LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Sources ya taarifa yako alafu acha propaganda uchwara mzee hii inakusaidia nini na wakati for real Russia ama suffer kuliko Ukrain
Ivi unaandikia haya kwa kutumia kiungo gani kutafakari we unaona kabisa mwanaume Russia anazidi kuchukua miji afu unasema anae umia ni Russia jaribu kutumia ubongo kutafakari hivyo viungo vingine viache vitulie
 
russia anasema baada ya ataireplace west kwa kuongeza uhusiano na CSTO,, SCO na BRICS but jumuiya hizi zinapendelea kuwa ni za kibiashara zaidi na si za kisiasa ama anti-western camp pia zinamwona China ndio km senior partner sababu ya nguvu yake ya kiuchumi, wakati akikabiliana na security katika western flank anakabiliwa na challenge ya kupoteza ushawishi central asia
 
Urusi marubani wake wengine wanaendesha ndege wakiwa wamevaa makoti ya kiraia i think hawana sare za angani wala oxygen masks kwenda juu zaidi maana uko medium range air defence systems za Ukraine zitawaona. Na wanataka wakiangushwa wasiwe na sare za jeshi, najaribu kutafuta sababu. Ila flying wanakuwa vulnerable dhidi ya MANPADS, ndio maana wanajitahidi kushambulia usiku zaidi.

Alafu Urusi hawatumii precision guided munitions kila wakishambulia ni mwendo wa dumb bombs ambazo zina error probability kubwa ila zina gharama ndogo. Kuna marubani wawili nimeona wamebeba karatasi zenye coordinates yani ndege zao za zamani kina Su-25 hazina kompyuta za kuweza kuchakata target mpaka rubani afanye calculations manually.

Urusi hata mawasiliano mazuri kwenye field hawana wako blindfolded. Spetnaz naona hawajatumika sana ila VDV wameshiriki hasa kwenye kuchukua airbases karibuni na Kyev na wamepigwa kama wengine wakati ni special force ya angani.
Urusi hana sare za angani wala oxygen masks!?? Daah mzee hapa sasa unapitiliza. Sasa si ni bora TPDF mzee kama ni hivyo. Uchambuzi umejaa kamba za kushato. Urusi hana training nzuri, hana mawasiliano mazuri, hana...
Daah umeichukulia Russia Armed forces kama mgambo wa janjaweed.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
kwa reply hizi,akili yako bado ndogo kuelewa haya mambo.uwe mpenzi msikilizaji ,haya Mambo waachie great thinker's!
Wewe ndo great thinker ama kivuli chako huna akili kutokana na pumba ulizoziandika kwenye ile comment yako!!
 
Russia kaishambulia na kuisambaratisha ngome ya kijeshi ya Ukrain iitwayo Starokostiantyniv military air base kwa kutumia makombora ya masafa marefu yenye ufanisi na shabaha zaidi ktk kushambulia tageti (long-range high-precision weapons)
Safi makombora mengi tunayafuta vumbi kwa ajili kupiga ngome zingine Russia anatoa kichapo cha mbwa mwizi
 
Hawa pro Russia ni mambumbu wa ajabu sana yaani wanaongea ongea ujinga tu kama vile kitmoto aliyekatwa kichwa,


Kila siku mamia ya askari wa kirusi wanauwawa mamia wanakamatwa mateka mavifaru ya kirusi yanalipuliwa kila sikua , magari vita ya kirusi yanalipuliwa kila siku , helcopter shambulizi za kivita kila kukicha zinadunguliwa izo jet fighter ndo usiseme alafu anatoa mrusi mmoja wa mchamba wima uko ama samvu la chole anakwambia eti Russia ana siraha za hatari na hataki kuzitumia yaani as if anaongea na watoto wadogo

Mpaka muda huu leo jumapili vita ikisitishwa mshindi nia Ukrain hii ni kwa mwenendo wa vita na hasara iliyopatikana mpaka sasa kati ya hizi nchi mbili alafu kitu ambacho byie warusi uchwara hamkicahamu ni kwamba vita itakaposimamishwa Ukrain itageuka na kuwa jeshi imara na lenyw siraha za kisasa kutokana na ukweli kwamba Jeshi la Ukrain limeteka siraha nyingi za za kisasa na sophiscated kweli kweli


