LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Urusi kwa sasa vita vya kumvizia kama kipindi kile ni ngumu kumpata.Sasa ivi Warusi wakifika karibu na mji wanaupiga sana mabomu alafu baada ya hapo drone zinachunguza kuona waliobaki watakuwa wamejificha wapi.
Wakiona kupo fresh wanatuma wanajeshi kazaa na kifaru.ukishambulia tu basi hapo ulipo tegemea kupokea kitu kizito.

Ndo maana Defence ya Uraine imekuwa dhaifu sana kuliko mwanzio wa vita kwa sababu Warusi wanatumia mbinu mpya na silaha za kisasa.mjji kama Ugledar umechukuliwa kiwepesi sana wakati mwanzo Warusi walipata hasara kubwa sana mpaka wakamua kuachana na habari ya kuuteka huo mji.
Kwahiyo mkuu saivi Ukraine inapigwa mpaka Ina bantalala🫡
 
Military operation in Ukraine
15 Oct, 17:14
Ukrainian troops preparing to retreat from Russia’s borderline Kursk Region — blogger
Russian forces continue operations to destroy Ukrainian army units in the borderline Kursk Region
MOSCOW, October 15. /TASS/. The Kiev forces that have invaded Russia’s borderline Kursk Region are preparing to retreat to Ukraine’s soil, Ukrainian blogger Anatoly Shariy said on Tuesday.

"The Ukrainian units in the Kursk Region have received a command to be prepared to retreat to Ukraine’s territory," the blogger wrote on his Telegram channel, giving no other details.
 
Military operation in Ukraine
15 Oct, 15:12
Ukrainian losses: situation in Kursk Region

The Russian military must encircle and eliminate the Ukrainian servicemen operating in the Kursk Region, Major General Apty Alaudinov stressed

MOSCOW, October 15. /TASS/. Ukraine’s total losses in the Kursk Region have exceeded 23,150 military personnel killed and wounded, the Russian Defense Ministry has said.

Over the past 24 hours, Ukraine lost more than 200 servicemen.

The front of the Ukrainian armed forces in the Kursk area may collapse within a month,Akhmat Special Forces Commander Major General Apty Alaudinov said.
 
Military operation in Ukraine
15 Oct, 16:40
Russian army’s control of highway prevents Ukrainian rotations in Kupyansk area — official

LUGANSK, October 15. /TASS/. Russian troops maintain fire control over the road towards the suburbs of Kupyansk in the Kharkyansk area, which allows control over movement of the Ukrainian forces and prevents them from performing a rotation, the head of the Kharkov military-civilian administration, Vitaly Ganchev, told TASS.

"The combat situation in the Kharkov area is still active, I could say. Our fighters are still pushing the enemy in the Svatov-Kupyansk area. Having broken the enemy’s line of defense, we managed to set a fire control over a highway connecting several settlements. We have control over the Kruglyanovka area, which is almost the Kupyansk suburbs, just to the south along the Oskol River," he told the agency.
 
15 Oct, 15:25
US unlikely to supply Ukraine with THAAD systems — military analyst

According to Igor Korotchenko, if the THAAD missile defense system "was to be destroyed by the Russian armed forces, it would mean a huge loss of image for the United States"
MOSCOW, October 15. /TASS/. The US is unlikely to supply Ukraine with the Terminal High Altitude Area Defense (THAAD) anti-ballistic missile defense system, military analyst Igor Korotchenko told TASS.

Earlier, the US Defense Department confirmed the delivery of a THAAD missile defense system to Israel to repel a potential Iranian missile attack on the country amid the escalating tensions in the Middle East.

"I can hardly imagine that the Americans will supply Ukraine with THAAD anti-missile systems. The latest data allow us to say that we have an effective means to counter such systems: a reconnaissance-strike complex that allows to detect and destroy the most advanced and traditional Western missile defense systems. If it [the THAAD missile defense system] was to be destroyed by the Russian armed forces, it would mean a huge loss of image for the United States. That's why it seems that the THAAD missile defense systems will not be delivered to Ukraine," the expert said.

According to another military analyst, Mikhail Khodarenok, Ukraine will never receive the expensive THAAD systems for fear of technology leaks. "The THAAD system is a complex that partially has the capabilities even of a strategic anti-missile defense system. Firstly, it is a very expensive complex. And the Ukrainians want to get everything for free. Secondly, the loss of critical technologies is possible. This is what the US side fears. All these weapons that are delivered to Ukraine are being exported anyway. There is no cutting-edge technology in the equipment delivered to Ukraine that is unique to American systems. I don't think it [the THAAD system] will be handed over to Ukraine," he said.

