LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Jukwa la chit chat linakufaa hapa nikama unaforce be careful hapa tumekaa malijari ooh
Hawa pro Russia ni mambumbu wa ajabu sana yaani wanaongea ongea ujinga tu kama vile kitmoto aliyekatwa kichwa,


Kila siku mamia ya askari wa kirusi wanauwawa mamia wanakamatwa mateka mavifaru ya kirusi yanalipuliwa kila sikua , magari vita ya kirusi yanalipuliwa kila siku , helcopter shambulizi za kivita kila kukicha zinadunguliwa izo jet fighter ndo usiseme alafu anatoa mrusi mmoja wa mchamba wima uko ama samvu la chole anakwambia eti Russia ana siraha za hatari na hataki kuzitumia yaani as if anaongea na watoto wadogo

Mpaka muda huu leo jumapili vita ikisitishwa mshindi nia Ukrain hii ni kwa mwenendo wa vita na hasara iliyopatikana mpaka sasa kati ya hizi nchi mbili alafu kitu ambacho byie warusi uchwara hamkicahamu ni kwamba vita itakaposimamishwa Ukrain itageuka na kuwa jeshi imara na lenyw siraha za kisasa kutokana na ukweli kwamba Jeshi la Ukrain limeteka siraha nyingi za za kisasa na sophiscated kweli kweli


Yaani katika hii vita atakaye faidika kijeahi ni Ukrain na nyie warusi wa kongwa mkae mkijua kuwa siraha zenu zinazotekwa kila siku ndo zinatumika kuwachapa kweli kweli sasa ivi, na mjue kabisa kuwa mnaliimarisha kweli kweli jeshi la Ukrain,

kutokana na siraha zenu zinazotelekezwa na askri wenu dhaifu na wenye njaa kali kupitiliza yaani sijawahi kuona jeshi dhaifu kama la Russia

Yaani askari kamili mwenye mafunzo timilifu kabisa anapigwa ambush ama face to face battle akiwa na BM sophscated rocket launcher eti anakimbia na kutelekeza mtambo imagine ubora wa iyo siraha mzee

Sitaki porojo zenu tena mkija apa njoeni fact na nionyesheni mji ama kitu chocjote cha maana mnachokishikila mpaka sasa pale Ukrain, kifupi jeshi lenu nyie warusi wa Songwe ni dhaifu kupitilia wazee hamna jeshi ni mikwara na majigambo ya kike meeeeeengi alafu vitendo ziro
 
Hhahahahah nimecheka sana. Mnamchukulia sana poa russia, endeleeni kudanganyana wengi humu hamumjui russia vizuri na wengi wameanza mjulia kwenye vita na ukraine hamjui historia yake vzr huyu jamaa.
Sidhani kama unanifika hata 50% kwa kuijua Russia tena hasa jeshi lake. Humu tunaandika ila tungekaa face to face hata 40% hunifikii kamwe
 
yeah ni kweli zile ni propaganda za waukraine but ukweli ni kwamba wanatumia video na picha halisi za russia casualities ambazo ht urusi mwenyew hadispute so hii sheria pia imedhamiria kuzuia watu wa urusi kujua hali halisi ya kinachoendelea ukraine,duh mkuu urusi inapigana na ulimwengu wote??mambo yameshafika huko?
kwenye ulingo wa media urusi anapigana na ulimwengu hasa mapro westerns
 
Ukraine ni taifa la kale zaidi kabla ya Russia.
Kyiv ilikuwa jiji kubwa muda mrefu sana wakati Moscow ikiwa kijiji tu.
Kuna wazee wakukaza shingo hawajui kuwa Ukraine n mkubwa kwa urussi na Ukraine ndo amezaaa urussi Ukraine hasa kyiv n jiji la kale Sana hiyo Moscow ya juz tu
 
Ona huyu naye..et operation ndogo , Raisi ametangaza ni full scale invasion alaf unasema operation ndogo , ?? Russia uwezo mdogo full stop ...case closed, now kaomba real combat imetokea ni mda wa kutuaminisha sasa
Hawa jamaa hawana hoja akili zao ni kama zile za wafuasi wa ZUMARIDI uwezo wao wa kufikiria ni.mdogo sana Putin kawapeleka chaka mno

Imebaki sasa wanatupigia ngonjera tu haman lolote la maana wanaloweza kulosema

Pale Russia hamna jeshi imagine jeshi linaishiwa mpaka (rational) , jeshi linasbaziwa mpaka rationa iliyooza na kuexpire zaidi ya miaka saba uko nyuma aisee Russia ni jeshi la ovyo mno jeshi linaishiwa mafuta jeshi halina nidhamu, jeshi liko disorganized mpaka wanatekwa ovyo ovyo kama kuku waliokatwa vichwa bhana Russia hawana jeshi ila ilikuwa ni mikwara Mbuzi sasa wameyakanyaga ile ile
 
Center of Moscow now, in support of the military

Source: RIA Novosti
 
Marekani walipovamia Somalia, wanajeshi wao waliuawa na kutembezwa mitaani jijini Mogadishu, kwenye vita, hata uwe na nguvu kiasi gani casulties haziepukiki
yeah tuliona picha zile kupitia CNN BBC nk pia tuliona wabunge wamarekani wakihoji, kimsingi tulipata taarifa nyingi kutoka press za marekani yenyew, hakukuwa na sheria ya miaka 15 jela wala zuio la media kutangaza idadi ya vifo or whatever, kuhusu casualities hamna aliesema kuna nchi haijwahi kupata casualities vitani but inapokua ndg au kubwa au haiendani na uwezo wa adui husika ndio kunakuwa na mjadala km hivi, mi sijasema kuna nchi haijawah poteza askari vitan pia sijkuitaja marekan
 
Kanuni ya vita ni Man 2 Man!

