza hasira Russia watashinda vita ila chamoto lazima wakipate,na pia wataonyesha ulimwengu kwamba russian infantry haipo kama tulivyoaminishwa mwanzo...Hakuna kitu ngumu kama kupigana na mtu mwenye spirit na yuko tiyari kufa kutetea alichonacho,hiki ndio kinawaua warusi
Mneno ya kujifariji kaa utulie 😀😀😀😀 raisi ana spirit kwa vile anaondolewa au kuuwawa kabisa ila wanajeshi wako weak
 
Chanzo ni Ukraine kukubali kujiunga na NATO lakini sio hilo tu kingine ni kukubali marekani na NATO kuingiza silaha zao ndani ya nchi ya Ukraine

Kama unavyojua Russia na Ukraine ni majirani na hawezi kukubali kuona silaha za maadui zake NATO na marekani zinakuja karibu
Huko ni kuhatarisha usalama wake
So anajilinda ndio maana anamwambia Ukraine ajiondoe NATO na asiruhusu silaha kuingia Ukraine.

Kingine ni watu wenye asili ya urusi wa majimbo ya Donetsk na luhanski waliopo ndani ya Ukraine wanaotaka kujitenga na Ukraine na kujiunga na Russia
Ni Kweli hata USA haiwezi kuruhusu Urusi iweke kambi Mexico au canada! Marekani tatizo huwa wanajifanya kuwa na haki zaidi ya wengine.
 
Manina Russia wakutane na Poland ana kwa ana hiyo vita itakuwa sio ya kitoto,Poland wana hasira za kihistoria na Russia,Russian infantry ni wakawaida sana sio kama dunia inavyowapamba kabisa..
Kwanza hadi sasa ni siku ya 4 Russia imeshindwa kuweka No fly zone hapo Kyiv pamoja na Airforce power walionayo,ni kitu cha kushangaza sana.
Yule pilot wa Ukraine wanamuita nickname Ghost of Kyiv ameshaka kula jets 4-6 za Urusi hadi sasa,ikiwemo the most advanced Su-35 ila jamaa anda Mig-29...Jamaa ni mzee tu late 50s...

Mbona kushabikia vita huku? Hii siyo sinema mkuu. Pana watu wanakufa wakiwamo watoto wadogo wasiokuwa na hatia mjomba.

Hivi hiyo Mig-29 manufacturer ni nani na inapambana na nani hata kujaribu kuipamba ki hivyo mkuu?
 
Mzee punguza hasira mrusi mweusi,Wenzako warusi vita watashinda ila cha moto watakiona tu,..
Halafu kwa nini Kremlin hawatoi data za vifo vya warusi,au hawafi wamekuwa ma robots??..Propaganda at it best...
Kuna hasira hapo?Au na wewe unaleta propaganda zako...
 
Hasira ziko wapi hapo? Naona tu unavyoteseka utafikiri wewe ni mu Ukrania kumbe upo Buza huko chini ya muembe unatafuna tu muhogo mbichi kupitisha siku.
🤣🤣
Wewe uko wapi mkuu tandale au ??,Nyie si ndio mlikuwa mnapinga USA kuvamia waarabu,mkijifanya watetezi wa haki??..leo imekuaje tena mmegeuka mna support warusi kuua watu Ukraine??..Warusi weusi hamnaga akili aisee...Whats the difference bt US kuivamia Iraq na Russia kuvamia Ukraine??....
 
Manina Russia wakutane na Poland ana kwa ana hiyo vita itakuwa sio ya kitoto,Poland wana hasira za kihistoria na Russia,Russian infantry ni wakawaida sana sio kama dunia inavyowapamba kabisa..
Kwanza hadi sasa ni siku ya 4 Russia imeshindwa kuweka No fly zone hapo Kyiv pamoja na Airforce power walionayo,ni kitu cha kushangaza sana.
Yule pilot wa Ukraine wanamuita nickname Ghost of Kyiv ameshaka kula jets 4-6 za Urusi hadi sasa,ikiwemo the most advanced Su-35 ila jamaa anda Mig-29...Jamaa ni mzee tu late 50s...
Wewe ni Muongo
 
Kwani mmoja ya sababu ya Nchi za Ulaya kupuyanga puyanga kwenye issue hii ni kutokana na kwamba Ulaya inaihitaji Urusi kuliko Urusi anavyo ihitaji yeye.Pia bado kuna Nchi nyingi hazafungamana na NATO.
Population ya China+India tu ni zaidi ya 36% ya Watu wote Duniani,hii ni karibu Nusu ya watu wote Duniani-hili ni soko zuri na wote wana mashirikiano mazuri na Urusi.
Issue sio idadi ya watu Kaka. Inshu ni GDP per Capita ya mwananchi mmoja mmoja. Unafikili wanakwenda kuigawa Gas bure kwa wananchi wa China na India? Nchi Kama India inamasikini zaidi ya 900M wanaoishi Chini ya umaskini Mkubwa,hao hata wakipewa hiyo Gas hawataweza kulipa. Per Capita income ya Ulaya Magharibi ambako Urusi anauza Gas ni $ 68,000. Per Capita ya China na Indioa ambako unasema Urusi akauze Gas ni $ 11,000-China na $ 3200-India. Huko hasa India hakuna Soko la Gas ya Russia make Raia Wanapikia Kuni na Mkaa.

Israel yenye watu 7M bajeti yake kwa mwaka ni $ 200B. Nigeria yenye watu 210M bajeti Yake kwa Mwaka ni $ 58B. Kwahiyo Urusi akipoteza Soko la Ulaya na Ulaya ikapata mbadala(Japo sio Rahisi) Basi Urusi itakuwa imepata hasara kubwa Sana. Itabidi auze Gas yake kwa China kwa Bei ya Chini yaani $ 40 kwa 100L wakati Huko Ulaya anauza $ 280 per 100L. Kibiashara hiyo ni hasara kubwa Sana.
 
Back
Top Bottom