LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
The head of Russia's Space Agency has threatened to leave an American astronaut in space
after US President Joe Biden announced sanctions on the country


Russia has started retaliating. The war has now gone in to space . Russia is planning on abandoning an American astronaut in space who is suppose to be back home in 3 weeks time and also allowing the international Space Station to crash in to America .


View attachment 2147894
Piga Hao mbwa baba mzee putin
 
The head of Russia's Space Agency has threatened to leave an American astronaut in space
after US President Joe Biden announced sanctions on the country


Russia has started retaliating. The war has now gone in to space . Russia is planning on abandoning an American astronaut in space who is suppose to be back home in 3 weeks time and also allowing the international Space Station to crash in to America .


View attachment 2147894
Aisee hatari sana hii yaani watu mmekuwa siku zote mnaishi kwa furaha na upendo ghafla tu wanasiasa wanabadilisha mitazamo yenu pasipokupenda na kujengeana uhasama mbaya kiasi hiki!
(Hakika siasa mchezo mchafu sana)
 
The head of Russia's Space Agency has threatened to leave an American astronaut in space
after US President Joe Biden announced sanctions on the country


Russia has started retaliating. The war has now gone in to space . Russia is planning on abandoning an American astronaut in space who is suppose to be back home in 3 weeks time and also allowing the international Space Station to crash in to America .


View attachment 2147894
Vladimir mwakaputini piga Hao mbwa baba
 
Nakupa mfano mmoja. Kuna oligarch mmoja aliitwa Mikhail Khodorkovsky na alinunua kampuni ya mafuta ya Yukos miaka ile ya 1990s walipofanya ubinafsishaji wa makampuni ya serikali na kuwapa oligarchies kwa mauzo ya chini sana. Baadae mwanzoni mwa miaka ya 2000 huyo bwana akawa mpinzani wa sera za Putin na akajihusisha na siasa, kampuni yake ikatungiwa kesi ya madai ya mabilioni ya kodi. At the time ndio ilikuwa kampuni kubwa ya mafuta Urusi, ikataifishwa yote na yule jamaa akafungwa miaka 10 kisha akaachiwa mwaka 2013 akaenda kuishi uhamishoni Uingereza. Mali za kampuni yake zikataifishwa na kumilikiwa na Rosneft kampuni ya mafuta ya serikali. Ile Yukos ilikuwa na shareholders makampuni tofauti duniani wote wakala hasara. Ni mfano mmojawapo wa sera na sheria za Urusi zisizoeleweka kwa wawekezaji, wanakaa na hofu serikali na viongozi wako juu ya sheria hakuna uhakika wa haki. Mwekezaji hapendi sehemu kama hii.

Huo ndio udikteta wa kiuchumi. Marekani watu kama Trump wametoka kwenye biashara wakagombea siasa na hutokaa usikie mamlaka za mapato nchini kwao zinawatungia kesi za uongo
Tuelezee kuhusiana na Abramovich na uwekezaji wa Chelsea kilichotokea na ni aina Gani ya uchumi?
 
Sasa unajua Russia kuna kampuni ngapi za wawekezaji kutoka west? Nchi zote zilizomwekea Russia vikwazo: Yaani ukijijua umemuwekea Russia vikwazo halafu katika nchi yao una makampuni yako, panga lililopita linalojadiliwa sasa hivi ni kuzi- nationalizing.

Omba wanaolijadili walijadiri kiustaarabu.
Hapa mjerumani ataumia zaidi na mfaransa
 

Putin says Russia must welcome volunteer fighters​

Russian President Vladimir Putin has said Russia must allow volunteers who are willing to fight in Ukraine to take part in Moscow’s offensive.

[emoji23][emoji23]

Baada ya kuona Askari wake Wanaiba Kuku.

Russia hawana experience ya Vita kama ya Ukraine
Hii ni reciprocal kuwajibu kiev walioomba Mataifa yenye mtizamo kama wao kwenda kujiunga nao.

