LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Jamaa anataka kukubali yaishe
Screenshot_20220309-013718.jpg
 
Sio troops, Poland wamesema watawapatia Ukraine Ndege vita zote za aina ya MIG-29
Upo sahihi ila anazipeleka kwa Kambi ya Wamarekani iliyopo ujerumani ili wao wasiingie kwenye mgogoro wa Moja kwa Moja na urusi.
Sababu ya pili wanasema ni kwamba marubani wa Ukraine wako vizuri katika kuziendesha mig na wamezifanyia mazoezi kwa muda mrefu.
 
Hiyo ban hata yeye mwenyewe US itamuumiza tu,ndo maana ameenda kujipendeza venuela ,ili wamuuzie mafuta .na supplyer mkubwa wa hizo nishaati ni Russia ,Sasa kumpiga ban ,maana yake uwe na mtu mwngine anaye supply Mara 2 ya Russia ,na kimsingi hakuna!
Tayari inamuumiza ... bei za mafuta zimepanda

Unadhani waliopiga ban hawajaona
sidhani waliwazia uzito wake... inaonekana wanahaha mbio mbio. hawakuwa na mipango ya kuongea na Venezuela na Irani kununua mafuta - hizi nchi walizichukia, na kuziwekea vikwazo - hazijabidilika
 
Mrusi ndo itamuumiza zaidi kwa sababu sio mrusi pekee anayezalisha mafuta,so nchi zingine zitafaidika zaidi pia kuuza.



Anafanya hivyo ili kumreplace mrusi katika soko,na atakuwa replaced kwa sababu hata huyo venezuela ataangalia maslahi ya uchumi wake hatajali na hatowanunia wamarekani,atakubali na mrrusi atakuwa replaced kidogokidogo.

,Saudi Arabia, Canada, China na venezuela naye akikubali kusupply mafuta hawa wote wanamreplace mrusi kwa kiasi kikubwa sana ukiongeza na wairan pia ambao nao wakikubali kuuza mafuta yao katika soko basi mrusi ataumia
siasa zao zitawazengua... ila tunasahau mrusi bado ana kete. Kwa mfano Iran anataka ile ruksa ya nyuklia, mrusi yumo na nguvu ya uamuzi - pia nahisi mrusi alishapata dili la kutengeneza hizo nyuklia za Iran. Haya mchina pamoja na kuwa kimya pamoja na mhindi - wana biashara kubwa na warusi... sioni kama India na China na Brazil na Afrika Kusini ambao wana umoja wa kiuchumi wataweza kuacha biashara ... pili wamagharibi hawawezi kuwekea vikwazo nchi hizi zikiamua kufanya biashara hii

Lingine la kisiasa... sasa Venezuela atataka vikwazo toa na kuachwa na siasa zake, Iran nae, Saudi Arabia anaonyesha kete zake ziko na waarabu wenzake zaidi ya mzungu... haya mchina nae ndo atasumbua zaidi na Taiwan na HongKong manake wazungu na mmarekani wametingwa
 
BREAKING NEWS

2 HOURS AGO.

Msaada wa Kijeshi wa Marekani kwa Ukraine umefika mda huu. ATGM na MANPADS za Kutungulia Vifaru na ndege zaidi ya 20,000 elfu zimewasili Ukraine. Thamani halisi ya Msaada huo wa kijeshi haijawekwa wazi.

Siku na Jumamosi,Marekani ilitangaza msaada wa kijeshi kwa Ukraine wenye thamani ni $ 360 mln.

View attachment 2143813
Msaada muhimu ni kufanya majadiliano na Urusi ili kusitisha vita, hii kutoa silaha ni kuchochea Vita.
 
China yaitaka serikali ya Marekani itoe maelezo ya kutosha juu ya maabara zake 30 za utengenezaji wa silaha za kibaiolojia alizozijenga kisirisiri nchini Ukraine

SmartSelect_20220309-050255_Chrome.jpg


 
China yaomba serikali ya Marekani itoe maelezo ya kutosha juu ya maabara zake 30 za utengenezaji wa silaha za kibaiolojia alizozijenga kisirisiri nchini Ukraine

View attachment 2143913


Maabara zote hizo nchi 1 sijui duniani zipo ngapi hawa ndio watengenezaji wakubwa wa magonjwa wamalize watu tu na walivyokua wazuri Kwenye media wanasema ni conspiracy mara fake claim haha ila watu washawashtukia sasa sijui watamshauri nani achanje
 
Mafuta yatauzwa kama kawaida njia za mikato nyingi sana sana na kumbuka ni wao tu wame ban sio dunia kitakachotokea tu bei zitapanda sana basi lakini cash flow kwa Russia kama kawaida hizi ni siasa tu.
 
Back
Top Bottom