LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Urusi ni incompetent kwenye mambo mengi jeshini, kinachoibeba ni numbers na landmass. Ukraine sio level za kijeshi za Urusi hivyo sio ulinganifu sahihi, Man City kuifunga Yanga sio ajabu ila ni ajabu Man City kukoswakoswa na kufunga goli dakika ya 89 wakati kwa kulinganisha vikosi tunatarajia ishinde goli hata nne tano uko. Urusi ilitakiwa iwe imemaliza vita, superpower unapigana na jirani mnyonge muda wote huu. Sasa ingekuwa dhidi ya China ingekuwaje au dhidi ya Brazil waliopo maelfu ya kilomita mbali.

Russia iko competent kiuchumi ila kijeshi sio sana. Mlikuwa mnanifokea humu ila sasa hata Putin mwenyewe alichagua Waziri wa Ulinzi mwanauchumi. Hata kipenzi chenu Prigozhin alilalamikia suala hili.
Wataalamu wa uchumi ndio wameifanya Urusi isimame kwa heshima.
Anaandika ng’ombe mmoja ambaye hajawahi hata kuvuka bahari na kuelewa dunia inavyokwenda.

Huwa na ghafirika sana nikiona koment za kindezi design hizi. Niwie radhi ndugu kwa kutumia lugha kali, ila nahisi umenivuruga mno kwa koment hii.

Punguza kula nyasi labda utaondokana na this kind of ignorance. It is too expensive to be ignorant and indeed frustrating to those who understand.
 
Anaandika ng’ombe mmoja ambaye hajawahi hata kuvuka bahari na kuelewa dunia inavyokwenda.

Huwa na ghafirika sana nikiona koment za kindezi design hizi. Niwie radhi ndugu kwa kutumia lugha kali, ila nahisi umenivuruga mno kwa koment hii.

Punguza kula nyasi labda utaondokana na this kind of ignorance. It is too expensive to be ignorant and indeed frustrating to those who understand.
Haya maneno uliyoandika yanafaa nyuzi za kulea mume na kuandaa mapishi, nenda uko kwa level zako za housewives wenzako.
Hapa njoo ukishapata akili.
 
Urusi ni incompetent kwenye mambo mengi jeshini, kinachoibeba ni numbers na landmass. Ukraine sio level za kijeshi za Urusi hivyo sio ulinganifu sahihi, Man City kuifunga Yanga sio ajabu ila ni ajabu Man City kukoswakoswa na kufunga goli dakika ya 89 wakati kwa kulinganisha vikosi tunatarajia ishinde goli hata nne tano uko. Urusi ilitakiwa iwe imemaliza vita, superpower unapigana na jirani mnyonge muda wote huu. Sasa ingekuwa dhidi ya China ingekuwaje au dhidi ya Brazil waliopo maelfu ya kilomita mbali.

Russia iko competent kiuchumi ila kijeshi sio sana. Mlikuwa mnanifokea humu ila sasa hata Putin mwenyewe alichagua Waziri wa Ulinzi mwanauchumi. Hata kipenzi chenu Prigozhin alilalamikia suala hili.
Wataalamu wa uchumi ndio wameifanya Urusi isimame kwa heshima.
Vipi Mlinganisho wa wavaa kobaz Taleban vs Marekani na washirika wake?
Iliwachukua miaka 20 na bado wakapigwa na kukimbia kwa aibu.

Unaposema numbers na Landmass una maanisha nini?

Kifupi Urusi kaonesha resilient na upper hand kwenye vita hii against NATO, European Union, Collective West na vassal states zake kama South Korea, Japan na Australia.
Misaada Yao si lolote na Wala chochote.

Ile waliyoitegemea kama hybrid warfare kuanzia Uchumi, kijeshi, information imeshindwa.

Kama Urusi ni incompetent, hao wengine utawaelezea vipi?
 
Urusi ni incompetent kwenye mambo mengi jeshini, kinachoibeba ni numbers na landmass. Ukraine sio level za kijeshi za Urusi hivyo sio ulinganifu sahihi, Man City kuifunga Yanga sio ajabu ila ni ajabu Man City kukoswakoswa na kufunga goli dakika ya 89 wakati kwa kulinganisha vikosi tunatarajia ishinde goli hata nne tano uko. Urusi ilitakiwa iwe imemaliza vita, superpower unapigana na jirani mnyonge muda wote huu. Sasa ingekuwa dhidi ya China ingekuwaje au dhidi ya Brazil waliopo maelfu ya kilomita mbali.

Russia iko competent kiuchumi ila kijeshi sio sana. Mlikuwa mnanifokea humu ila sasa hata Putin mwenyewe alichagua Waziri wa Ulinzi mwanauchumi. Hata kipenzi chenu Prigozhin alilalamikia suala hili.
Wataalamu wa uchumi ndio wameifanya Urusi isimame kwa heshima.
Great powers kukutana na upinzani kivita ni kitu Cha kawaida. Historia inaonesha hili miaka Kwa miaka.
Kwa miongo ya karibuni tumeona Ufaransa ikitimuliwa Vietnam. Vilevile Uingereza Kule Afghanistan. Pia Marekani Kule Vietnam. Vile vile Urusi Kule Afghanistan. Pia Marekani Kule Afghanistan.