Korotchenko, in turn, pointed out that the Western countries will continue to supply Ukraine with the old versions of the Patriot missile system or the European ISIS-T and NASAMS systems. According to the military analyst, the anti-missile properties of the Patriot system are limited. "The Russian reconnaissance-strike complex allowed to increase the effectiveness of attacks aimed at destroying the US-made Patriot systems in Ukraine," Korotchenko emphasized.
 
Ukraine Loses Up to 590 Soldiers in Battles With Russian Forces - MoD

MOSCOW (Sputnik) - Russia's Battlegroup Yug has repelled three counterattacks and eliminated up to 590 Ukrainian servicepeople over the past 24 hours, the Russian Defense Ministry said on Tuesday.
"The enemy's losses amounted to 590 servicepeople, an armored combat vehicle, and two cars," the ministry said in a statement, adding that the group has repelled three counterattacks.
 
Elite’ Ukrainian troops surrender in Kursk Region – Chechen commander

Many members of the ‘elite’ Ukrainian units that invaded Russia’s Kursk Region often surrender because they are no longer able to fight and want to stay alive, Major-General Apty Alaudinov, the commander of the Akhmat Special Forces from Russia’s Chechen Republic, has said.

In an interview with Russian journalist Vladimir Solovyov on Tuesday, Alaudinov rejected Kiev’s claims that Russian soldiers executed nine Ukrainian service members in Kursk Region, many of whom were drone operators.

The general dismissed the claim as a psyop, arguing that Ukraine “needs to create fake news to discourage its military from surrendering,” as many of its soldiers “openly say they can fight no more.” Despite these efforts, he added, Ukrainian soldiers “often decide to surrender anyway.”

“What’s interesting is that the units that they considered to be the most unassailable and elite, they are also beginning to slowly lean toward surrendering, as they want to stay alive,” he said.

According to Alaudinov, Russia is ready to spare even those who serve in the Aidar Battalion or Azov units, which have been accused of having neo-Nazi sympathies, if they lay down their arms.
 
Ukraine’s battlefield situation ‘critical’ – ex-NATO official

Ukraine will soon have to abandon the key Donbass city of Pokrovsk as its defenses slowly crumble under Russian attacks, General Harald Kujat, a former chief of staff of the German armed forces and chairman of the NATO Military Committee, believes.

In an interview with journalist and podcaster Flavio von Witzleben on Sunday, Kujat, who chaired the NATO Military Committee between 2002 and 2005, suggested that Ukraine’s plan to divert Russian units away from Donbass via its Kursk incursion has failed because Russia has not had to curtail its offensive in the region.

“Ukraine originally intended… that the Russians would pull combat troops back [to Kursk Region], but this has now turned out to be to its own detriment because the Russians are now tying up the urgently needed Ukrainian reserves that are now missing in Donbass,” he said, describing the Kursk offensive as an “all-in action.”

Zelensky touts ‘decisive action’ to end Ukrainian conflictRead more Zelensky touts ‘decisive action’ to end Ukrainian conflict
As a result, Russia is slowly advancing in Donbass at a pace consistent with the desire to minimize losses, Kujat believes. Russia has made gains near Pokrovsk, Kujat noted, describing the city, located some 50km northwest of Donetsk, as “of crucial importance” due to its logistical significance.

“Ukraine is still holding its position but it is only a matter of time before this city falls… The situation of the Ukrainian armed forces is critical and it is becoming more and more critical day by day and this is despite the massive material and financial support from the West,” he said.
 
Kwahiyo mkuu saivi Ukraine inapigwa mpaka Ina bantalala🫡
Sio kidogo kwa sababu cost ya wanajeshi wa Ukraine kulinda miji ni kubwa sana kuliko upande wa pili.ile FAB moja ikitupwa basi kama mlijificha kwenye majengo inakuwa ndo mwisho wenu maana kama ghorofa tu linatetemeshwa na kuanguka je wewe unaponaje.
Huko mbeleni ni kugumu zaidi kwa upande wa Ukraine kwa sababu ya uhaba wa wanajeshi ndo maana wameanza kukamata mpaka watu kwenye mabaa na bado wanakosa.shida moja iliyokuwepo ni kwamba washirika wao awana uwezo wa kupeleka wanajeshi wengi Ukraine tofauti na Urusi, yeye washirika wake ni watu wenye asili ya ugomvi kama waarabu na nchi za Asia.
 
