Sasa unasema kwa emotions why?Empty head unazani Usa akiingia kuna ambacho uyo basha wako ata fanya?? Ilo ni biti la mtu anae jua majibu amna nchi inayo ingia ingia tu vitani kwa sababu ya nchi nyingin
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa unasema kwa emotions why?Empty head unazani Usa akiingia kuna ambacho uyo basha wako ata fanya?? Ilo ni biti la mtu anae jua majibu amna nchi inayo ingia ingia tu vitani kwa sababu ya nchi nyingin
Mkuu kwenye habari za kivita hukuwahi kutuangisha.Ukraine haikuwa imejiandaa vyema kupigana wakati huu. Ilikuwa na silaha ambazo huwezi nunua wala kufanya training vita ikianza ila hawakuwa na mobilization hata resistance imetokea masaa mengi tangu movements za Russia zianze. Walikuwa wanaambiwa na UK na US intelligence kwamba Russia atavamia wanajibu eti tumezoea kuishi hivihivi tangu 2014 wala msiogope. Sasa unavamia jeshi lisilo na mobilization, unawakamata off guard kisha unaperform low hivi na wewe ni superpower. Tukiwaambia watu wanatuita team US
Uturuki angekuwa mediator mzuri maana yuko neutral ingawa ni NATO member, Belarus anashirikiana na Urusi kuvamia. Wakishindwa uko wangeenda China ambaye ana maslahi na Urusi na pia Ukraine ila Western powers wanavyopenda sifa wanaweza mwambia Zelensky akatae. Lazima tukubali Ukraine somehow iko under pressure ya mabeberu, ila nayo inawatia pressure na kuwalazimisha hasa kujiunga na NATOHapana, UKRAINE waliomba mazungumzo URUSI akakubali kwa sharti moja kuwa mazungumzo hayo yafanyikie BELARUS. Urusi wamefika kuwasikiliza lkn UKRAINE wanata mazungumzo yafanyike UTURUKI au NCHI yoyote isiyoungana na URUSI kwenye mzozo huu.
Hadi sasa,ni miji gani ambayo Russia wanaweza sema wana control 100% kutokana na hii vita ukiacha kule Dombass na Crimea ambazo hazikuwa chini ya Ukraine wakati vita inaanza?...Ukraine haikuwa imejiandaa vyema kupigana wakati huu. Ilikuwa na silaha ambazo huwezi nunua wala kufanya training vita ikianza ila hawakuwa na mobilization hata resistance imetokea masaa mengi tangu movements za Russia zianze. Walikuwa wanaambiwa na UK na US intelligence kwamba Russia atavamia wanajibu eti tumezoea kuishi hivihivi tangu 2014 wala msiogope. Sasa unavamia jeshi lisilo na mobilization, unawakamata off guard kisha unaperform low hivi na wewe ni superpower. Tukiwaambia watu wanatuita team US
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Marekani ana uchumi mkubwa, haya mwambie akavamie NORTH KOREA kama uchumi ndio unapigana. Uchumi ungekuwa unapigana USA asingekimbia AFIGHANSTAN. Akili unaziacha wapi wewe?Kina nani wamechoka. Hao wanaopigania kilomita 10 kwa siku mbili? Yani Belarus na Russia ndio unasema wamechoka, hata ukijumlisha uchumi wao hauathiri sana dunia. Sanasana bei ya mafuta na gesi itapanda, mafuta yatakuwa replaced na output kubwa ya OPEC. Russia ataendelea kuuza gesi Ulaya kama hataki ainywe, Ulaya ina options kibao za gharama kubwa kupata gesi. Russia isiuze gesi uchumi ufe tuone kama raia hawataandamana
Ni kama sisi hapa tanzania. Zanzibar waamue kujiengua na kujiunga na kenya, unafikiri nini kitatoa. Kunakua na vitu vingi nyuma ya pazia kabla ya vita kutokea. Ndiyo maana hata putin analazimisha ukrain wamuondoe raisi waoYaaa. Yawezekana.
Wanawasubiri UKRAINE na wasipotokea kichapo kinaendelea kuongezwa.Ooh. Ookey. Asante. Sipo karibu na sorce reliable ya habari . Vipi huko, Russia kafikia hatua gani?
Arguments zenu sasa..khaaah 😀 😀 😀[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Marekani ana uchumi mkubwa, haya mwambie akavamie NORTH KOREA kama uchumi ndio unapigana. Uchumi ungekuwa unapigana USA asingekimbia AFIGHANSTAN. Akili unaziacha wapi wewe?
