LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
PUTIN IS CRAYNG....
Iranian President Hassan Rouhani called to congratulate Ukrainian President Vladimir Zelensky and the people on Ukraine's Independence Day, reports the Iranian president's press service. Putin's faithful lackey Lukashenko also suddenly “changed his shoes” and very curly congratulated Ukraine on Independence Day. The full congratulations were published by the head of state's press office.View attachment 3078310
Boss kubwa Kumbe siku hizi Iran Rais wao ni bwana Rouhan?
 
One certain thing is Russia can, and will push Ukraine out of Kursk while Ukraine can not push Russia out of Crimea, the Donbas...
Historia imeshaandikwa kwamba kwa mara ya kwanza jeshi la nchi ya kigeni limevamia urusi since world war II..,kama imemchukua urusi zaidi ya miaka 2 kuikomboa Donbass,na bado mpaka Sasa hajaweza,huko Kursk nadhani itamchukua zaidi ya miaka 5


N.B.huko Donbass urusi alikuwa akijarbu kukomboa tangu mwaka 2014 kwa kutumia mamluki, iliposhindikana akaamua ajitokeze yeye mwenyewe halisi Katika rangi yake mwenyewe lakini bado Ngoma ngumu.,narudia Tena urusi bado ana safar ndefu sana kuikomboa Kursk
 
NATO is still discussing whether to protect Ukrainian skies from Russian missiles, Polish President Andrzej Duda said at a Kyiv press conference on Aug. 24, according to the President's Office.
 
Msemaji wa Vital'O unatuchanganyia habari
1724583956558.jpg
 
NATO is still discussing whether to protect Ukrainian skies from Russian missiles, Polish President Andrzej Duda said at a Kyiv press conference on Aug. 24, according to the President's Office.
You're not serious. NATO ipi ya kulinda anga la Ukraine! US wenyewe likitumwa hypersonic kwao hawana uwezo wa kulizuia, unaishi dunia ipi wewe?
 

5,500 Ukrainian troops killed by Russian forces after Ukraine's incursion into Kursk, Russia.​


August 24, 2024
5,500 Dead!   Ukraine's Invasion into Kursk, Russia


Ukraine has lost 5,500 troops, 71 tanks, 30 Infantry Fighting Vehicles, 57 Armored Personnel Carriers, and 372 Armored Combat Vehicles in their two week long "misadventure" into Russia's Kursk Region.
The staggering losses in such a short time reveal the complete idiocy of this maneuver by Ukraine, or the factual realization that any NATO planners involved, were utterly incompetent and lunatic.
 
Back
Top Bottom