Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,134
- 4,124
BBC imefungiwa huko Urusi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fungua link usome ndani. Hajaomba bali ameonya
Wanatafuta sababu ya kusema Russians wamevamia na kupora Kisha kugawa kwa raia.In Mariupol, one of the largest shopping malls, Port City, is being robbed.
Take out household appliances, jewelry and clothing.
Safi[emoji4]BBC imefungiwa huko Urusi
Ha ha ha..wanatafuta huruma ya duniani TU, hawana lolote ukrainiansHabari zinazosambazwa na Ukraine ni kuwakamata wanajeshi wa Russia na kuwapa chai[emoji1787].
Hii wanatumia kama strategy ya kuchafua hali ya hewa huko Russia kwa kuwapigia simu ndugu zao ili wandamane.
Maneno ya busara Sana haya,Venus Star na Nyamizi mna attack personal each other sio poa kabisa. Uzi wetu unapambwa na ushindani wa maneno na vijembe vidogovidogo na hii inatoa afya kwa thread hii. Kwa mfano watu wanatafuta habari kutoka vyanzo tofauti tofauti na wanaleta hapa kwa lengo moja tu kujuwa nn kinaendelea Ukraine,kwa hiyo mm naomba mpunguze mumkari kwani wakushinda vita au kushindwa vita tutajua tu. Tusubiri dakika 90 za mtanange.
Natanguliza shukrani za dhati kwa Putin kwa kukubali kwake kutowadhuru na kuwasaidia wanafunzi wa kitanzania waliopo Ukraine.
Aliyekublock sio kuwa hana uwezo wa kukuhimili bali ni Hataki kujihusisha na hii tundu yako. Nani anayetaka harufu?🤣🤣🤣 Ukinifuatilia Mshirika mwenzangu huwa mtu akiweka shit namjibu hivyo hivyo. Tatizo wenzetu sasa hawana uwezo wa kuhimili. Anataka akiweka kitu cha ovyo tumpongeze.
Mtu akija na facts tuna ongea facts. Umemuona sasa alivyo inferiority complex. Eti kani block, who cares!?
Eti ananiwekea vikwazo. Childish thinking.
nyinyi wahenga ndio mnaleta shida dunian, muhenga mwenzenu yuko busy kurejesha soviet empireYes umelipatia kama wewe ni muhenga kama mimi hapa,hili jina utakuwa unalifahamu vizuri liko kwa kitabu tulikuwa tunakisoma darsa la tatu kama sikosei kulikuwa na hadithi ya Sadiki na Sikiri Sikirimimimasikini 😅
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊Aliyekublock sio kuwa hana uwezo wa kukuhimili bali ni Hataki kujihusisha na hii tundu yako. Nani anayetaka harufu? View attachment 2139475
Sasa umeanza kunitafuta. Unategemea nitakujibu kistaarabu. Nakuonya, uache mara moja kutoa komenti za kupumbavu. La sivyo nitakushughulika kwa comments kali na nzito.Aliyekublock sio kuwa hana uwezo wa kukuhimili bali ni Hataki kujihusisha na hii tundu yako. Nani anayetaka harufu? View attachment 2139475
Sawa,nimeacha.Sasa umeanza kunitafuta. Unategemea nitakujibu kistaarabu. Nakuonya, uache mara moja kutoa komenti za kupumbavu. La sivyo nitakushughulika kwa comments kali na nzito.
Nakushukuru kwa kunielewa.Sawa,nimeacha.
Tsh ngapi kuacha?Sawa,nimeacha.
NimemueleweshaHoja yako ina msingi ila mambo ya drs la saba hayakuwa na umuhimu. Angekuelewa tu hata usingesema.
Hebu fuatilieni geopolitics ya Eastern Europe kwanza, sio kutema maneno tu, Kwa kiasi kikubwa Russia is not an agreesive state or rouge state or a threat to the world, USA na NATO ndio wanataka kuharibu hii Dunia.Anaefuata kufa ni Baba yenu Putin,tena huyu atakufa kifo kibaya sana cha kudharirika,kama siyo mimi basi watoto wangu watashuhudia Mungu akimwadhibu huyu shetani mkubwa cousin wa Rucifer