Na baadhi ya nchi na Mataifa yameanza kujibu.

Kuanguka kwa Urusi itakuwa gharama kubwa Ulimwenguni.

Nani ataweza kumfunga paka kengele?
China, North Korea, India, au Pakistan
Utagundua hakuna.

Bila Urusi kusimama Uchina atapata tabu
 
Warusi wamepanick,wameanza kushambulia maeneo ya raia.Baada ya hospital Sasa wameshambulia msikiti!
Screenshot_20220312-151826.png
 
Ndio Jomba...

That's why kila mda nasema katika watu siwaelewi kabisa yani KAAABISA... ni wana siasa.

Mwanasiasa asye mstaraab anaeza akaua au kudhuru mamilion wasio na hatia katika kumchafua mwenzake kisiasa.

Ajab huyo Hungarian President atapuuzwa kwasabab hajaizungumzia Hasi Urusi na Kuitetea Ukraine...

Na kwa kirefu zaidi taarif yake haitapewa kipaumbele kwenye Vyombo vya habari...
Halafu watakwambia west Kuna uhuru wa habari?

Wanachofanya ni kulazimisha mitazamo Yao kutawala consciousness ya bongo za wanadamu, filamu zao na hadithi zao

Unakumbuka tulivyokuwa wadogo, tulikuwa tunaamini Schwarzenegger mmoja anaweza kupiga jeshi zima.

Ndio tujue wanavyooperate, Mataifa Mengine wakitumia the same trick utasikia wanaanza kulalamika.
Mfano issue ya askari wa kukodi west wameifanya kwa miaka mingi sana na wakitumia hadi askari ambao walikuwa vitani utotoni, je Kuna chombo Cha habari waliripoti?

Atrocious act walizozifanya Afrika, vyombo vyao vimeripoti kimya.

Enslavement inayofanyika kiuchumi kwa Mataifa ya west Africa na Mfaransa ishawahi kuripotiwa, hapana au ndiyo?
Hii ndio kwa eastern part of Afrika na kusini, panakuwa kwa Kasi kuwashinda.

Unilateral sanctions kwa Zimbabwe baada ya kuchukua ardhi toka kwa watu weupe ilikuwa sawa?

Halafu Kuna mtu kama hapa anawasapoti , Mimi nasema hapana.

Hawa jamaa ni washenzi kuliko na siku zote hutangaza mabaya ya wenzao Tena huyatengeneza.

Bado nawatafakari, hivi bila eastern block, sisi Tanganyika tungetoboa kwenye vita ya Kagera. Nawaza tu, hata Nyerere Nelson Mandela hakuwa mtu sahihi mpaka alipokubali demand zao wakafanya shujaa.

Nina mengi nayawaza, huwezi kumsapoti Zelensky kwa kutoa kafara raia wake na kuharibu nchi yake, wakati angeweza kujadiliana na kuyamaliza Kidiplomasia.

Anaetukana aendelee.
 
Toka Putin amevamia mpaka leo siku ya ngapi? Mandege yote na silaha zote , mavifaru na kila kitu yuko wapi?
Nchi ngapi zinapeleka silaha na wapiganaji ukraine? Jiulize unadhani Russia wanapigana maraboti? Wale wahuni wa syria wakiingia hapo ukraine ndio tutaona athari kamili za vita.
 
Sasa kwani wewe ukiwa investor mkoa X unafaidisha kwenu au huko ulikowekeza?

Kiufupi unawafaidisha Nchi mwenyeji ndio maana Trump alikuwa kwenye kampeni ya kuwarudisha Americans wakawekeze home.

So ukila bans wewe kama investor utaendelea kubaki Ili ufaidi nini?
Kuna profit repatriation unalifahamu Hilo?

Na kwenye National GDP ipo included unalitambua Hilo Cha matusi?
 
