LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
The current crisis has no analogues in its depth, it will take a long time to deal with it, Ryabkov said. Galip SV Liwagu
SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
Asante, kuhusu GDP pekee unasema kweli, hapa Urusi ni nafasi ya 11 duniani (kwa sasa, tuone mwaka ujao baada ya vikwazo walivyojipatia). Ila hii ni pamoja na biashara ya gesi na mafuta, inayoweza kucheza sana (nimeona ni asilimia 60% ya GDP).
Upande wa Pato la Taifa GDP kwa kila raia unasema kweli pia, nchi ndogo ziko juu. lakini linganisha chanzo hiki (inaunganisha data za IMF, Benki ya Dunia na UM) utaona Urusi kati ya nafasi 80-85 (nilikosea kuhusu 92, ilikuwa ya zamani), Marekani nafasi ya 6-10, Ufaransa 24-29. Pato kwa raia inasema kidogo kuhusu utajiri halisi ukiangalia ugawaji wa mali ndani ya nchi, ambayo huko Urusi ni kati ya nchi zenye tofauti kubwa sana kati ya matajiri wachache na maskini wengi (ni vibaya kote duniani, lakini hapa vibaya zaidi).
Ukiangalia si mapato bali mali, ninakuta hiyo: Wealth inequality is even more drastic, with the richest 10 percent of Russians owning 87 percent of the country's wealth, making it the most unequal of the world's major economies.
Yah ngoja tuone itakuaje...

Af kwanza em mpongeze kabla ya 24th Feb. 2022... Yani hajaingia Ukraine tear alikuwa na vikwazo zaidi ya 2700 mgongoni... Yani nafasi y pili nyuma ya Iran kwa vikwazo en still bado akaweza kua wa 11 kwa GDP.

Kingine kuhs gap la wenye nacho na waso kua nacho dah hilo tatizo kwenye dunia yetu bado majanga na sijui litaja pona lini mzee...

Hyo list Ukizichukua top three countries with highest wealth inequality Baada ya Russia ni number 2 ni USA kisha 3 ni China. Ila kabla ya 2018 aliyekua anaongoza ni Mmarekani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...

Sasa ukiangalia wanapima vp hcho kitu n kupitia Market Values ya kampuni wahusika wanazomiliki ndani ya Stocks Markets kisha utajiri huo kulinganisha na watu wengine.

Sasa me na ww twajua fluctuations za Stocks market leo hii unaitwa billionaire kesho soko likiyumba unaitwa millionaire...

Je ni kipimo sahihi cha kumtambua mwenye nacho na asiekua nacho...?

Tanzania nzima ina Billionaire mmoja tu. Ambae kwa taarifa za uko nyuma kuna mahala nliwah kusoma ati anachukua takriban asilimia 3 ya GDP... (Ka n kweli au si kweli sina hakika sana)

Af mwisho kwenye vikwazo bado me nawasi wasi wa kitu kimoja... Naona kama USA anawaingiza chaka wenzie. Kuna picha ntakuwekea apo chini utaiona.

Apa nahisi anawaingiza chaka wenzie kwa mfano kama hivi... Kuna familia 4 huwa zinakula gengeni. Familia ya kwanza anakula gengeni ila ndani ana hazina ya chakula... Familia zingine zinakula gengeni ila hawana hazina ya chakula nyumbani.

Siku moja mwenye hazina ya chakula nyumbani akagombana na mwenye genge kisha akaanza kuwashawish na wenzie wasiende kula pale...

Hapo kama wakiacha kwenda kula pale gengeni mwenye genge ambae nae pia an hazina nyingi tu ya chakula ataathirika kwa kukosa mapato ya nje so atapunguza tu idadi ya chakula cha alichokuwa anapika but hatolala njaa...

Ile familia kati ya hizo nne mwenye hazina ya chakula ataanza kujipikia kwake kisha anakula... Yule aso kua na hazina ndo anabaki anatanga tanga...

Angalia kwe hyo 4to USA ni number 2 kwa kua natural resources nyingi... Hao wengine wako wapi? Maana ake ni wazee wa ku'import. Haraka haraka watatoboa?
Screenshot_20220312-134051.jpg
 

As Fuel Prices Spike in US, Gas Theft is Also on the Rise, Police Warn​

Police departments across the United States are warning Americans that cases of gas theft have increased at pumps nationwide, urging the public to be on the lookout and recommending precautionary steps against the gas thieves.
The Everett Police Department in the state of Washington said that such thieves are using power tools to drill a hole in the gas tank and steal fuel.
 
