LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Ukifikiria kama hivi basi utaingia kwenye matatizo kama yaliyomkuta Ukraine. Russia haitaji uwe mshirika wake. Anachohitaji ni usalama wa nchi yake; lielewe dhumuni na mantiki ya Russia. Na hakuna anayepinga kama Russia naye kijeshi ni mkubwa kama huyu mkubwa aliye na ushawishi.

Nimejaribu kuirejea historia lengo ni kupata kujua endapo ukiwa kwenye nafasi kama ya Ukraine uishi vipi! Historia inatufunza kwa Cuba baada ya kumkaribisha Soviet aweke makombora yake. Cuba ni pua na mdomo na US. US kwake ikawa ni tishio. Alichokifanya aliwapiga vikwazo Cuba. Haikutosha akajaribu kufanya mapinduzi ila yakashindwa.

Huyu ni mwenye nguvu ya kijeshi na ushawishi alitumia nyenzo zake. Mwenye nguvu ya kijeshi peke yake unafikiri atatumia nguvu ipi?

Kingine umezungimzia vikwazo kwa Mrusi tambua ya kwamba havitomuathiri peke yake. Kwa namna moja na nyengine vita athiri na wengine kwa sababu: Russia ndiyo nchi ya 3 duniani (kama sijakosea) inayozalisha mafuta kwa wingi baada ya mashariki ya kati. Russia naye ni mzalishaji mkubwa wa ngano duniani. Russia ni miongini mwa nchi zinazozalisha gesi kwa wingi duniani.

India, Misri, China n.k zinategemea ngano ya kutoka Russia. Misri inatumia takribani $ billion kadhaa kununua ngano Russia. Bara la ulaya wanategemea gesi kutoka Russia kwa % kubwa. Kuna nchi nyengine zinategemea kwa 100% gesi ya Russia zipo Ulaya na huku wanataka kumtoa kwenye mfumo wa SWIFT hayo malipo mtayafanya kwa njia gani? Ukraine yenyewe inategemea gesi ya Russia.

UK anatumia sana anga ya Russia kwenda New Zealand, Australia n.k Russia naye kampiga vikwazo vya kutotumia anga yake. Ina maana UK ata-change route ambayo itakuwa ni ndefu sana (hapa gharama za mafuta zitaongezeka) itasababisha gharama kwa mteja kuwa juu sana.

Hivyo haya masuala ni mapana. Russia wataathirika ila Russia hatoathirika peke yake. Unampiga vikwazo huku unategemea gesi kutoka kwake naye akiongeza gharama za mauzo ya gesi mtafanyaje?

Nafikiri kwa kiasi fulani tumeelewana?
Wewe una porojo Sana ,athari zipo za kuzidi,ban imepigwa kwa swift,ban ndege zote na marufuku ya anga na mambo mengine ya vikwazo.

Ukweli ni kwamba Russia atakula hasara 7 wazungu hasara 3 out of 10..
Wao sio wajinga kuweka hivyo wamepiga hesabu.

Russia sio supplier pekee wa gas na mafuta hapa Dunia, uzalishaji utaongezwa kutoka pande zingine na techs ya renewable energy itaongezeka.

Mwisho athari kubwa kwa EU ni air space tuu nothing else.

Screenshot_20220227-231432.png


Screenshot_20220227-231309.png


Screenshot_20220227-230915.png
 
Ngoja nikusaidie Kidogo.

Kiufupi,Malengo ya Putin hayajatimia hata Kidogo.

KIUCHUMI

Marekani ilipotangaza kwamba itaweka vikwazo,Russia ilisema haitishiki na Vikwazo. Hapa,Russia alijua kwamba Ulaya haitaungana na Marekani kuuwekea vikwazo Russia Kama ilivyokuwa mwaka 2014 baada ya kuichukua Crimea ambapo Ujerumani na nchizo zote za Ulaya isipokuwa TU Uingereza zilikataa kutii vikwazo vya Marekani,MATOKEO Yake yamekuwa tofauti,Bomba la Gas limepigwa Chini(Putin hakuamini make alijua German atagoma shinikizo la marekani),Mali zote za Urusi na Matajili wa Urusi Duniani kote(Marekani,Canada,Japan,S.Korea, na Ulaya yote) zimegandishwa/Freezed. Bank karibia zote za Urusi zimepikwa mkasi. Putin mwenyewe Binafsi na waziri wake wa Mambo ya nje Mali zao zimetaifishwa Ulaya,Canada,Japani na Marekani.

