Moshi25
JF-Expert Member
- May 6, 2022
- 2,555
- 4,118
Yanga inapaswa kuifunga simba nje ndani, mechi hizo mbili ndo zina key ๐ ya kombe, droo au kufungwa na makolo lazima tuteme bungo. Simba imenunua marefa kushinda mechi zote.Mkono wa nyani unaweza rudia
Wachezaji wa uto wafie uwanjani kwenye derby ili tuchukue kombe letu.