Ikitotanzila
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,409
- 2,263
BuzaUrusi hawatoki ulaya wanatoka wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BuzaUrusi hawatoki ulaya wanatoka wapi?
Mkuu hoja nyingine ni za walevi wa chang'aa.Shida ya kupambana na nchi yenye nukes ni kuwa atazitumia na zina madhara makubwa hata kama mtamshinda kwenye vita. Nje ya nuclear, NATO ndani ya mwezi anaiteka Urusi yote.Urusi inasemwa kuwa nchi yenye uwezo wa kupiga nchi zote za nato at the same time.
sasa kinachoendelea pale Ukraine tumeanza ku- question uwezo huo unahubiriwa kwenye social media
Kina nani wamechoka. Hao wanaopigania kilomita 10 kwa siku mbili? Yani Belarus na Russia ndio unasema wamechoka, hata ukijumlisha uchumi wao hauathiri sana dunia. Sanasana bei ya mafuta na gesi itapanda, mafuta yatakuwa replaced na output kubwa ya OPEC. Russia ataendelea kuuza gesi Ulaya kama hataki ainywe, Ulaya ina options kibao za gharama kubwa kupata gesi. Russia isiuze gesi uchumi ufe tuone kama raia hawataandamanaWe endelea kuota, watu wamechoka na ubabe wa USA, wanakiwasha na hakuna kitu mtawafanya.
Hawa ndio wanaojielewa?Vijana wengi wa Chadema hawajielewi
We ms€nge umeuomba ufahamishwe unajibu ovyoBuza
Ukraine haikuwa imejiandaa vyema kupigana wakati huu. Ilikuwa na silaha ambazo huwezi nunua wala kufanya training vita ikianza ila hawakuwa na mobilization hata resistance imetokea masaa mengi tangu movements za Russia zianze. Walikuwa wanaambiwa na UK na US intelligence kwamba Russia atavamia wanajibu eti tumezoea kuishi hivihivi tangu 2014 wala msiogope. Sasa unavamia jeshi lisilo na mobilization, unawakamata off guard kisha unaperform low hivi na wewe ni superpower. Tukiwaambia watu wanatuita team USNaona mmeanza kuyageuza maneno sasa hivi,siku tano nyuma,mbwembwe zilikuwa nyingi hapa utadhani Ukraine walikuwa hawajajiandaa na Vita hata kama inazidiwa kwa kila kitu na Russia,leo upinzani umekuwa mkali mnaanza kuja na hizi excuses
Wahack nakujua wewe ni good hackerHawa mods hovyo sana, mimi niliweka uzi hapa jana kwamba Urusi wakimalizanan na kiev wanaweza kuvamia poland na romania wao wakaunganisha kwenye uzi huu hapa.
Mods wanatumia mamlakayao vibaya.
Ni aibu kubwa Sana kuilinganisha US na ujinga wa UrusiUkraine haikuwa imejiandaa vyema kupigana wakati huu. Ilikuwa na silaha ambazo huwezi nunua wala kufanya training vita ikianza ila hawakuwa na mobilization hata resistance imetokea masaa mengi tangu movements za Russia zianze. Walikuwa wanaambiwa na UK na US intelligence kwamba Russia atavamia wanajibu eti tumezoea kuishi hivihivi tangu 2014 wala msiogope. Sasa unavamia jeshi lisilo na mobilization, unawakamata off guard kisha unaperform low hivi na wewe ni superpower. Tukiwaambia watu wanatuita team US
si uweke hapa tujisomee
===Russia wameendelea kushambulia na sasa wanashambulia mji wa pili kwa ukubwa nchini Ukraine wa Kharkiv. Hii imetokana na kuoana wanapata upinzani ambao hawakuutegemea katika jiji la Kiev.
Wanajeshi wa Ukraine wameonekana wakipambana kutoa upinzani ambao haukutegemewa kwa Russia. Mapambano ni makali ingawa Russia inapewa nafasi kubwa ya kushinda. Ila haitakuwa kirahisi sana kama ambavyo walitegemea.
Ukraine imeendelea kukaribisha wanajeshi wa nchi rafiki na wowote walio tayari kuungana nao katika vita hivi.
Wanajeshi wa Russia wamekutana na changamoto toka kwa wananchi wa Ukraine ambao wameonesha kutokubaliana na wao kuwepo nchini mwao.
Huyu hapaUkiona mpaka sasa rais wa Ukraine hajajitokeza kuhamasisha au kutoa hotuba yoyote, ujue mambo ni magumu na ni suala la mda tu, nchi ya Ukraine itakuwa mikononi mwa Russia, ukumbuke pia Ukraine anapewa dhana za vita na mataifa ya Nato, kwahyo anajikongoja lkn mwisho wa kujikongoja ni lazima apigwe. Russia ni jeshi bora duniani na ndio maana USA na ubabe wake wote hathubutu kuingiza jeshi lake vitani, maana anajua final itatokea vita ya nucleur so usiichukulie poa poa Russia huu mchezo bado upo ndani ya uwezo wao ni suala la mda tu
Propaganda tu hizo.Huko Media zao tu wanasema Jeshi la Russia halijaanza safari ya kuingia wanaopiga kwa sasa ni kile kikundi kidogo cha jeshi kinachfanya tathmini na kulegeza njia wakipewa green light tu ni moja kwa moja kukibeba kile kijoti.