Kwa wazo lako hayo mataifa yote ni incompetent militarily?
 
Great powers kukutana na upinzani kivita ni kitu Cha kawaida. Historia inaonesha hili miaka Kwa miaka.
Kwa miongo ya karibuni tumeona Ufaransa ikitimuliwa Vietnam. Vilevile Uingereza Kule Afghanistan. Pia Marekani Kule Vietnam. Vile vile Urusi Kule Afghanistan. Pia Marekani Kule Afghanistan.

Kwa wazo lako hayo mataifa yote ni incompetent militarily?
Ufaransa ilikuwa ikisafiri kilomita 11,000 Vietnam kupigana na kupeleka war materiel.

Uingereza ilitimuliwa na nani Afghanistan? Uingereza hii ilipigana Falklands dhidi ya Argentina. Ilifanya mobilization ikasafirisha silaha na wanajeshi umbali wa kilomita 11,000 kuipiga Argentina.

Marekani imeipiga Afghanistan ndani ya miezi miwili pale mwaka 2001 unajua kwa kutumia wanajeshi wangapi? Tangu 2001 hadi 2021 Marekani ikaamua iondoke, ilikuwa bored kukaa miaka 20 yote kama vile imekuwa mkoloni wakati lengo lake lilitimia ndani ya miezi miwili ya 2001.

Meanwhile Russia inapaka na Ukraine hata kwa miguu unavuka huhitaji paratroopers wala meli. Imevamia Ukraine kwa kutumia fronts tatu. Ina Crimea ambayo ilichukua bure mwaka 2014, ina jeshi linalojua defensive lines na mbinu za Ukraine maana maofisa wote walisoma pamoja Soviet military schools na walikuwa wanajua kila kitu cha kijeshi cha Ukraine. Sasa kama sio incompetency ni nini?

Urusi hii tuitupie adui aliyepo 11,000 km itaweza? Kwanza kwa meli zipi ilizonazo, hizi hizi ambazo Black sea fleet yote karibia inaisha. Na hapo wala Ukraine haina naval force.
 
Ndugu, nikusaidie tu. Ile miezi miwili baada a kuanza kwa SMO jeshi la Ukraine lilikuwa limevurugwa kwa zaidi ya 85%. Kwa maana ya miundo mbinu ya kijeshi kuharibiwa, hii ni pamoja na zana za kivita kama vifaru, ndege, magari nk.
Ndio zikaanza zile packege za misaada toka west na marekani. Wamechagishana weee mzigo ukiisha, inatumwa packege nyingi. Mchezo ndio huo mpaka sasa.
Upande wa wanajeshi. Mpaka sasa wanajeshi waliopo front 70% sio waUkraine. Ni mamluki toka nchi mbali mbali. Kwa mazingira haya ulitegemea Russia amalize hii SMO?
Mkuu umezingatia uongo na visingizio badala ya sababu kuu. Kinachoifanya Urusi ishindwe ni uwezo mdogo wa kujipanga wa maofisa wake wa kijeshi, kuna mijizi kule na mishibisha tumbo ilikuwa imekaa tu. Manaibu mawaziri wawili wa wizara ya ulinzi ya Urusi wamekamatwa kwa makosa ya ubadhirifu na rushwa. Ngoja nikutajie majizi:
1. Jenerali Dmitry Bulgakov, naibu waziri.
2. Timur Ivanov, naibu waziri.
3. Lt. Gen. Yury Kuznetsov, mkuu wa kitengo cha utumishi jeshini.
4. Maj. Gen. Ivan Popov, huyu mwanzoni mwa vita Ukraine alikuwa na nafasi kubwa.
5. Lt. Gen. Vadim Shamarin huyu alikuwa msaidizi wa Chief of Staff.
6. Vladimir Verteletsky, mkuu wa ugavi jeshini.

Sasa hata kama mnasema naichukia Urusi (in fact naikubali Urusi kuliko mashabiki walioipenda vita ilipoanza). Ina maana Putin anawaonea hawa wote sita?

Unajua siku 3 za mwanzo Ukraine ilizuia mashambulizi ya Urusi. Oleksandr Syrsky alipanga vikosi vyake vya ardhini kipindi kile ni mkuu wa jeshi la ardhi vikailinda Kyiv isianguke. Msaada wa silaha ulikuja baadae watu wamejitetea tiyari. Battle of Hostomel pale Urusi ilishindwa, hapo Ukraine haina silaha hata moja ya msaada.

Urusi ikikutana na China vitani ndio mnaweza jua kumbe ina uozo mwingi jeshini. Ukraine ilivyokuwa hata Misri ingeipiga.
 
