Galip Veryl
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 2,147
- 13,463
Naendelea kuwaza ka unachofikir ni sahihi... Em tuulizane swali bila ushabiki... Kama ni myahudi na babu zake waliuliwa na wanazi na ana chuki na wanazi kwanini atumie symbol zao kwe battlefield mpk ofisin kwake?hivi hawa jamaa wana connection gani na NAZI? although, cha kushangaza, rais wa ukraine ni Myahudi ambaye babu yake aliuawa na NAZI kwenye consentration camps, tuseme na yeye anapenda au kuendeleza unazi? ambao ndio walimifanya ukoo wake ukakimbilia Ukraine kwa mateso makubwa?
Mh kuna nn nyuma ya pazia...?
Ujue sio kwamba nam'attack Zelensky but nafaham fika the world is full of Illusions...
We know little kwe ukweli, sehem kubwa ya ukweli kwe mambo mengi haiko wazi imefichwa na si bahat mbaya bali kwa mipango maalum...
Na hii ndo sababu inanifanya nakataa mahaba juu ya jambo lolote... Mahaba yanafinya uwezo wa kufikiri....
Apa ukienda mbali utajiuliza there more than 26Mil Cellphones in Ukraine... 100% Internet Covarage... Sasa kuna taarifa chache sana za upande wao zilizo livve kuhs advancement ya jesh lao ka kweli wanashinda ka social media zinavodai....
Angalia tena hii clip apo chini ilodakwa live... Utasema wako serious kweli hawa...? Ukraine kuna jambo ila dunia tunafichwa...