Hapana, UKRAINE waliomba mazungumzo URUSI akakubali kwa sharti moja kuwa mazungumzo hayo yafanyikie BELARUS. Urusi wamefika kuwasikiliza lkn UKRAINE wanata mazungumzo yafanyike UTURUKI au NCHI yoyote isiyoungana na URUSI kwenye mzozo huu.Urusi anataka mazungumzo tena?
Eukrain ni nchi huru. Inajiunga na umoja inayotaka, inajilinda kwa namna inayoona inafaa. Si lazima ifuate matakwa ya Russia. Au ni lazima? Maana umeandika kama vile Eukraine inatakiwa ifuate matakwa ya Russia na si USA ukasahau kuwa ile ni nchi pia.
Ooh. Ookey. Asante. Sipo karibu na sorce reliable ya habari . Vipi huko, Russia kafikia hatua gani?Hapana, UKRAINE waliomba mazungumzo URUSI akakubali kwa sharti moja kuwa mazungumzo hayo yafanyikie BELARUS. Urusi wamefika kuwasikiliza lkn UKRAINE wanata mazungumzo yafanyike UTURUKI au NCHI yoyote isiyoungana na URUSI kwenye mzozo huu.
Russia has nothing to offer economical, marekani anapendwa na nchi za ulaya sababu ya kuwa na uchumi Mkubwa na ela, urussi angekua na GDP kubwa kuliko nchi zote ulaya haya yote yasingetokea kwa sababu hata Ukraine angemngangania Ila ela Ina nguvu sanaHabari ndg natumaini mu wazima wa afya...
Sifurahii vita wala kusapoti upande wowote lakini kwakiasi furani Urusi amelazimishwa na anahaki kabisa ya kufanya anayoyafanya...
Niwaase ndgu zangu mnaofuatilia kwa ukaribu suala hili la vita ya Ukraine na Vladimir Putin msidanganyike kirahisi na Western medias(vyomb vya habari vya magharibi.
Serikali ya Ukraine haswa Zelensky mwenyewe Raisi wa Ukraine anatambua haswa kwanini Putin yupo kwenye makasiriko.kiufupi suala hili la Ukraine na urusi....
1.Kumekuwa na sintofahamu dhidi ya mataifa haya mawili(Slavic states)kwa miaka mingi Sasa(kiutamaduni,kikabila...n.k)
2.Lengo la Urusi haswa siyo vita na Ukraine Kama inavyoonekana au kutafsiriwa na vyombo vya habari ulimwenguni. Putin anayomalengo yake mengine.
3.Putin amekuwa akiionya kwa miaka kadhaa Sasa serikali ya Ukraine kuhusu kuwa Kama kitovu Cha upelelezi dhidi ya taifa lake(Urusi)...na Vladimir Putin kwa ujumla...
Kiufupi mali nyingi ambazo Ukraine wamekuwa wakizimiliki(mafuta, gesi, na zaidi siraha za kivita zimekuwa zikimilikiwa na kuendeshwa na serikali na makampuni kutoka Marekani.
Kiufupi Marekani amekuwa kwamiaka mingi anatumia pesa nyingi kumtenganisha kabisa mrusi na Ukraine huku akitengeneza ukaribu zaidi na yaifa hilo la UKRAINE kwa misaada n.k mfano bomba la mafuta ambalo lilotakiwa lipite njia rahisi kabisa ya Ukraine kwenda ulaya magharibi (the nord stream 2).
jambo ambalo Ni tatizo kwa usalama wa taifa la Urusi..(rudi kwenye historia mzozo wa Urusi na Marekani kuhusu suala la Uturuki , Cuba...
Nimejifunza waafrika wengi tunaamini moja kwa moja tunayoyaona kwenye vyombo vya habari bila kujiuliza maswali au kufanya uchunguzi japo kidogo sisapoti vita lakini najaribu kumuelewa Putin na Urusi jambo ambalo wanajaribu kulifanya.
Kwakumalizia
1. UKRAINE ilishaandaliwa mapema Sana mipango ya NATO ilishasukwa mapema ikiwemo wanajeshi kuletwa mapema zaidi hasa mji wa Kyiv.2.Kama Urusi wangedhamiria kuipiga UKRAINE ingeshapotea kabisa siku ya kwanza..
Lakini zaidi kila nchi huru ikiwemo Ukraine inauhuru wake wakuchagua Nani awe rafiki/mshirika(An Ally) Kama Mrusi anawasiwasi na Ukraine 1..angejikita kwenye kuongeza nguvu kulinda mipala yake Kama afanyavyo North Korea dhidi ya South Korea..2..Angetumia mbinu kama alizotumia miaka ya 1962 Cuba n.k 3.Ajikite kuimarisha uchumi wake uliodorora Sana kwani maadui zake Ni wengi na wapo vizuri kiuchumi.
.
Yaaa. Yawezekana.Inawezekana kulikua na makubaliano huko nyuma na yamevunjwa. Lazima kuwe na sababu