Wayahudi wako sehemu waliyovamia na kuteka maeneo ya majirani, kutokea uko wanaandamana kupinga Russia kuvamia Ukraine. Wao ukiandamana kupinga fujo zao unaitwa 'anti-semitic' na unapingwa vikali duniani.
Ukraine kuna white supremacist movement ambao ni neo-Nazi wanapigana, wale ni kama wavuta bangi huku. Hao dunia ikiwa na amani wanapingwa sana ila sahivi wamepewa silaha na huwa wanapigana vizuri mno. Kuna hoja inatokea hizi silaha vita ukiisha watazirudisha zote kweli? Wazungu hawana rekodi watoe silaha vita iishe alafu wazibebe. Kwani juzi hapo Afghanistan Marekani alibeba silaha? Hata makampuni yao yakija kwenye miradi magari huwa wanatuachia mara nyingi. Hizi silaha zitakuja sumbua dunia kama zile za Yugoslavia.
Hivi mmegundua COVID-19 ilivyokuwa inakuzwa kuliko uhalisia. Nani anaifatilia sasa kule, raia waliochanjwa ni 35% na walioboost ni 1%. Sijaona aliyevaa mask, sijaona walioko kwenye metro wamezivaa na mule ndani hewa kidogo.
Vita ina mambo mengi