babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Anazo, ila kulala sasaRungwe ,[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Na kuna mahali hapo kati akiitoa gari Iringa Anampa konda analala hiyo mpaka Mbeya konda anasukuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anazo, ila kulala sasaRungwe ,[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kwa tuliozaliwa tunaheshimu muda nadhani inauma saana.Hakuna kero uwahi kutoka stendi afu wa nyuma aje akupite
ila si kama za sauliHakuna gari pale, zimeishakufa
Watanzania wanapenda kwenda na muda????????Sauli Kwenye Kutunza Muda wale ni habari nyingine.
Na kiujumla Watanzania Wengi wanapenda Kwenda na Muda mzuri na Ndiyo maana Sauli hawanaga biashara mbaya ya Abiria. Tatizo ni Serikali.
😀, basi niseme tunaojielewa.Watanzania wanapenda kwenda na muda????????
Mkuu tema mate chini
Mimi nagombana na wewe hapo kwenye muda tu..[emoji3], basi niseme tunaojielewa.
Ila Sauli inajaza hata siku 3 Mbele sababu ya Kujali muda kumbuka.
Ohooo, Nimekupata Mkuu.Mimi nagombana na wewe hapo kwenye muda tu..
Leo nimefika crdb saa 2 wakufungua saa 2 na nusu kufika ndani hamna teller robo saa,teller anakuja anachat kuandaa makaratasi robo saa,anaingia na kutoka tu...ngoja niishie hapa
Ila saul hilo gari sio lakawaida watakua wanahonga sana maana ukimfuata tu utachezea tochi 20
Wanaolalamika speed hao hata mambo yao wanapenda kuchelewa chelewa tu. Muda ni muhimu sana katika dunia ya sasaKwa tuliozaliwa tunaheshimu muda nadhani inauma saana.
Mimi niko On Time Alwayz.
Kwenye muda mwafrika bado sana, nahisi ndio mana tulikuwa wa mwisho kuumbwaMimi nagombana na wewe hapo kwenye muda tu..
Leo nimefika crdb saa 2 wakufungua saa 2 na nusu kufika ndani hamna teller robo saa,teller anakuja anachat kuandaa makaratasi robo saa,anaingia na kutoka tu...ngoja niishie hapa
Ila saul hilo gari sio lakawaida watakua wanahonga sana maana ukimfuata tu utachezea tochi 20
Sipendagi napanda basi alafu basi zingine zinawapita pita tu..Hakuna kero uwahi kutoka stendi afu wa nyuma aje akupite
Huwa namlaumu sana dereva,hakuna maana ya kuwahiSipendagi napanda basi alafu basi zingine zinawapita pita tu..
Abood inayotoka morogoro saa nane hukutwa na sauli ya mbeya maeneo ya mlandizi na kuachwa..Hakuna kero uwahi kutoka stendi afu wa nyuma aje akupite
Kama Sai Baba yale ya zamani wa kwanza kutoka wa mwisho kufika sipandagAbood inayotoka morogoro saa nane hukutwa na sauli ya mbeya maeneo ya mlandizi na kuachwa..
Kwasasa hakuna basi linalotembea zaidi ya speed 85k/h sasa ujanja ni kuwa na engine yenye nguvu yenye kuweza kutembea speed 85 muda wote wa safari
Acha uongo we jamaa! Scania huwa hazifi.. ni kubadilisha oil tu basi.[emoji28][emoji28][emoji28]Hakuna gari pale, zimeishakufa
Kila siku zipo njiani zimeharibika.Acha uongo we jamaa! Scania huwa hazifi.. ni kubadilisha oil tu basi.[emoji28][emoji28][emoji28]
Matuta kwenye hiyo njia yana migongo mipana kiasi ambacho hata bus likifunika, abiria hampati usumbufu!Nakuja kusema tu scania iheshimiwe..
Wazee wa kupita na matuta halafu abiria tumetulia nywii siti za nyuma hatuhisi kitu...tanakatisha mitaa ya iringa huko
Sauli hoyee nimeivulia kofia ile ndege
Wanajua kucheza na matuta