Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Inaonekana hawa walevi , wavuta bangi na wabwia unga wanafanya kazi nzuri sana wanastahili pongezi.Lakini usisahau pia kwamba Urusi nayo ilipeleka na hata sasa inapeleka wafungwa, walevi, wavuta bangi na wabwia unga.