Speed hii ni kali sana, round ya 4 tu tayari Simba ana 100% ya upendeleo

Speed hii ni kali sana, round ya 4 tu tayari Simba ana 100% ya upendeleo

Cha ajabu huelewi kwamba huelewi.Hakuna timu inacheza ligi bila kupoteza pointi.Yanga alipoteza pointi Kagera na Ihefu na akawa bingwa Timu ndogo kwenye ligi ni ipi?
Kwenye mpira inafahamika kuwa Kuna matokeo 3, lakini utaangalia yamepatikaje. Kuna timu inafungwa lakini imecheza kandanda safi, imekosa umalizaji TU. Simba ilicheza kandanda safi? Man of the match katoka timu Gani?
 
Kwenye mpira inafahamika kuwa Kuna matokeo 3, lakini utaangalia yamepatikaje. Kuna timu inafungwa lakini imecheza kandanda safi, imekosa umalizaji TU. Simba ilicheza kandanda safi? Man of the match katoka timu Gani?
????????Shule shule shule.Unaulizwa pears unajibu cassava.
 
????????Shule shule shule.Unaulizwa pears unajibu cassava.
Kia timu inafungwa lakini ilifungwaje na ilichezaje? Nothing more nothing less. Simba ilianza na goli 4, ikaja 3 ikafuata 2 na domama ikapata 1 kwa penati, na koastal ikapata sare. What follows next march with yanga on 19 October?
 
Mkuu umeishia darasa gani?Kwa mantiki yako hiyo Yanga alishinda mechi ya kwanza na Kagera 2 ,mechi ya pili na Ken Gold goli 1 mechi ya tatu na KMC goli 1 kwa hiyo mechi ya 4 aliyoshinda 4 alipaswa kufungwa au ku droo?
Unashangaza uwezo wako wa kufikiri.Mpira haupo hivyo na hautakaa uwe hivyo.
Point of correction Simba alianza kushinda goli 3 na Tabora United na mechi ya 2 akashinda 4 na Fountain Gate.
 
Mkuu umeishia darasa gani?Kwa mantiki yako hiyo Yanga alishinda mechi ya kwanza na Kagera 2 ,mechi ya pili na Ken Gold goli 1 mechi ya tatu na KMC goli 1 kwa hiyo mechi ya 4 aliyoshinda 4 alipaswa kufungwa au ku droo?
Unashangaza uwezo wako wa kufikiri.Mpira haupo hivyo na hautakaa uwe hivyo.
Point of correction Simba alianza kushinda goli 3 na Tabora United na mechi ya 2 akashinda 4 na Fountain Gate.
Nilikwambia hata kama imefunga goli moja, kutoka sare au kufungwa, lakini hesabu idadi ya nafasi zilizotengenezwa. Yanga inatengeneneza nafasi nyiiiiingi kila mechi hata kama inafunga goli moja. Kama refa angekuwa makini kwenye mechi dhidi ya Dodoma jiji simba ingekuwa na sare mbili mpaka sasa. Ona namna refa alivyomaliza mpira wakati wa mechi vs coastal union, haikufanya vile kwa bahati mbaya TU.
 
Napotezq muda wangu kumuelewesha A Dundee United .I rest my case.No more.Elekea Dodoma kwa msaada zaidi.
 
Kengold na Kmc wamewatoa kamasi......
Ukisikia Mpanzu katua msimbazi ndo mnazid kuchanganyikiwa.......
Nilisema mimi Simba hakuna kitu pale, sio Ateba, Mukwala wala Mutale. Ni mipango tu iliyowapa points walizonazo mpaka sasa.
 
Back
Top Bottom