CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,840
- 15,918
Msaada wa nini unaoombwa na Rais wa Ukraine kama anaimudu URUSI. Nyie ndio mnachochea vita, hakuna njia sahihi ya kumaliza mauji kushinda MAZUNGUMZO.Warusi convoy zao zina nyanyaswa na haka kadude kadogo tuView attachment 2135256