LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Putin nae ana angaika na nini kama ukraine wana msumbua... si atandike mabomu kiev pawe kama allepo tu
 
The delay in negotiations has become a "diplomatic tradition" on the part of Ukraine, Medinsky said.
SmartSelect_20220301-220358_Gallery.jpg
 
Yesterday, on the eastern outskirts of Mariupol, a group of machine gunners from the national battalion tried to leave the city through the positions of the Donetsk police, leading about 150 civilians, including children and women, in front of them, Medinsky recalled.

“Unfortunately, this is an example of how the humanitarian corridor “works” in the understanding of some Ukrainian leaders who are not subordinate to Kiev,” he said.
SmartSelect_20220301-220358_Gallery.jpg
 
Kitendo cha kukubali miji yako kuzingirwa tiyari una kuwa umesha zidiwa na adui kilichopo ujisalimisha ni suala la muda.

Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
Siyo umeona raia yeyote wa Ukraine kawapokea majeshi ya Russia kwa vifijo na nderemo?si alijitia anatetea wananchi wa Ukraine mbona hakuna sehemu kapokelewa kwa shangwe mrusi?

Majeshi ya Tanzania yalipoteka Kampala na mimi mingine walipokelewa kwa vigelegele wakiitwa Bakombozi yaani wakombozi

Majeshi ya Russia kila mji waolivamia kuteka wananchi wamenuna ! Na wao walijitia kuwa wanaenda kusaidia wananchi wanaoonewa na Serikali iliyopo!! Mbona hatuoni vigelegele na shangwe miji wanayoteka jeshi la Urusi likiichukua ?Sasa walienda kumtetea nani Ukraine ?
 
News: Saudi Arabia imekataa ombi la United States ya kuongeza usambazaji wa mafuta kukabiliana na mfumuko wa bei( Saudi Arabia Refused to boost output of oil).

Nahisi ule umoja wao wa uzalishaji wa mafuta kuna makubaliano wamewekeana akiwemo na Urusi. Maana hadi mtangazaji anashangaa leo inakuwaje Saudi Arabia anamgomea USA kwenye ishu hii ya mafuta.
Amekataa ndio Ili atumie fursa hii kupiga pesa Kwa kuwa Bei ni mbaya sokoni.
 
Russia operation yao walishaitangaza mapema kabla ya kuingia Ukraine: Mpango wao ni kulidhoofisha jeshi la Ukraine. Ndiyo maana wanashambulia kambi, viwanda na maghala ya kuhifadhia silaha za kivita.

Ukiitizama hali ya Ukraine kuna mengi utang'amua na mojawapo ni kuwa Russia inaonekana anaihitaji Ukraine. Hivyo hawezi akaharibu miundombinu, majengo pamoja na rasilimali watu.

Ukiangalia kwa sasa hivi kuna maeneo tofauti ya Ukraine yanapatiwa msaada wa vyakula na Russia. Hakuna shughuli ya kiuchumi ambayo inaendelea Ukraine. Kuna kitu Russia anajaribu kukiwekeza kwa raia wa Ukraine.

Kuhusu ushindi/Mshindi: Nafikiri ni busara tukawasikiliza wenye ubobezi kwenye hii tasnia ya masuala ya kivita. Na wanayoyasema wakiwemo majenerali wa US ni kuwa; Russia hajatumia hata 20% ya nguvu yake ya jeshi.

Nafikiri tutosheke na hili. Ijapokuwa swali muhimu ni kujiuliza kwa nini ametumia chini ya 20% ya nguvu yake ya kijeshi(?)
Nani amesema kwamba Russia wametumia chini ya 20% ya uwezo wao na nani anakudanganya kwamba hawaaribu miundombinu na kuua raia wasio na hatia. Acha propaganda bwana.
 
Mimi nasubiri baada ya vita nione vile Russia ataitawala Ukraine,hapo ndiyo nitajua kama ameshinda hii vita kweli au kajizolea shida kwa kujitakia.
Sidhani kama ataweza kuitawala maana raia hawawataki.
Ila malengo yao kwa kiasi kikubwa yata kuwa yametimia maana Ukraine haita weza tena kujiunga na Nato na wenda ikaishia kusambaratika kama iliyo kuwa Yugoslavia.

Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
 
Putin spoke by phone with President of the European Council Charles Michel. We talked about Ukraine:

- The humanitarian aspects of the situation in the country were discussed in detail.

- The President of Russia outlined Moscow's position in connection with the conduct of a special operation to protect the republics of Donbass.

- According to Putin, the main threat in Ukraine comes from nationalists who use terrorist tactics and hide behind the population.

Putin called on the EU to make a real contribution to saving people and to put pressure on Kyiv to make it respect humanitarian law.

SmartSelect_20220301-220358_Gallery.jpg
 
Back
Top Bottom