LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Na imagine anavyofura kwa hasira akiona kinachoendela huko,huenda kila mara anachungulia kilipo kitufe cha Nyuklia code. Kwakweli wampe tu japo ukweli unajulikana Mtu mzima kavuliwa nguo mchana kweupe 🤣
😃😃😃😃😃
 
Putin ukitaka achague mradi wa gas na nord stream 2 au ukraine asain mkataba wa kuungana na nato unahisi atachagua kipi ?

atachagua kuivamia ukraine na kuzuia mkataba.

kitu ambacho hawajui media za marekani,ufaransa,australia,ujerumani na bbc zilizo africa kwa kifupi radio mbao zote zilizopo upande wa nato hata urusi.

"""" alivyozindua avangard hypersonic missile linatoka urus mpaka marekani moja kwa moja na bomu la zurcon ambalo marekani hana" mlitangaziwa nawauliza hii habari mara mbili mbili zaidi zaidi huwa mnasikia habari za kiduku tuuu"

hizo media zinamaongezi ya kuonyesha usupa power kwa NATO countries au kuonysha kama urusi hana nguvu za kufanya lolote au wamesalender.

Nawapa taarifa lugha anayo ongea putin na uchina hamuijui kabisa ? wiki iliyopita uchina ilitoa tamko la kuiunga mkono urusi, belarus walimuunga mkono urusi na taarifa nyingi hamzipati kwa sababu "zinachujwa" ....... na kupewa zenye kuonesha urus si kitu.

Ukitaka ujue urusi ni mwanaume nitakuorodheshea mambo kadhaa hapa :…
1. Rais wa ufaransa alienda urusi kufanya maongezi ili wamtulize lakini alipigwa chini hakuonekana kitu, watu kitu ambacho hawaelewi ni kuwa BIDEN kaharibu sana .

2. Cancellor wa ujerumani kwa kiasi kikubwa ndio kasikilizwa baada ya ziara ya jana ukraine na kwenda urusi leo na putin kasema atapunguza troops kule.

3. Nchi zaidi ya 7 kubwa ikiwemo marekani, wingereza,ujerumani,ufaransa wanamuongelea urusi peke yake .

4. Hivi urusi hamjiulizi kwa nini viongozi wakubwa ndio wanamfata kwenye nchi yake lakini jamaa amewakazia mpaka cancellor wa ujerumani ndio kasikilizwa dunia nzima wanaiogopa NATO chini ya U.S.A kwa sababu ya propaganda.

halafu media za NATO zinavyoripoti et putin anatoa majeshi kama kaogopa vilee au hawezi kuvamia yani watu ni wanadanganywa na media.

kwa kifupi mimi nafatilia maneno ya putin kupita media yao ya RT .
kimachofanya asikurupuke anajua kwamba viongozi wa hii dunia ya leo hawajielewi yeye toka mwaka 2000 kaanza na bush,obama,trump anawajua vizuri hlf huyu biden.

1. BiDEN MGONJWA U.S.A
2. RAIS WA UKRAINE ALIKUA MCHEKESHAJI sio kiongozi mwenye uzto.

3. MACRON NI MTOTO bado hajakomaaa kwa maono ya putin.

KIDOGO KWA SASA ANAWEZA SEMA NA KIONGOZI WA UJERUMANI KWA SABABU VIONGOZI WAKE NI WATU WANAOJUA HISTORIA

KWA KIFUPI CANSELLOR WA UJERUMANI KATOA HOJA YA MSINGI KUWA KWA KIZAZI CHA SASA HAKITAJI VITA KAMA KIPINDI WALIVYO SHUHUDIA WAO ATHARI ZAKE NA KUELEZEA NAMNA WANAVYOTAKIWA KUFOCUS NA UWEKEZAJI.

Putin kamuelewa yule cansellor hata mimi hoja za cansellor wa ujerumani nimeziona zinastahili kupunguza jazba ya Putin.

NB : Putin ndio anaongoza kwa bomu za nuclear duniani msisahau hilo licha ya nchi saba kumtaka peke yake.
Nenda pale ikulu wakupe tausi watatu nitalipa mimi ndugu.Kuna kauli inayosema ,ukisikiliza vyombo vya habari una habarishwa uongo na usiposikiliza unakosa habari.
 
Rais wa Ukraine kulalamika kila siku ni mbinu mojawapo ya kivita. NATO na USA wako nae bega kwa bega.

Wanachokifanyika NATO na USA ni kuitumia Ukraine kama chambo ya kuiangusha Russia kiuchumi ambapo matokeo yake haitatawalika na nguvu zake kijeshi zitapungua sana kwa siku zijazo.

Ukraine itapata hasara ya miundombinu ila NATO na USA watasaidia kuijenga upya.

Shughuli itakua kwa Russia maana itapata hasara kubwa kiuchumi kwa miaka mingi ijayo.
 
Hata Katuni pia tunakoelekea Watoto hawatoziona.Inaelekea Putin alishapaniwa siku nyingi sana ajichanganye tu wamkomeshe,kila kunapokucha hali inazidi kuwa mbaya upande wa vikwazo na hivi vinawagusa wananchi wa kawaida kabisa moja kwa moja 😟
Putin kazua songombingo Sana.
 