Wanachokifanya Ukraine baada ya kukimbia kambi wameamua kujimix na raia so wanapiga kwa kuvizia. Ni sawa na ulingo wa boxing unapigana na mpinzani wako kwa kujificha mgongoni kwa refa. Unashambulia akirudisha unajificha nyuma ya refa.

Wa Ukraine wanatumia raia kama Kinga kujificha kwenye mgongo wa raia. Putin kashawaambia waache utoto huo wa kujificha kwenye migongo ya raia waone show.
Huna akili pathetic!!
 
Sema hii ya majivu umeishuparia
Sana mkuu
Wacha aishupalie si nyie ndo mlitwambia ivyo siku ya kwanza ya vita then leo ni siku ya ngapi tambie mpaka sasa mmetka miji mikubwa mingapi pale Ukrain mpeni jibu lake mwana atulie maana mlileta propaganda za kitoto sana mpeni jibu mwana aache kuwauliz hili swali yaani Pro Russia mmekosa hoja sasa ivi
 
Hii ilikuwa kambi ya kukarabati silaha za ukraine huko zhtomyv hivi ndivyo ilivyofanywa na warusi
img_6_1646568474511.jpg
img_4_1646568455953.jpg
img_5_1646568464546.jpg
 
Na kuhusu death tolls wanazozitoa Ukraine kwamba wameua wanajeshi 10,000+ na kuangusha ndege 44 na helicopter 44 ni uongo wa wazi kabisa..

Nilikuwa napita mitandaoni asubuhi hii nikakutana na mwanajeshi mmoja veteran wa US mwenyewe anasema kapigana mara mbili Afghanistan na mara moja Iraq hakuna ukweli wowote unaweza kumuaminisha Russia amepoteza all that within 9 days. Anasema kuna uongo mwingi sana tunadanganywa kwenye vita kupitia tunazoziita NEWS. Na huyu amekuwa jeshini miaka 22, propaganda at its best as he said..
Toa data zako za uhakika zibandike chumbani mwako pale ukutani ziwe zinakufariji mzee sisi tunaangalia habari zinazotolewa wazi izo zako za kufikirika kaaa nazo wewe ama zibandike chumbani mwako ziwe zinakufariji babu
 
Hawa jamaa hawana hoja akili zao ni kama zile za wafuasi wa ZUMARIDI uwezo wao wa kufikiria ni.mdogo sana Putin kawapeleka chaka mno

Imebaki sasa wanatupigia ngonjera tu haman lolote la maana wanaloweza kulosema

Pale Russia hamna jeshi imagine jeshi linaishiwa mpaka (rational) , jeshi linasbaziwa mpaka rationa iliyooza na kuexpire zaidi ya miaka saba uko nyuma aisee Russia ni jeshi la ovyo mno jeshi linaishiwa mafuta jeshi halina nidhamu, jeshi liko disorganized mpaka wanatekwa ovyo ovyo kama kuku waliokatwa vichwa bhana Russia hawana jeshi ila ilikuwa ni mikwara Mbuzi sasa wameyakanyaga ile ile
Watakuja kukubishia kwa kuandika sentensi moja yenye emoji za kuchekacheka waishie hapo. Hawawezi toa facts kupinga unalosema, hawatozungumzia hizo rations, actually zile ni MRE {meals ready to eat}. Rations huwa wanapewa raia kwamba nchi iko vitani hivyo maghala yataishiwa, au fedha za kuagiza nje hamna, au supplies ni ngumu, n.k hivyo raia kula hivi na hivi.

Hawatosema suala la kuishiwa mafuta. Tumesema sana humu logistics ya Russia ilivyo mbovu kwenye vita hii. Yani wanajeshi frontline wanalazimika kutelekeza silaha kisa zimeishiwa mafuta, wakati huo kuna ambush zinawasubiri mbele na air cover hawana.

Mpaka sasa nasubiri mtu anirudishie imani kwamba Russia ana uwezo mkubwa kwa sababu hizi aziorodheshe, hawapo. Watakuja hapa waseme kwani kati ya Ukraine na Russia nani anapigwa kwao? Utadhani Ukraine nalo jeshi la maana humu duniani
 
Hizi S-300 hata Russia wanazo na zimekamatwa na kuharibiwa na Majeshi ya Ukraine.

Kumbuka Ukraine ilikuwa mnunuzi mkubwa wa vifaa ya Kijeshi vya Russia.

So far kwenye huu mgogoro umeonesha kuwa Ndege za na vifaa vingi vya Russia si vizuri kwenye vita kama vinavyosemwa.

hadi sasa Licha ya Ukraine kuwa na Jeshi dhaifu kulinganisha na la Urusi ila limeweza kuangusha Karibu ndege za Russia zaidi ya 10.

Imagine Ufaransa, UK, Marekani wote walete ndege zao.

So far Mtu aliyepata soko kwenye Hii vita ni Uturuki na zile Drone zake na yale makombora ya marekani ya kutungulia Vifaru
Yale makombora yanaitwa JAVELIN , STINGER na NLAW haya ni hatari warusi hawapendi ata kuyasikia kabisa kabisa yanawanyima amni mno
 
Back
Top Bottom