Speed hii ni kali sana, round ya 4 tu tayari Simba ana 100% ya upendeleo

Speed hii ni kali sana, round ya 4 tu tayari Simba ana 100% ya upendeleo

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Mwaka huu Simba wamedhamiria kwelikweli: Simba imecheza mechi nne na tayari zote (100%) imebebwa kupata matokeo.

Round 1. Simba imepangiwa mechi na timu (Tabora) ambayo haikukamilisha usajili wa wachezaji, ikapata ushindi.
Round 2. Simba imepangia mechi na timu (Fountain gate)ambayo pia ilikuwa na shinda ya usajili wa wachezaji wake muhimu, ikapata ushindi.
Round 3. Simba Vs Azam, Simba ikapewa goli la offside, ikatoka kidedea
Round 4. Simba vs Dodoma jiji, Simba ikapewa penalti, ikapata ushindi.

Huu ni upendeleo (makosa ya kibinadamu) wa 100%, haiwezekani iwe ni bahati mbaya tu.

Tunaelewa kwanini VAR haitatumika msimu huu.
 
Kama forward kiongoz ni Mzize bodaboda sahau Mkuu....

Mayele na Nabi pamoja na rushwa za GSM kwa misimu mitatu nyuma zilifanya kazi
sawa let's see what will happen hakuna matata!
 
Ratiba ilipangwa lini?Na muda huo ratiba ilipokuwa ikipangwa wapanga ratiba walijua wazi kwamba Tabora United na Fountain Gate hazitawahi kusajili?
Ujinga una viwango tofauti lakini wa mleta mada unapaswa kuwekwa kwenye rekodi.
Malalamiko yameanza mapema ni point ya kuitilia maanani sana.
 
Ratiba ilipangwa lini?Na muda huo ratiba ilipokuwa ikipangwa wapanga ratiba walijua wazi kwamba Tabora United na Fountain Gate hazitawahi kusajili?
Ujinga una viwango tofauti lakini wa mleta mada unapaswa kuwekwa kwenye rekodi.
Malalamiko yameanza mapema ni point ya kuitilia maanani sana.
Ratiba ilicheleweshwa kutoka, imekuja mwishoni kabisa siku chache kabla ya ligi kunza na wadau walilalamika, lakini kuna watu walikuwa na taarifa zote kuwa tabora na fountain zitakuwa na shida ya usajili hata baada ya ligi kuanza kwasababu ambazo TFF na bodi ya ligi walikuwa akilijua hili. Hivyo Simba akawahishiwa kucheza na hizi timu harakaharaka kabla shida yao haijatatuliwa.
 
Fountain Gate walikosa wachezaji wangapi?Tabora walikosa wachezaji wangapi?Kwani hizo timu hazipo pabaya kwenye msimamo wa ligi.
Walishinda mechi zao za mwanzo baada ya kufungwa na Simba au waliendelea kufungwa kwa kukosa wachezaji wao?
Mantiki ya hoja yako ni ya wale mashabiki maandazi wasiokuwa na ushahidi wa wanachokiandika.Ratiba ilitolewa lini?Na hao waliolalamika unaowaita wadau ni kina nani?Leta ushahidi wa madai yako.
Uzushi ni rahisi kuandika lakini ili iwe ukweli lazima uwe umekuwa backed na facts ili usiwe uzushi bali ukweli.
 
Mwaka huu Simba wamedhamiria kwelikweli: Simba imecheza mechi nne na tayari zote (100%) imebebwa kupata matokeo.

Round 1. Simba imepangiwa mechi na timu (Tabora) ambayo haikukamilisha usajili wa wachezaji, ikapata ushindi.
Round 2. Simba imepangia mechi na timu (Fountain gate)ambayo pia ilikuwa na shinda ya usajili wa wachezaji wake muhimu, ikapata ushindi.
Round 3. Simba Vs Azam, Simba ikapewa goli la offside, ikatoka kidedea
Round 4. Simba vs Dodoma jiji, Simba ikapewa penalti, ikapata ushindi.

Huu ni upendeleo (makosa ya kibinadamu) wa 100%, haiwezekani iwe ni bahati mbaya tu.

Tunaelewa kwanini VAR haitatumika msimu huu.
Upendeleo utaendelea tarehe 19..TFF imeipangia Simba timu mbovu ya Utopolo.
 
Fountain Gate walikosa wachezaji wangapi?Tabora walikosa wachezaji wangapi?Kwani hizo timu hazipo pabaya kwenye msimamo wa ligi.
Walishinda mechi zao za mwanzo baada ya kufungwa na Simba au waliendelea kufungwa kwa kukosa wachezaji wao?
Mantiki ya hoja yako ni ya wale mashabiki maandazi wasiokuwa na ushahidi wa wanachokiandika.Ratiba ilitolewa lini?Na hao waliolalamika unaowaita wadau ni kina nani?Leta ushahidi wa madai yako.
Uzushi ni rahisi kuandika lakini ili iwe ukweli lazima uwe umekuwa backed na facts ili usiwe uzushi bali ukweli.
Fountain imefungwa mechi ngapi baada ya kuwapata wachezaji wao wote?
 
Back
Top Bottom