LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
We've also been hearing today from Russian Deputy Foreign Minister Sergei Ryabkov.

He has warned Western arms convoys to Ukraine could be “legitimate targets” for the Russian Armed Forces.

Speaking on state TV, Mr Ryabkov said: “We have warned the US that pumping weapons into Ukraine, which they have orchestrated, from a number of countries, is not just a dangerous move - it is a move that turns these convoys into legitimate targets.

"We have warned of the consequences that can result from this reckless transfer to Ukraine of such types of weapons as portable air-defence systems, anti-tank missile systems and so on.”

The minister then claimed that the US did not take Russia’s warnings seriously.

Tanzania na sisi tununue hizi MANPAD na zile drones za Uturuki, Russia kala kibondo sana
Yeye alenge tuu ila kichapo ndio anakula, yaani Yale mavifaru yanageuzwa chuma chakavu 😀😀😀
 
Kwa hili wataoumia sio china wala russia ila ulaya.
Hapa russia anaweza kushusha bei ya raw materials zake akawauzia washirika kama china na india, production cost zitazid shuka huku za ulaya zikizid panda. Mfano kama tan moja ya chuma ishafika usd 100,000 unategemea scania gari za ulaya bei yake itaruka kwa mara mbili ya bei yasasa huku mchina akiendelea kupata chuma kwa bei rahisi, mwisho wa siku viwanda ulaya vitafirisika au vitalazimika kuhamia kwenye nchi ambazo raw material iko chin.
Mfano leo tu karibia nusu ya viwanda finland viko hoi sabab ya bei ya umeme hapa hatujafikisha mwez.
Nchi ulaya zinaenda firisika kwa mgogoro huu
Atakuwa anauza au anagawa? 😁😁 ,Mbona hashushi sasa
 
Kwa hili wataoumia sio china wala russia ila ulaya.
Hapa russia anaweza kushusha bei ya raw materials zake akawauzia washirika kama china na india, production cost zitazid shuka huku za ulaya zikizid panda. Mfano kama tan moja ya chuma ishafika usd 100,000 unategemea scania gari za ulaya bei yake itaruka kwa mara mbili ya bei yasasa huku mchina akiendelea kupata chuma kwa bei rahisi, mwisho wa siku viwanda ulaya vitafirisika au vitalazimika kuhamia kwenye nchi ambazo raw material iko chin.
Mfano leo tu karibia nusu ya viwanda finland viko hoi sabab ya bei ya umeme hapa hatujafikisha mwez.
Nchi ulaya zinaenda firisika kwa mgogoro huu
Nisaidie kuelewa mantiki yako. Gharama ya feleji (steel, si chuma=iron) kwenye gari ni labda 15%. Piga hesabu gharama inahitaji kiasi gani hadi bei ya gari ni mara mbili.
kama Urusi inashusha bei ya chuma (msingi wa feleji), kwa nini bei yake ipande kwenye soko la dunia? Si kushuka?
Maana Urusi inazalisha sehemu ya 1/25 ya chuma duniani. Wasipouza kitu, bei itapanda kidogo. Wakishusha bei, wazalishaji wengine wanapaswa kushusha pia. Au vipi?
RankCountryUsable iron ore
production
(1000 tonnes)
Year
World
2,500,000​
2019
1Australia Australia
930,000​
2019
2Brazil Brazil
480,000​
2019
3China China
350,000​
2019
4India India
210,000​
2019
5Russia Russia
99,000​
2019
6South Africa South Africa
77,000​
2019
7Ukraine Ukraine
62,000​
2019
8Canada Canada
54,000​
2019
9United States United States
48,000​
2019
10Kazakhstan Kazakhstan
43,000​
2019
 
Kuna watu walisema leo kiev ina pigwa show ya kibabe na kubebwa mpo wapi bhanaaa[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]
1344794785.jpg
 