Inashangaza Vladimir Putin kulalamika vikwazo vya uchumi dhidi ya Urusi siyo halali. Je kuvamia nchi ndio halali? Mzee mzima amelikoroga ,hamna namna zaidi ya kumeza na kushusha na vodka.
Hata Marekani aliivamia Iraq, Panama
Ufaransa aliivamia Libya under pretext ya kuilinda raia.
Je waliwekewa vikwazo vya kiuchumi?
 
Nikupe taarifa tu.

USA mfumo wao wa kodi sio Residency based pekee bali Citizenship Based....

Maana ake ni popote atakapokuwa duniani as long as anaitwa "Citizen of United state of America" lazima alipe Kodi USA kwa earning yoyote worldwide.

So ikitokea nchi anayoishi tuchukulie mfano kaajiliwa Tanzania analipia kodi mara 2.... Analipa hapa na analipa nchini kwake....
Anaonekana huyu jamaa kwenye masuala ya uchumi ni debe tupu.
 
Halafu watakwambia west Kuna uhuru wa habari?

Wanachofanya ni kulazimisha mitazamo Yao kutawala consciousness ya bongo za wanadamu, filamu zao na hadithi zao

Unakumbuka tulivyokuwa wadogo, tulikuwa tunaamini Schwarzenegger mmoja anaweza kupiga jeshi zima.

Ndio tujue wanavyooperate, Mataifa Mengine wakitumia the same trick utasikia wanaanza kulalamika.
Mfano issue ya askari wa kukodi west wameifanya kwa miaka mingi sana na wakitumia hadi askari ambao walikuwa vitani utotoni, je Kuna chombo Cha habari waliripoti?

Atrocious act walizozifanya Afrika, vyombo vyao vimeripoti kimya.

Enslavement inayofanyika kiuchumi kwa Mataifa ya west Africa na Mfaransa ishawahi kuripotiwa, hapana au ndiyo?
Hii ndio kwa eastern part of Afrika na kusini, panakuwa kwa Kasi kuwashinda.

Unilateral sanctions kwa Zimbabwe baada ya kuchukua ardhi toka kwa watu weupe ilikuwa sawa?

Halafu Kuna mtu kama hapa anawasapoti , Mimi nasema hapana.

Hawa jamaa ni washenzi kuliko na siku zote hutangaza mabaya ya wenzao Tena huyatengeneza.

Bado nawatafakari, hivi bila eastern block, sisi Tanganyika tungetoboa kwenye vita ya Kagera. Nawaza tu, hata Nyerere Nelson Mandela hakuwa mtu sahihi mpaka alipokubali demand zao wakafanya shujaa.

Nina mengi nayawaza, huwezi kumsapoti Zelensky kwa kutoa kafara raia wake na kuharibu nchi yake, wakati angeweza kujadiliana na kuyamaliza Kidiplomasia.

Anaetukana aendelee.
Basi tu me najiuliza kwanini tunashindwa kutafakari kwa utashi wetu na kupokea pokea habari au mtazamo flan kisa flan kasema...

Huo ulimbwetete wa toka utotoni mfano wa anord msemo wako ndo unatugharim mpk ukubwani...

Kuna mda unaeza kujikuta unachukia wanaokuzunguka kwa wale yaliyomo vichwani mwao ila mda mwingine unajisemea nao sio kosa lao... Bali ndo walivyo kua "programmed" kuwaza hivo toka wadogo...

Sasa mbali zaidi huwa najisemea bora sie ila kizazi kinachokuja hiki hiki ambacho kinakwambia "bora kikawe mbwa ulaya kuliko kua tajiri bongo ati mbwa waa ulaya wanaishi maisha mazuri" kaaazi ipo.
 
MOTO UTAWAKA

Kadyrov claims that hundreds of thousands of people are ready to join the ranks of volunteers to participate in Russia's special operation in Ukraine. Galip SV Liwagu View attachment 2146748
Hii vita tusipokuwa makini itapitiliza Ukraine.

Yapo Mataifa mengi hasa eastern Europe ambayo hayana uchumi wa kuweza kuhimili hili.
 
Back
Top Bottom