Speed hii ni kali sana, round ya 4 tu tayari Simba ana 100% ya upendeleo

Speed hii ni kali sana, round ya 4 tu tayari Simba ana 100% ya upendeleo

Mkono wa nyani unaweza rudia
Yanga inapaswa kuifunga simba nje ndani, mechi hizo mbili ndo zina key ๐Ÿ”‘ ya kombe, droo au kufungwa na makolo lazima tuteme bungo. Simba imenunua marefa kushinda mechi zote.

Wachezaji wa uto wafie uwanjani kwenye derby ili tuchukue kombe letu.
 
Malalamiko yameanza mapema sana, sio mda utasikia "karia hafai". Naona mmeshaanza hadi kuwalaumu azam.
 
Mwaka huu Simba wamedhamiria kwelikweli: Simba imecheza mechi nne na tayari zote (100%) imebebwa kupata matokeo.

Round 1. Simba imepangiwa mechi na timu (Tabora) ambayo haikukamilisha usajili wa wachezaji, ikapata ushindi.
Round 2. Simba imepangia mechi na timu (Fountain gate)ambayo pia ilikuwa na shinda ya usajili wa wachezaji wake muhimu, ikapata ushindi.
Round 3. Simba Vs Azam, Simba ikapewa goli la offside, ikatoka kidedea
Round 4. Simba vs Dodoma jiji, Simba ikapewa penalti, ikapata ushindi.

Huu ni upendeleo (makosa ya kibinadamu) wa 100%, haiwezekani iwe ni bahati mbaya tu.

Tunaelewa kwanini VAR haitatumika msimu huu.
Lile Goal la Kengold ingekuwa Simba ungesemaje?
 
Mwaka huu Simba wamedhamiria kwelikweli: Simba imecheza mechi nne na tayari zote (100%) imebebwa kupata matokeo.

Round 1. Simba imepangiwa mechi na timu (Tabora) ambayo haikukamilisha usajili wa wachezaji, ikapata ushindi.
Round 2. Simba imepangia mechi na timu (Fountain gate)ambayo pia ilikuwa na shinda ya usajili wa wachezaji wake muhimu, ikapata ushindi.
Round 3. Simba Vs Azam, Simba ikapewa goli la offside, ikatoka kidedea
Round 4. Simba vs Dodoma jiji, Simba ikapewa penalti, ikapata ushindi.

Huu ni upendeleo (makosa ya kibinadamu) wa 100%, haiwezekani iwe ni bahati mbaya tu.

Tunaelewa kwanini VAR haitatumika msimu huu.
VAR hazipo za kutosha
 
Mmesahau msimu juzi mlivyowaponza marefa wawili wakafungiwa. Uto tulieni asee.
 
Hao wachezaji waliowapata ni kina nani?
Wataje?Fountain Gate wana wachezaji gani wa kigeni ambao walicheza baada ya mechi na Simba.Unazungukazunguka tu.Jibu hoja.
Huwezi kujibu comment ambayo ina kiwango cha chini sana cha elimu, hili ni jukwaa la facts, watu wanapua uelewa, wanaharika na kuburudishana. Swali lako hili ni sawa na kusema gari likimgonga mtu ambae alikuwa na malaria kali anaenda hospitali hakuna kesi kwakuwa hata hivyo huenda angekufa tu kwa malaria hata kama asingegongwa. TFF ilipaswa kuahilisha mechi zote za Tabora na Fountain za mwanzo hadi wachezaji wao wawe sawa kwakuwa walikuwa wanalijua tatizo lao pamoja na ukubwa au udogo wake. TFF na Bodi ya ligi walikuwa well informed kuwa ni shida kidogo tu ilisalia kwa timu za Tabora na Fountain kumaliza matatizo yao ya uhamisho wa wachezaji, lakini harakaharaka simba ikapewa hawa mabwana wawili wagonjwa ili wajipigie na kupata pts. .
 
Simba na Yanga huwa wanabadilishana ubingwa kama Republican na Democrats kule marekani.Ukiona kuna mmoja kachukua mfululizo ujue kuna kupokezana ubingwa na hiyo ipi kisiasa zaidi. Unaweza kubisha na kutukana ila ukweli utabaki pale pale.
 
Sidhani kama kuna mwanayanga bado anaangalia mechi za simba kwa hayo madudu ya marefa, mechi zinaboa mno hakuna haki katika maamuzi ujinga mtupu, upendeleo umezidi, makolo shindeni mechi kihalali mnaharibu burudani ya soka na kushusha kiwango chenu kimataifa, ndo maana mko ligi ya mademu shirikisho.

Kitu kizuri Yanga tutachukua points 6 toka kwenu na kuwatuliza mzuka halafu stori za magazetini zitakuwa "simba mbio za sakafuni zimeishia ukingoni"
Ni malalamiko tu. Hapo hamjafungwa, mkifungwa sijui itakuwaje.
 
Malalamiko yameanza mapema sana, sio mda utasikia "karia hafai". Naona mmeshaanza hadi kuwalaumu azam.
Hawa jamaa sipati picha timu yao ikishuka kiwango ikaanza kubutuliwa kama funza wanavyobutuliwa na jogoo mchangani. Maana hapa ni homa tu ya Simba kufanya vizuri ila bado timu yao ni nzuri, sasa pata picha wakianza kubutuliwa.
 
Mwaka huu Simba wamedhamiria kwelikweli: Simba imecheza mechi nne na tayari zote (100%) imebebwa kupata matokeo.

Round 1. Simba imepangiwa mechi na timu (Tabora) ambayo haikukamilisha usajili wa wachezaji, ikapata ushindi.
Round 2. Simba imepangia mechi na timu (Fountain gate)ambayo pia ilikuwa na shinda ya usajili wa wachezaji wake muhimu, ikapata ushindi.
Round 3. Simba Vs Azam, Simba ikapewa goli la offside, ikatoka kidedea
Round 4. Simba vs Dodoma jiji, Simba ikapewa penalti, ikapata ushindi.

Huu ni upendeleo (makosa ya kibinadamu) wa 100%, haiwezekani iwe ni bahati mbaya tu.

Tunaelewa kwanini VAR haitatumika msimu huu.
ingia wewe kama unaona rahisi, safari hi ni mwendo wa kuwapiga tu ndugu yangu
 
Mgambo wanaruka na kukanyagana๐Ÿ˜€๐Ÿ˜„๐Ÿ˜†๐Ÿ˜ƒ

Yaani Hawa watu hawawezi kujihimili kabisa.
Mji mzima ni kruuu kruuu kruuuu ni vilio vya vyura.....hhahah๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Back
Top Bottom