KIVITA

Urusi ilikuwa na lengo la Kuisambaratisha Serikali ya Ukraine na kuweka Rais Mwingine,Ndio maana Putin aliwaambia Wanajeshi wa Ukraine waipindue Serikali,lakini Waligoma badala yake wakaenda Frontline kupigana Kama Zelensky alivyowaamrisha. Lengo la Putin Limegoma.

Pia,Mpaka Sasa Russia wameshindwa kabisa kuuteka mji Mkuu wa Ukraine,Kila wakienda wanakutana na Upinzani mkubwa Sana. Mpaka wameshaanza kusema eti Kuna Mamluki kutoka Marekani na Uingereza wanapigana sambamba na Wanajeshi wa Ukraine.

Kuhusu kutumia Nyuklia,hivyo ni vitisho vya Putin ili Ulaya wagawanyike katika kuiadhibu Urusi kiuchumi. Hiyo inaitwa DIVIDE AND RULE. Nalo hatafanikiwa. Endapo kweli atawaagiza Majenero wake warushe Nukes kuelekea nchi yoyote ile ya Ulaya au Marekani,hapo ndipo atakapojua jua kwamba maamuzi ya uvamizi wake kwa Ukraine yalikuwa kichwani mwake TU,Watampindua na Kumuondoa Madarakani.
Mtu akisoma harakaharaka anaweza kuhisi unaakili na uhafamu kumbe kabumba bumba
 
Ngoja nikusaidie Kidogo.

Kiufupi,Malengo ya Putin hayajatimia hata Kidogo.

KIUCHUMI

Marekani ilipotangaza kwamba itaweka vikwazo,Russia ilisema haitishiki na Vikwazo. Hapa,Russia alijua kwamba Ulaya haitaungana na Marekani kuuwekea vikwazo Russia Kama ilivyokuwa mwaka 2014 baada ya kuichukua Crimea ambapo Ujerumani na nchizo zote za Ulaya isipokuwa TU Uingereza zilikataa kutii vikwazo vya Marekani,MATOKEO Yake yamekuwa tofauti,Bomba la Gas limepigwa Chini(Putin hakuamini make alijua German atagoma shinikizo la marekani),Mali zote za Urusi na Matajili wa Urusi Duniani kote(Marekani,Canada,Japan,S.Korea, na Ulaya yote) zimegandishwa/Freezed. Bank karibia zote za Urusi zimepikwa mkasi. Putin mwenyewe Binafsi na waziri wake wa Mambo ya nje Mali zao zimetaifishwa Ulaya,Canada,Japani na Marekani.

KIVITA

Urusi ilikuwa na lengo la Kuisambaratisha Serikali ya Ukraine na kuweka Rais Mwingine,Ndio maana Putin aliwaambia Wanajeshi wa Ukraine waipindue Serikali,lakini Waligoma badala yake wakaenda Frontline kupigana Kama Zelensky alivyowaamrisha. Lengo la Putin Limegoma.

Pia,Mpaka Sasa Russia wameshindwa kabisa kuuteka mji Mkuu wa Ukraine,Kila wakienda wanakutana na Upinzani mkubwa Sana. Mpaka wameshaanza kusema eti Kuna Mamluki kutoka Marekani na Uingereza wanapigana sambamba na Wanajeshi wa Ukraine.

Kuhusu kutumia Nyuklia,hivyo ni vitisho vya Putin ili Ulaya wagawanyike katika kuiadhibu Urusi kiuchumi. Hiyo inaitwa DIVIDE AND RULE. Nalo hatafanikiwa. Endapo kweli atawaagiza Majenero wake warushe Nukes kuelekea nchi yoyote ile ya Ulaya au Marekani,hapo ndipo atakapojua jua kwamba maamuzi ya uvamizi wake kwa Ukraine yalikuwa kichwani mwake TU,Watampindua na Kumuondoa Madarakani.
Ulichokiandika chote inaonyesha haufuatilii taarifa za habari bali umetoa mawazo yako.
 
Zamu ya Urusi usiku

Videos on social media captured what appears to be a HUGE artillery assault apparently launched by Russian troops
 
Wewe una porojo Sana ,athari zipo za kuzidi,ban imepigwa kwa swift,ban ndege zote na marufuku ya anga na mambo mengine ya vikwazo.

Ukweli ni kwamba Russia atakula hasara 7 wazungu hasara 3 out of 10..
Wao sio wajinga kuweka hivyo wamepiga hesabu.

