NYUNDO YA MOTO
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 5,360
- 17,002
The true goal of the US Indo-Pacific strategy is to try to create a different version of NATO in the region, the Chinese Foreign Ministry said.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibia vyote ndio vipi hivyo? Hebu viainishe.Kalibia vyote hapo anavyo vya kwake labda kama unataka kutumia tv ya samsung hapo ndo mtihani, ila ukitaka tu tv kwa putin zipo kampuni kibao tu
Hakumbuki walivyosepa kwa wasomaliwewe utakuwa umeathiriwa na video za propaganda . Katika majeshi ya ardhin marekani ndio ya hovyo walikalishwa na talban hapa islamic state wamarekani wameshakaa alafu ukraine sio taifa dogo hapo ulaya ukiitoa ufaransa hakuna wa kuipiga ukrain kumbuka ni russians community
Kyfa ni kawaida katika vitaMakamanda wa Putin waendelea kupoteza maisha Ukraine View attachment 2141888
Wavae combat wasivae kiraiaWanajeshi wa Ukraine Wanajifichaje kwa Raia? Kwani wao sio Raia wa Ukraine? Wao ni Raia usisahau wako huru kuwa popote kwenye nchi yao iwe kwenye nyumba za wa Ukraine wa kawaida au porini ni wako kwao.Huwezi kuwapangia kuwa wawe wapi.Ni nchi yao
Unamchagulia nguo ya kuvaa mtu nyumbani kwake?Wavae combat wasivae kiraia
Basi acha wafumuliweUnamchagulia nguo ya kuvaa mtu nyumbani kwake?
Hao Askari wa Ukraine wako nyumbani kwao huwezi wachagulia nguo wavae ipi
jana nimecheka walivyokuwa wanakimbia kumbe hakuna lolote urusi ni mbwembwe tuUrusi imepigwa sana hahahahaha umerogwa wewe
Mrusi hataki kuona Ujerumani ikiwepo kwenye uso wa dunia, anawachukia wanazi mno na hapo tutashuhudia kafara moja kubwa ya kuteketezwa Ulaya. Ujerumani enzi za Hitler ilimsaliti Mrusi na kumvamiaIn Germany, there is a large-scale persecution of everything Russian, the Russian Foreign Ministry said.
“A massive campaign has been launched to demonize Russia, cases of unmotivated insults to Russian citizens and Russian-speaking compatriots have been recorded,” Oleg Tyapkin, director of the Third European Department, told RIA Novosti.
The day before, a rally against discrimination against Russians was held in Berlin. The protesters said that they and their children are being hounded and accused of “attacking” Ukraine.
View attachment 2141900
RT..Bila shakaStatement of the Ministry of Defense of the Russian Federation:
- Subdivisions of the Russian Armed Forces took control of the settlements of Urozhaynoye, Novodonetskoye, Novomayorskoye, Dorozhnyanka, Zagornoye and Charivnoye.
- Last night, fighter aircraft and air defense shot down three more Su-27s of the Ukrainian Air Force in the Poltava region, one Su-25 in the Gostomel region, two Mi-24 helicopters in the Makarov region and eight unmanned aerial vehicles, including Bayraktar TB-2 ".
- Three Buk M1 anti-aircraft missile systems and two radar stations of the Armed Forces of Ukraine were hit.
- In total, 2,396 military infrastructure facilities of Ukraine were destroyed during the operation. Among them: 82 control points and communication centers of the Ukrainian armed forces, 119 anti-aircraft missile systems S-300, Buk M-1 and Osa, as well as 76 radar stations;
- Destroyed: 827 tanks and other armored combat vehicles, 84 multiple launch rocket systems, 304 field artillery and mortar guns, 603 units of special military vehicles, as well as 78 unmanned aerial vehicles.View attachment 2141915
Huo ni uongo, kwani ukimteka mtu afu ukamfanya shield ndio anazuia risasi kukupata?Ukrainian nationalists used more than 150 civilians, hiding behind them as a "human shield", and opened fire from behind the backs of citizens, the Russian Defense Ministry said.
“As a result of the firing by the Ukrainian Nazis, four civilians were killed and five wounded,” the ministry said.View attachment 2141901
Hizi ni propaganda,tunasubiria mshindi sio maneno.Statement of the Ministry of Defense of the Russian Federation:
- Subdivisions of the Russian Armed Forces took control of the settlements of Urozhaynoye, Novodonetskoye, Novomayorskoye, Dorozhnyanka, Zagornoye and Charivnoye.
- Last night, fighter aircraft and air defense shot down three more Su-27s of the Ukrainian Air Force in the Poltava region, one Su-25 in the Gostomel region, two Mi-24 helicopters in the Makarov region and eight unmanned aerial vehicles, including Bayraktar TB-2 ".
- Three Buk M1 anti-aircraft missile systems and two radar stations of the Armed Forces of Ukraine were hit.
- In total, 2,396 military infrastructure facilities of Ukraine were destroyed during the operation. Among them: 82 control points and communication centers of the Ukrainian armed forces, 119 anti-aircraft missile systems S-300, Buk M-1 and Osa, as well as 76 radar stations;
- Destroyed: 827 tanks and other armored combat vehicles, 84 multiple launch rocket systems, 304 field artillery and mortar guns, 603 units of special military vehicles, as well as 78 unmanned aerial vehicles.View attachment 2141915