Shida yenu hamfuatilii majambo au mnafuatilia ila mmeamua tu kufumba macho
Anachokifanya Russia kwasasa basi marekani aliishakifanya pia na ikibidi atakifanya tena
Hujawahi kufatilia marekani aliipataje guantanamo bay?
Hujawahi kufuatilia marekani aliipataje texas?
Marekani na Russia pamoja na China kama alivyosema mwamba hapo juu wanatumia nguvu kubeba ardhi za watu
Ila americant mmajifanya hamumuoni kwamakusudi au kwakutokujua ila china, us ,na russia wote sawa tofauti kwamba wao kina russia wanadeal na mtu anavyokuja ukitaka nguvu unapewa anachopata sasa Ukraine
Ndugu itoshe tu kusema kuwa ninatifautiana na wewe kimtazamo. Wewe ukiwa waamini kuwa mwenye nguvu ndo mwenye haki, mimi siamini hivyo. Wether ni Us, China, Tanzania, Burundi, Russia, ...............si sahihi kutumia nguvu kukanyaga haki za wengine. Kama hukupenda Us alivojitwalia Guantanamo, Unafurahiaje Russia avavojitwalia Zaporozhye?
 
⚡14 people were injured in an explosion at Europe's largest chemical plant, the BASF complex in Ludwigshafen, Germany.

The reasons for the explosion are not clear. The fire at the enterprise burned for about two hours and has already been extinguished.
 

Attachments

  • 45c6f72a-2ee4-4c74-ae66-4bb75b75b818.jpg
    45c6f72a-2ee4-4c74-ae66-4bb75b75b818.jpg
    19.2 KB · Views: 2
Kuna ujinga mwingi anauzungumza @T14 Armata hususan kwenye ishu zinazohusu RUSSIA.
🤣
Lakini kwenye swala la ulaji rushwa uliokithiri kwa viongozi waandamizi wa kijeshi yupo sahihi.
Nilipoiona hii Comment nikaanza kucheka, Nikajisemea kimoyo moyo "Mchambuzi" kasifiwa hizo "pumba" atakazoleta baada ya hapa hata "Nguruwe" atazionea kinyaa...

Baaana bana, kama kweli vile baada ya kufungua pages kadhaa nimekutana nazo 😁.

Eti "Russia dhaifu na incompetent" aseee!

Anyway ni 2024 hii Sio wakati wa kuelezea nani ni nani na kafanya nini ilhali kila kitu kipo wazi. Kila mtu wacha achuje kwa upana wa fuvu lake na hisia zake zinavyomtuma.
 
Ufaransa ilikuwa ikisafiri kilomita 11,000 Vietnam kupigana na kupeleka war materiel.

Uingereza ilitimuliwa na nani Afghanistan? Uingereza hii ilipigana Falklands dhidi ya Argentina. Ilifanya mobilization ikasafirisha silaha na wanajeshi umbali wa kilomita 11,000 kuipiga Argentina.

Marekani imeipiga Afghanistan ndani ya miezi miwili pale mwaka 2001 unajua kwa kutumia wanajeshi wangapi? Tangu 2001 hadi 2021 Marekani ikaamua iondoke, ilikuwa bored kukaa miaka 20 yote kama vile imekuwa mkoloni wakati lengo lake lilitimia ndani ya miezi miwili ya 2001.

Meanwhile Russia inapaka na Ukraine hata kwa miguu unavuka huhitaji paratroopers wala meli. Imevamia Ukraine kwa kutumia fronts tatu. Ina Crimea ambayo ilichukua bure mwaka 2014, ina jeshi linalojua defensive lines na mbinu za Ukraine maana maofisa wote walisoma pamoja Soviet military schools na walikuwa wanajua kila kitu cha kijeshi cha Ukraine. Sasa kama sio incompetency ni nini?

Urusi hii tuitupie adui aliyepo 11,000 km itaweza? Kwanza kwa meli zipi ilizonazo, hizi hizi ambazo Black sea fleet yote karibia inaisha. Na hapo wala Ukraine haina naval force.
Usichanganye mambo bwana mdogo..kuna utofauti Kati ya kushinda vita na kushinda battle...

Maelezo yako ya marekani kuipiga Afghanistan in two months ni kweli, ilishinda its main battle in two months.... Ila wataleban walishinda vita ..same Kwa wavietnam walishinda vita.

Kusema Ufaransa alisafiri km 11000 kupigana na Vietnam Si kweli, japo kuna support ya wanajeshi toka main land France waliparticipate vitani.. ila usisahau Ufaransa anavikalia visiwa vingi Sana Bahari ya Pacific na anamilitary bases pale ambazo ziko few miles from the battle field.
 
The Russian Armed Forces have advanced two kilometers southwest of Peschany and are beginning to approach Kruglyakovka

▪️Over the past week, many Ukrainian Armed Forces fighters from the Terrestrial Defense Forces and the Shkval special battalion of prisoners surrendered in this area.
 
advanced medical science.

In addition, we in the West – even the Russians – have been well shepherded into this new entity that is taking shape.

The question is whether or not the process is reversible – and if not, when it became irreversible.

I think it happened in 2001, when we in the West decided to invite China to join the World Trade Organisation – better known as the WTO.

Since then this process has been almost unstoppable and irreversible."
 

Attachments

  • 7d1f1c28-acc5-444d-8f51-872930f5d5f9.jpg
    7d1f1c28-acc5-444d-8f51-872930f5d5f9.jpg
    19 KB · Views: 2
Back
Top Bottom