Ona sasa shida imekuja mpaka kwa Team yngu pendwa 😡
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila team haijaguswa huyo kaongeza chunvi tu...

Aliyepigwa kikwazo ni Abrahmovic mwenyewe so Club...

Apa sasa ndo utarejea kule nilikokua nakusema.... Taarifa ukizibeba bila kuzichunguza unabak na taarifa sehem kweli sehem uongo kwasabab waleta taarifa wana mahaba na pande walizonazo.
 
Roman Abromovich sanctioned

Chelsea hairuhusiwi kuuza mchezaji, kuuza jezi, kununua mchezaji, kuongeza mkataba,

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni fake news!! Hakuna maamuzi kama hayo yamefanyika. Mimi ni mfuatiliaji mzuri wa mgogoro wa Ukraine na Urusi, pia ni mpenzi wa Chelsea. Weka ushahidi wa madai yako!! Mmiliki was Chelsea aliamua kujiweka pembeni mwenyewe na baadaye akaamua kuiuza Chelsea.
 
Mwaka juzi kulikuwa na uzi nadhani ni wa North Korea nikadokeza somewhere kwamba Uturuki inaweza ipiga Iran watu wakaja juu kweli kwamba nawakosea Iran. Ila Uturuki ni taifa lingine kwenye silaha na ni superpower kwenye drone tangu kabla ya hii vita ianze. Silaha nyingine za Uturuki kama meli za kivita, helicopters, jet trainers, IFVs na APCs, missiles na precision guided munitions tuziache kwanza. Bado nasema hivi Iran hawezi kumpiga Uturuki na ambavyo dynasties za Persians zina historia ya kupigana na Ottomans mara nyingi. Hawa wote wapiganie mipakani ila sio deep in territories hiki tunachokiona kwa Ukrainians kiko kwenye damu ya Wairan sio kwamba unaanza kuwahamasisha.

Yale mapinduzi ya 2016 yaliyofeli Uturuki maelfu ya raia waliingia barabarani kutengeneza human chain kuzuia vifaru vya wanamapinduzi visipite, kuna clip nadhani YouTube bado zipo raia wamezuia njia crew ya kifaru ikafungua hatch kuongea nao raia wakawashusha na kuwachapa makofi. Nikiunganishi na jinsi Ottomans walivyopigana kwenye Gallipoli campaign kuzuia zile staits ambazo unapitisha meli za kivita ndio uende Urusi. The way kina Winston Churchill kipindi hicho ni kamanda walivyoshindwana na Waturuki mpaka kila upande ukapoteza wanajeshi 56,000 kwa vifo naamini Uturuki ukiwachokoza ujipange sana. Kuna jamii zina spirit ya tangu kale ya kupigana

Uturuki anaizidi China na Urusi kwenye unmanned aerial vehicles ila anazidiwa mbali na Israel na Marekani. Hizi ndege za Russia kina Su-25 na Mig-34 zinazopigwa kwenye anga la Ukraine hazina ulazima sana wa kutumika kama Russia ingekuwa na effective attack drones. Uzuri ni kwamba ukiwa na drone huogopi kupoteza rubani na unakuwa na confidence, rubani akiwa na Su-25 anakuwa na hofu, anaenda haraka na coordinates anaweza kosea kwa kiwewe maana kila siku ndege zinadondoshwa na mwishowe anakosea target. Operator wa drone anatulia maana haoni kingine zaidi angani, hata ikipigwa hatokufa, drone si gharama sana na zimetengenezwa kwa materials ambazo ni ngumu kuziona kwa radar
 
Roman Abromovich sanctioned

Chelsea hairuhusiwi kuuza mchezaji, kuuza jezi, kununua mchezaji, kuongeza mkataba,

Sent using Jmapp
Uingereza haiwezi kufanya maamuzi yatakayoiathiri timu ya nchi yao. Mmiliki wenyewe alishaamua kuiuza
 
Hii ni fake news!! Hakuna maamuzi kama hayo yamefanyika. Mimi ni mfuatiliaji mzuri wa mgogoro wa Ukraine na Urusi, pia ni mpenzi wa Chelsea. Weka ushahidi wa madai yako!! Mmiliki was Chelsea aliamua kujiweka pembeni mwenyewe na baadaye akaamua kuiuza Chelsea.
Upande wa Chelsea ni uongo ila upande wa Abrahmovic ni sahihi....

Source Al Jazeera
 
hiyo vita haiishi leo wala kesho mpaka mpaka putin amtoe madarakani huyo comedian kibaraka wa mabeberu...putin anataka kupandikiza kibaraka wake ukraine,kama putin akimtoa madarakani huyo comedian itakuwa ni ushindi mkubwa sana kwake naitakuwa ni pigo takatifu kwa mabeberu hasa marekani ndio maana marekani anafanya kila awezalo kumzuia russia...
Tatizo hawezi kumtoa,Wananchi wake wanampenda comedian wao yeye Putin atafute sehemu nyingine ya kumuweka huyo kibaraka wake mwingine
 
Back
Top Bottom