The head of Russia's Space Agency has threatened to leave an American astronaut in space
after US President Joe Biden announced sanctions on the country


Russia has started retaliating. The war has now gone in to space . Russia is planning on abandoning an American astronaut in space who is suppose to be back home in 3 weeks time and also allowing the international Space Station to crash in to America .


1647085081062.png
 
The head of Russia's Space Agency has threatened to leave an American astronaut in space
after US President Joe Biden announced sanctions on the country


Russia has started retaliating. The war has now gone in to space . Russia is planning on abandoning an American astronaut in space who is suppose to be back home in 3 weeks time and also allowing the international Space Station to crash in to America .


View attachment 2147894
Taratibu tu, tutajua nani ni mbabe katika sayari hii.
 
Wewe ni fala sio kila mtu yuko tayari kutoa Malinda kama wewe mwoga
Inaonyesha huwezi hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi kwa akili zako hizi.

Inaonekana upo tayari kuua ndugu zako kisa roho yako ya kikuda.

Huwezi kutoa kafara zaidi ya watu Milioni 40, kwa ajili ya kuwasikiliza far right extremists group ambao ni wabaguzi wa kiwango Cha Hitler mfano walichotendewa watu Toka Mataifa mengine ni ushahidi wa wazi kisa kujiunga NATO.

Huwezi kuwa raisi halafu usijue jiopilitiki ya Taifa lako.

Huyu ni raisi mjinga wa kiwango Cha sgr.

Kama matusi nayaweza ila nafuata Mila na desturi za Watanganyika hivyo hongera na endelea kutukana
 
Una ndoto wewe. Hujui HIV ilikuwepo kabla ya Ukrain kutoka kwa iliyokua USSR.......
Tatizo sio kuwepo ni kuirutubisha yaani kuiongezea Makali au uwezo kwani mafua hayakuwepo si yanaweza kuwa yamerutubishwa yakawa Makali na kuasili mfumo wa upumuaji ndo tunaaita corona kwani mbwa hawakuwepo zamani walikuwepo ila Sasa Kuna upandikizaji wa mbwa wa mbegu za kisasa pia nmesema kama angalizo tu so usininote vibaya na ndio maana uchina anakazina kuupata ukweli juu ya madai ya urusi so usighafilike na comments yangu mkuu nmetoa angalizo tuu nawew najua pia hupendi kufa kwa magojwa ya kutengenezwa
 

As Fuel Prices Spike in US, Gas Theft is Also on the Rise, Police Warn​

Police departments across the United States are warning Americans that cases of gas theft have increased at pumps nationwide, urging the public to be on the lookout and recommending precautionary steps against the gas thieves.
The Everett Police Department in the state of Washington said that such thieves are using power tools to drill a hole in the gas tank and steal fuel.
Kama habari hii ina ukweli basi naona na US safari hii nao wataonja ladha ya vita moja kwa moja katika kipindi kifupi sana aisee.

Kupoteza 40% kwa uingizaji wa mafuta ya Russia sio jambo dogo kwa nchi kama US
 
Sera za Uchumi na udikteta wa siasa na uongozi havihusiani..

Ni Mwendazake tuu ndio alikuwa fala analeta udikteta kwenye uchumi..

Kumbuka China aliachana na.sera za ujima.za.kijmaa kwenye Uchumi,akazibakiza kwenye siasa ndio maana yuko hapo.

Sasa Russia ambae ni muasisi wa hizo sera za kijima hazijamsaidia hadi sasa.

Na China yeye ana akili atapambana na US kwa kutumia mbinu alizitumia US za kujenga Uchumi afu ndio aanze kutunisha jeshi zaidi.

View attachment 2146566
Urusi akidondoka anayefuata ni China na west watatafuta sababu mbalimbali mpaka wampate either military au kiuchumi.
Hivyo china inafahamu nini Cha kufanya kwa wakati huu.

Bado China inaapply mixed economy, huwezi tu kuingia soko la china hovyo hovyo.
 
Israeli Prime Minister Naftali Bennet advised Zelensky to agree to Moscow's proposals and stop hostilities.

Axios writes about this with reference to a high-ranking Ukrainian official.

According to them, the telephone conversation took place on the initiative of the Israeli side. Zelensky and his advisers were not satisfied with Bennett's proposal.
Galip SV LiwaguView attachment 2147869
Af mswahili Mimi namwambia akomae mpk mwisho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uku kule mUSA anatuma silaha zake n "daily basis"
 
Back
Top Bottom