Nisaidie kuelewa mantiki yako. Gharama ya feleji (steel, si chuma=iron) kwenye gari ni labda 15%. Piga hesabu gharama inahitaji kiasi gani hadi bei ya gari ni mara mbili.
kama Urusi inashusha bei ya chuma (msingi wa feleji), kwa nini bei yake ipande kwenye soko la dunia? Si kushuka?
Maana Urusi inazalisha sehemu ya 1/25 ya chuma duniani. Wasipouza kitu, bei itapanda kidogo. Wakishusha bei, wazalishaji wengine wanapaswa kushusha pia. Au vipi?
RankCountryUsable iron ore
production
(1000 tonnes)
Year
World
2,500,000​
2019
1Australia Australia
930,000​
2019
2Brazil Brazil
480,000​
2019
3China China
350,000​
2019
4India India
210,000​
2019
5Russia Russia
99,000​
2019
6South Africa South Africa
77,000​
2019
7Ukraine Ukraine
62,000​
2019
8Canada Canada
54,000​
2019
9United States United States
48,000​
2019
10Kazakhstan Kazakhstan
43,000​
2019
Mzee ili chuma kiwe chuma lazima kiyeyushwe. Na nishati simple and cheap ya kuyeyushia chuma ni coal. Kumbuka Kazakhstan, Ukraine zitakuwa upande wa Russia.
 
IMG_20220312_204309_059.jpg

Em tuzitizame hizi picha.... Af mnisaidie ni propaganda au reality...
IMG_20220312_204306_472.jpg

Hivi
IMG_20220312_204302_031.jpg

Hyo alama ni hapa chini

IMG_20220312_204257_776.jpg

Na kuna post nyingine ya NATO hii apa chini
IMG_20220312_203801_440.jpg


Hyo picha ya huyo Dada iangalie vizuri
IMG_20220312_203805_242.jpg

Angalieni hyo badge ya kifuani
IMG_20220312_203809_836.jpg

Ndo ile ile ya black sun
IMG_20220312_203813_226.jpg


Hivi apa kuna nn Ukraine... Mmmh🤔

Angalieni tena na hii ya Mzee Zelensky
IMG_20220312_203506_473.jpg

Iangalie vzur hyo alama kwenye bendera
IMG_20220312_203501_720.jpg

Ndo hii ilopostiwa apa na huyu jamaa...
Af angalia maana ya hyo symble
IMG_20220312_203458_185.jpg


Vipi wadau na hizo ni propaganda?
 
Kila mtu ashinde mechi zake...... Wazungu wanahishangaa imekuwaje vita vipiganwe ulaya?
Vita si kwajili ya asia na afrika?
View attachment 2148260
Em tuzitizame hizi picha.... Af mnisaidie ni propaganda au reality...
View attachment 2148263
Hivi
View attachment 2148264
Hyo alama ni hapa chini

View attachment 2148267
Na kuna post nyingine ya NATO hii apa chini
View attachment 2148268

Hyo picha ya huyo Dada iangalie vizuri
View attachment 2148272
Angalieni hyo badge ya kifuani
View attachment 2148273
Ndo ile ile ya black sun View attachment 2148274

Hivi apa kuna nn Ukraine... Mmmh🤔

Angalieni tena na hii ya Mzee Zelensky
View attachment 2148279
Iangalie vzur hyo alama kwenye bendera
View attachment 2148280
Ndo hii ilopostiwa apa na huyu jamaa...
Af angalia maana ya hyo symble
View attachment 2148282

Vipi wadau na hizo ni propaganda?
Neo nazi hao
 
Kwa hili wataoumia sio china wala russia ila ulaya.
Hapa russia anaweza kushusha bei ya raw materials zake akawauzia washirika kama china na india, production cost zitazid shuka huku za ulaya zikizid panda. Mfano kama tan moja ya chuma ishafika usd 100,000 unategemea scania gari za ulaya bei yake itaruka kwa mara mbili ya bei yasasa huku mchina akiendelea kupata chuma kwa bei rahisi, mwisho wa siku viwanda ulaya vitafirisika au vitalazimika kuhamia kwenye nchi ambazo raw material iko chin.
Mfano leo tu karibia nusu ya viwanda finland viko hoi sabab ya bei ya umeme hapa hatujafikisha mwez.
Nchi ulaya zinaenda firisika kwa mgogoro huu
Ukiambiwa huna akili unaaanza kulia lia emu jisomee hiki ulichoandika uone kama kweli hiki kilifaa kuandikwa na wewe
 
Back
Top Bottom