Yaani katika hii vita atakaye faidika kijeahi ni Ukrain na nyie warusi wa kongwa mkae mkijua kuwa siraha zenu zinazotekwa kila siku ndo zinatumika kuwachapa kweli kweli sasa ivi, na mjue kabisa kuwa mnaliimarisha kweli kweli jeshi la Ukrain,

kutokana na siraha zenu zinazotelekezwa na askri wenu dhaifu na wenye njaa kali kupitiliza yaani sijawahi kuona jeshi dhaifu kama la Russia

Yaani askari kamili mwenye mafunzo timilifu kabisa anapigwa ambush ama face to face battle akiwa na BM sophscated rocket launcher eti anakimbia na kutelekeza mtambo imagine ubora wa iyo siraha mzee

Sitaki porojo zenu tena mkija apa njoeni fact na nionyesheni mji ama kitu chocjote cha maana mnachokishikila mpaka sasa pale Ukrain, kifupi jeshi lenu nyie warusi wa Songwe ni dhaifu kupitilia wazee hamna jeshi ni mikwara na majigambo ya kike meeeeeengi alafu vitendo ziro
Rekebisha kiswahili chako cha Kikurya SIRAHA NDIO NINI ANDIKA SILAHA tatizo unajifanya mchambuzi wa vita wakati mtaani kwenu mnalazwa saa 2 na vibaka.
 
Deputy Kivu is suspected of treason and an attempt on territorial integrity, he will be put on the international wanted list, the Prosecutor General of Ukraine said.
SmartSelect_20220301-220358_Gallery.jpg
 
yeah tuliona picha zile kupitia CNN BBC nk pia tuliona wabunge wamarekani wakihoji, kimsingi tulipata taarifa nyingi kutoka press za marekani yenyew, hakukuwa na sheria ya miaka 15 jela wala zuio la media kutangaza idadi ya vifo or whatever, kuhusu casualities hamna aliesema kuna nchi haijwahi kupata casualities vitani but inapokua ndg au kubwa au haiendani na uwezo wa adui husika ndio kunakuwa na mjadala km hivi, mi sijasema kuna nchi haijawah poteza askari vitan pia sijkuitaja marekan
Israel ilishtukizwa na Egypt & Syria mwaka 1973 ikavamiwa, ikashinda vita na haikushambuliwa hata nyumbani kwenye miji. Pamoja na hayo walilazimika kumfanya Waziri Mkuu mwanamama Golda Meir (aliyezaliwa Kyv, ndio hawa kina Zelensky) ajiuzuru kwa kushindwa kupata inteligence reports mapema kuonesha Waarabu wanavamia. Hilo ni kosa dogo tu ila kwao kubwa.

Ila kwa Russia sijui kama watafanya mabadiliko ya uongozi wa kijeshi. Kwanza Sergei Shoigu mwenyewe alikuwa injinia enzi hizo akaja kuwa waziri wa masuala ya dharura kisha akawa jeshini mpaka kuwa Waziri wa Ulinzi. Yani kapanda kwa kuungaunga, competency ya military thinkers pale Kremlin itabidi wajipime
 
Imesonga mbele wapi zaidi ya ivyo vimji viwili vya mpaka na ule mmoja mlikuwa mmeuteka na ikakombolewa sasa ivi mpaka airport mliyokuwaga mmeiteka ile siku ya kwanza ya vita tayari imeshaa kombolewa na jeshi bora la Ukrain na sasa umerudi kwenye umiliki halali wa serikali ya Ukrain

Kifupi jeshi lenu ni dhaifu sana sana halina ubora wowote ni kaMa majeahi yetu uku Africa jeshi halina nidhamu ata kidogo jeshi halina formula, jeshi liko disorganized kama vile kuku waliokatwa vichwa alafu uje kuniambia kiwa kuna jeshi apo jeshi linaishiwa mafuta , jeshi linaishiwa mpaka chakula , jeshi la hovyo zaidi kuwahi kutokea katika karne hii ovyo kabisa putin na wafuasi wake
Yaani we upo Kingolwira unachambua nidhamu ya Jeshi Russia ambalo ni Jeshi kubwa duniani lenye historia kubwa.. hauwezi kufananisha na Jeshi lenu la Wakurya wanaofuga mabata
 
“This is how the Americans went in Iraq: yes, they demolished block after block - that’s all. We don't do that. We're trying to save the population."

Military journalist Alexei Borzenko in our stream about the uniqueness of Russia's special operation in Ukraine:

“It has already entered the historical annals, and it will be studied in all the military academies of the world. Imagine that buildings are not destroyed, some points that could be destroyed.

Subscribe to our channel.
 
Back
Top Bottom