Vyombo vya habari vya west vinajua kupamba na kupotosha umma.Walituambia M142 HIMARS ni game changer baada ya muda Dubu akaanza kuvichoma walipoona wamefeli wakaanza tena na game changer F 16 Fighter Jet hizi hata kuingia mzigoni zimeshindwa zime kwenye mahanger zinapigwa vumbi.

Germany and other western countries wameshtuka akili zimewarejea wamechoka kupeleka silaha nzito nzito kila siku zinaishia kuchomwa tu.
 
🇰🇵 The Russian occupiers reportedly have formed a “special Buryat battalion” composed of citizens from North Korea. Meanwhile, 18 North Korean military personnel have reportedly escaped from positions along the border of Russia’s Bryansk and Kursk regions.

The battalion is estimated to have up to 3,000 personnel.
1729011098313.jpg
 
Yaa zelensky ange tii amri tu. Huku kushupaza shingo Kuna wacost watu wake
Sio kidogo kwa sababu cost ya wanajeshi wa Ukraine kulinda miji ni kubwa sana kuliko upande wa pili.ile FAB moja ikitupwa basi kama mlijificha kwenye majengo inakuwa ndo mwisho wenu maana kama ghorofa tu linatetemeshwa na kuanguka je wewe unaponaje.
Huko mbeleni ni kugumu zaidi kwa upande wa Ukraine kwa sababu ya uhaba wa wanajeshi ndo maana wameanza kukamata mpaka watu kwenye mabaa na bado wanakosa.shida moja iliyokuwepo ni kwamba washirika wao awana uwezo wa kupeleka wanajeshi wengi Ukraine tofauti na Urusi, yeye washirika wake ni watu wenye asili ya ugomvi kama waarabu na nchi za Asia.
 
An estimated 18 North Korean soldiers have deserted from their positions in Russia's Kursk and Bryansk oblasts near the Ukrainian border, Suspilne reported on Oct. 15, citing unnamed intelligence officials.
 
Military operation in Ukraine
15 Oct, 23:52
Ukrainian forces near Kupyansk face encirclement — retired Ukrainian officer

MOSCOW, October 15. /TASS/. Some Ukrainian forces near the town of Kupyansk in eastern Ukraine could be surrounded, said retired Colonel Oleg Starikov, a former member of the Security Service of Ukraine.

"In the area of Kupyansk, between Peschanoye and Borovaya, the Russian Armed Forces are catching us in a pocket," the analyst said in a video on his YouTube account.

Starikov also said Russian forces, if they cut behind Ukrainian forces near Kupyansk, could then continue their advance toward Kharkov.
 
Tunakumbushana hii ni jana!

Russian forces recently advanced in Kursk Oblast and near Kupyansk, Toretsk, and Pokrovsk.


October 15, 2024, 7:20pm ET

 
Hapa ndio huwa nawaheshimu watanzania.
Yaani unaweza kuwata. Mawaziri wa Fedha wa nchi za BRICS kama wakuu wa Kikoba.
Wewe mtu unaetoka nchi ombaomba ya third world country unaweza kudharau waziri wa fedha wa China Urusi na India,nchi ambazo tokea wewe hujazaliwa zimekua zikisaidia mabubu zako katika sekta za maendeleo.
Hii nchi ngumu sana hii.
Halafu wewe kwenu ndio unaonekana kua ndio Msomi pekee tegemeo,na mtaani vijana wenzio wanakusikiiza.
Kazi tunayo.
Mwambie huyo...Aelewe Mtu kama Anton Siluvan ni kichwa sio mchezo asifikirie ni kama Trat na Trab!!!!! Bila huyo Anton Vikwazo Urusi imepigwa ingeanguka kiuchumi na hivyo kuleta Civil Unrest.
 
Hebu wewe onyesha elimu Yako kumaliza tatizo la sukari hapa nchini.. kuegemea upande mmoja haitakusaidia chochote, hao India na China Wana migogoro ya kimipaka, china na Urusi pia hivyo hivyo unategemea huo umoja utadumu vipi? Ndiomaana nikaita kikoba,alafu mimi ni mmachame usiniite majina ya kiduanzi
Utoto Raha sana
 
Back
Top Bottom