Russia sio supplier pekee wa gas na mafuta hapa Dunia, uzalishaji utaongezwa kutoka pande zingine na techs ya renewable energy itaongezeka.

Mwisho athari kubwa kwa EU ni air space tuu nothing else.

View attachment 2133414

View attachment 2133415

View attachment 2133418
Sawa
 
UN Security Council votes to convene an emergency special session of the General Assembly on Monday to discuss Russia's operation in Ukraine - this is the first time a move like this happened since 1982.

RT
 
Acha kudanganya na kujidanganya. Rais Ukraine alikataa mazungumzo kufanyikia Belarus. Baada mkong'oto kuendelea amekubali. Na anaenda kwa terms za Russia. Na hapo utakuwa ni ushindi kwa Russia, NATO watakuwa wameshindwa rais atalazimishwa ku step down.
Huma ujualo kaa kimya, Putin alimtaka Zelensky wakutane belaruse kwa mazungumzo baada ya kupata ugumu kwa miji mikubwa iliyobaki tofauti na alivyofikiria, Zelensky akakataa akasema belaruse hataki kwa ndio ilikuwa gateway ya russia kupita na kushambulia Ukraine ndio wakakubaliana wafanye mpakani mwa belaruse na ukraine bila ya masharti yoyote, kwaiyo Zelenskey atapeleka mawakala wake akamsikilize putin anataka nn.,

Russia alifkiri vita ya Ukrain itakuwa kama ya Syria lakini amepelekeshwa kinyama mpaka sasa anaona atumie nyuklia
 
UN Security Council votes to convene an emergency special session of the General Assembly on Monday to discuss Russia's operation in Ukraine - this is the first time a move like this happened since 1982.

RT
Let's see

Mchezo huu ni wa hatari sana!
 
UN Security Council votes to convene an emergency special session of the General Assembly on Monday to discuss Russia's operation in Ukraine - this is the first time a move like this happened since 1982.

RT
Hao UN Kazi yao ni kupitisha maazimio ya kulaumu ila hayana impacts yeyote,kiujumla sijawahi elewa hasa.
 
Wanamjoke Putin, jamaa ni kama kaja kuwazawadia majamaa dhana za kivita, inawezekanaje una run out of fuel means huna calculations, au wanajeshi wake wanamhujumu, kapigika sana hususani jana.

#STOP WAR
Logistic system ya Jeshi lake kwenye Vita ya nchi ndogo iliyo mpakani mwake inamshinda,huyu ndio ataweza kupambana na Marekani kwa vita ya kawaida bila Nuclear? Maana hatujawahi kusikia popote Jeshi la Marekani limekumbwa na uhaba wa mafuta kwa vifaa vyake tena anapigania maelfu ya maili kutoka kwake.
 
Ndo maana Kuna watu wanamlaumu Sana nyerere kwenye Ile Vita ya kagera,

Hakukua na ulazima wa Vita na Uganda. Wazungu wangemalizana nae kwa vikwazo TU mpk akanyooka mwnyw.

Hata Trump pia kalaumiwa Sana mpk kupigwa chini kwny uchaguzi, kakurupuka kwa kuingia kwny Vita zisizo na faida kwa kutumia Kodi za wananchi wa us,
Nimegundua wewe NI Mshamba wa International Affirs na Wala hujui Nini Kinaendelea.

Nikuulize;

Ni Vita gani ambavyo Marekani imepigana Chini ya Utawala wa Trump (2017-2020)?
 
UN Security Council votes to convene an emergency special session of the General Assembly on Monday to discuss Russia's operation in Ukraine - this is the first time a move like this happened since 1982.

RT
Nimegundua kuna watu ni mashetani. Ngoja tuone wataipeleka wapi dunia.
 
Belarus Katangaza kuingia Ukraine kumsapot Putini.

My opinion:, Putin kavuliwa nguo na Ukraine mbele ya wakwe zake.
ameanza kutag washirika wake.. soon tutasikia Rocket Man nae kaingia mzigoni.
Rocket Man atapitisha wapi hao Wanajeshi wakati yuko mbali na Ukraine? Hao wa Belarus ni karibu na Ukraine na wameenda kwa Mguu.

Anga la Ulaya limeshafungwa kwa ndege zote za Urusi na Washirika wake,Hizo ndege za North Korea zitakazobeba hao Wanajeshi zitapita Anga ipi?
 
Back
Top Bottom