LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
The President of South Africa, during a telephone conversation with Putin, expressed support for the ongoing political and diplomatic efforts in the situation around Ukraine, the Kremlin said.

SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
The METRO chain of stores plans to continue operating in Russia, a representative of the company's press service said.

SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
The Americans have already managed to evacuate most of the bioresearch documentation from laboratories in Kyiv, Kharkov and Odessa, the Russian Defense Ministry said.
SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
Russian Ministry of Defense: the possibility of moving part of the collection of materials from American bio-research from Ukraine to Poland is not ruled out.
SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
West wanafiki wanataka kuitumia Ukraine kama chambo kuitangaza Urusi kama nchi isiyostaarabika. Ukraine nao kama wanaendeshwa na EU badala wacheze kama Francisco Franco aliyesaidiwa na Hitler na Mussolin kuingia madarakani ila WW2 ilivyoanza akala kona kama hawajui. Mwishowe Spain haikurusha hata risasi moja alafu washirika wake wakafia vitani. Inabidi uishi kijanja ukiwa kati ya mafahari wawili. Uturuki inazihitaji Ukraine na Russia nawaamini kwenye kutatua huu mgogoro.
Kumbe mkuu na ww umeliona hili, inavyo onekana Ukraine iko tiyari kusikiliza matakwa ya Russia na kuyafanyia kazi lakini inaonekana kuna kizuizi kinacho wazuia.
Ila ina bidi wafanye maamzi magumu maana raia wanateseka sana mpaka nimeanza kuwaonea huruma japo kuwa vita ni sehemu ya maisha ya mwanadamu.

La sivyo Ukraine ita kuwa kafala ya mataifa ya magharibi kufikia malengo yao.

Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
 
The Ministry of Defense of the Russian Federation showed documents on a project to study bats in American biological laboratories in Ukraine.

All documents are translated from Ukrainian.

IMG_20220310_170440_167.jpg
IMG_20220310_170439_592.jpg
IMG_20220310_170440_244.jpg
 
Documents from American biological laboratories in Ukraine, which confirm the transfer of biomaterials to Australia and Germany.

They are published in Russian translation by the Ministry of Defense of the Russian Federation.
IMG_20220310_170537_935.jpg
IMG_20220310_170537_860.jpg
IMG_20220310_170537_745.jpg
IMG_20220310_170537_628.jpg
 
The Ministry of Defense of the Russian Federation showed documents (translated into Russian) that confirm the destruction of evidence in American biological laboratories in Lvov and Yavoriv.
IMG_20220310_170740_322.jpg
IMG_20220310_170739_960.jpg
 
Lavrov akubali ukweli tu- dunia ipo tayari kulinda uhuru na demokrasia. Mamia wapo tayari kuvuka boda kupigania uhuru na demokrasia bila malipo. Udikteta(Urusi/China) haujakubalika jana, haukubaliki leo na hautakubalika kesho.
Kwamba Western countries sio madikteta na ni democratic sana? Kumbuka hii vita anaumia raia wa kawaida huko Ukraine.
 
The Russian government proposes to minimize the number of procedures for business and extend the validity of licenses - Mishustin.
SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
The level of demand for goods in the current conditions is increasing, but the authorities will solve all problems - Putin.
SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
Sasa watu humu eti wako serious wanasoma Kyiv Independent. Yani Tanzania inapigana na Uganda alafu mtu anaenda kusoma taarifa TBC akitegemea nini. Taarifa inabidi itolewe na neutral party yenye credibility. Nadhani ni wewe juzi uliniuliza kama naamini Ukraine walivyosema ndege 80 za Urusi zimepigwa nikakwambia hata wangesema 40 nisingekubali.

Kuhusu Iran kushusha drone ya Marekani ni ajabu ndio ila sio kumaanisha ndio wana uwezo mkubwa sana kuzidi Uturuki. Last comment yangu nimegusia mwaka 1999 Yugoslavia walivyodungua F-117 Nighthawk jet ya Marekani tena ikiwa stealth lakini walitumia system ya miaka ya 1960s uko ya kizee inapuuzwa. Hili ndio la ajabu zaidi na bado hawakushinda
Mkuu sija sema ya kwamba Iran ina izidi Uturuki ila nimesema anajitahidi na uwezo wake sio wa kubeza katika sekta hiyo na ukimuendea kichwa kichwa ana kutoa kamasi.

Kwangu mm tangu tekinolojia ya drone igunduliwe sijaona Drone bora za kufanya mashambulizi kama ile ya kituruki ile drone ni habari nyingine maana ina uwezo mkubwa wa kuamua vita ikikutana na mtumiaji mzuri.
Sema Urusi iliziwahi ikaziharibu tofauti na hapo ingepata wakati mgumu mno kuliko inao upata kwa sasa.

Vita kati ya Uturuki na Iran itakuwa sio ya kitoto hata kidogo.
Haya mataifa yana watu wenye akili na yote yana historia ya ubabe sema Iran kinacho ikwamisha ni msimamo wao wa kisiasa uliosababisha kuwekewa vikwazo na wamagharibi kwa hiyo saa nyingine wanashindwa kuboresha tekinolojia yao kwa ukosefu wa fedha.

Kwa upande ya Ukraine na fikiria Urusi ikiamua kutumia yale mapomu yanayo nyonya Oxsijeni nime yasahau jina sidhani kama Ukraine ita endelea kuhimili ila Putin awe tiyari kuitwa muuaji wa kimbali.

Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
 
KWANINI, USA & NATO wanalazimisha misaada ya SILAHA badala ya kutafuta DIPLOMACY WAY? Kwanini wanalazisha UKRAINE waendelee kupigana??
Ukraine imebaki battle ground, it's not fair kinachofanyika coz anaumia raia wa Ukraine na sio mwingine.

Inatengeneza namna ya kumfanya Russia's economy weak kwa kuongeza sanctions kwake hivyo kusambaratisha uchumi wa urusi.
 
Back
Top Bottom