Dunia ya sasa inaepuka sana vita vya kuvamiana kama wanavyofanya Urusi na USA. Inaharibu sana uchumi halafu unakuwa weak. Inawezekana mavita vita ya USA yamemsaidia sana China kuwa sehemu anayoweza mtikisa USA kiuchumi.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Marekani ana uchumi mkubwa, haya mwambie akavamie NORTH KOREA kama uchumi ndio unapigana. Uchumi ungekuwa unapigana USA asingekimbia AFIGHANSTAN. Akili unaziacha wapi wewe?
Ipo complicated somehowNi kama sisi hapa tanzania. Zanzibar waamue kujiengua na kujiunga na kenya, unafikiri nini kitatoa. Kunakua na vitu vingi nyuma ya pazia kabla ya vita kutokea. Ndiyo maana hata putin analazimisha ukrain wamuondoe raisi wao
😃😃.Wanawasubiri UKRAINE na wasipotokea kichapo kinaendelea kuongezwa.
Wewe jamaa hata hujui kitu. Ni rahisi Urusi kujilinda Sasa dhidi ya Marekani kuliko baada ya Ukraine kuwa mwanachama kamili wa NATOmdogo wangu nyani na wewe umeingia mtego wa "maamuma"? unashabikia nchi huru kuvamiwa?
MAREKANI KWA MIAKA 300 ya uhuru imewahi kuiteka nchi na kuifanya sehemu yake? Iraq , Libya, somalia zimechukuliwa na kufanywa sehemu za USA?
URUSI wanavamia na kuteka nchi na kuzifanya sehemu zake, wewe upo hapo?
tatizo la Tz utapiamlo wa akili.
Kwa nikionacho, UKRAINE anatamani huu mzozo uishe na maisha yaendelee ila msukumo wa West unawafanya wachanganyikiwe, sasa wao ndio wamekuwa kilengeo. Nchi inaharibiwa vibaya sana. Waangalie namna ya kuondoa huu mzozo, wanaoumia zaidi ni UKRAINE na hadi sasa hakuna mji wowote wa URUSI umeshambuliwa hata na JIWE.Uturuki angekuwa mediator mzuri maana yuko neutral ingawa ni NATO member, Belarus anashirikiana na Urusi kuvamia. Wakishindwa uko wangeenda China ambaye ana maslahi na Urusi na pia Ukraine ila Western powers wanavyopenda sifa wanaweza mwambia Zelensky akatae. Lazima tukubali Ukraine somehow iko under pressure ya mabeberu, ila nayo inawatia pressure na kuwalazimisha hasa kujiunga na NATO
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mtu amekomalia uchumi uchumi uchumi. Haya sasa USA yuko SOMALIA miaka mingapi na amewashindwa Al shabaab.Arguments zenu sasa..khaaah 😀 😀 😀
Ukraine anadanganya, hata yule Al sahaf wa Iraq alikuwa alisema anawachinja wamarekani lakiñi huku akijuwa kuwa anadanganyaUkraine yavunja Daraja kuchelewesha Askari wa Urusi kuteka mji mkuu, wakati huo huo Marekani inajiandaa kupeleka msaada wa kijeshi wa 600 million USD.
Pia Kuna Taarifa za Urusi imepoteza Umiliki wa Uwanja wa ndege waliouteka, na vikosi vya Urusi kushindwa mpakani mwa Beralus.
Why Ukraine hata wakipigwa wanatoa taarifa ila Urusi anaficha
Kwa akili yako ndogo USA kashindwa na alshabab[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mtu amekomalia uchumi uchumi uchumi. Haya sasa USA yuko SOMALIA miaka mingapi na amewashindwa Al shabaab.
Nakwambia na amini kwamba USA hatopeleka JESHI kupigana na URUSI. BIDEN aliwahi kumwambia mwandishi wa habari. "URUSI SIO KIKUNDI CHA KIGAIDI, NI MOJA YA MAJESHI MAKUBWA DUNIANI. HIVYO KUINGIA VITANI NI KUBET NA LOLOTE LINAWEZA KUTOKEA."Dunia ya sasa inaepuka sana vita vya kuvamiana kama wanavyofanya Urusi na USA. Inaharibu sana uchumi halafu unakuwa weak. Inawezekana mavita vita ya USA yamemsaidia sana China kuwa sehemu anayoweza mtikisa USA kiuchumi.