mlima wa mizeituni
JF-Expert Member
- Sep 7, 2019
- 1,387
- 2,444
Itakuwa unazungumzia zile yutong mkuu! Hata pale ilula ilikuwepo moja.. scania hazifi [emoji28][emoji28][emoji28]Kila siku zipo njiani zimeharibika.
Muda huu nakwambia Moja ipo Igawa pale imekufa.
Mara Halali, Mara kule Simambwe.
Gari Mbovu zile.
Scania Rungwe Express Ndugu.Itakuwa unazungumzia zile yutong mkuu! Hata pale ilula ilikuwepo moja.. scania hazifi [emoji28][emoji28][emoji28]
Hahahaha samahani mkuu wangu! Sikukusudia kukukera.. mi natania tu maana ilionekana michina ndo inayokufaScania Rungwe Express Ndugu.
Usinione fala, najua ninachokizungumza.
Aisee, nimekumbuka kisa kimoja nilikiona manyoni, Mtl wakati inaelekea kufa walibakiza gari ya Shy Dar, siku hiyo dereva anaendesha mdogo mdogo abiria wakamkazia kwamba anawachelesha,, wakabishana sana jamaa alivofika manyoni kawaeleza traffic kama analazinishwa na abiria atembee speed kubwa, Askari wakaitisha waliokuwa wanamwambia dereva aendeshe speed hawakutokea, dereva kaambiwa gari itakaa hapa hapa mpaka wapatikaneSipendagi napanda basi alafu basi zingine zinawapita pita tu..
Wala sijamaindi Mkuu, ila ndiyo hivyo hizo hizo Scania z Rungwe zinakufa hovyo barabarani.Hahahaha samahani mkuu wangu! Sikukusudia kukukera.. mi natania tu maana ilionekana michina ndo inayokufa
Aisee, nimekumbuka kisa kimoja nilikiona manyoni, Mtl wakati inaelekea kufa walibakiza gari ya Shy Dar, siku hiyo dereva anaendesha mdogo mdogo abiria wakamkazia kwamba anawachelesha,, wakabishana sana jamaa alivofika manyoni kawaeleza traffic kama analazinishwa na abiria atembee speed kubwa, Askari wakaitisha waliokuwa wanamwambia dereva aendeshe speed hawakutokea, dereva kaambiwa gari itakaa hapa hapa mpaka wapatikane
Ile siku sijui walimalizaje maana tuliwakuta na kuwaacha
Endelea kudanganywa.Kwasasa hakuna basi linalotembea zaidi ya speed 85k/h sasa ujanja ni kuwa na engine yenye nguvu yenye kuweza kutembea speed 85 muda wote wa safari
Niambie basi gani niku pm mwenendo wake toka lilipotoka stendEndelea kudanganywa.
Sitakwambia chochote lkn kuna basi la from Mwz-Dar nilishapanda miezi 2 iliyopita lilikua linatembea mpk 95-100km/h na nilijua hivyo sababu nina app kwny simu yangu ambayo inaonyesha mahali tochi za barabarani zilipo na hua inaonyesha speed ninayotumia(nikiwa na private car).Niambie basi gani niku pm mwenendo wake toka lilipotoka stend
sasa akipiga mzinga huyu hatoki hata kukuSaul inkimbia kweli lakini kaa mbali na Golden Deer ya Tunduma. Kuna dereva wanamwita simba uyo akikuacha mnavotoka Ubungo basi jua kuja kumuona stendi ya Tunduma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo seat ya dereva ina tofauti gani na seat ya forklift? [emoji38][emoji38][emoji38]Mwinuka#SAULI BUS DRIVERView attachment 1794881
Acha uongo mzee,hiyo Sauli ulikuwa unaifata na gar gan,? Usije fananisha speed 50 ya Basi na gari ndogo,,kwasababu gar. Kubwa inamzunguko mkubwa wa tair vivyo hivyo speed 50 ya Basi kutokana na ukubwa wa tair we mwenye gar ndogo unaweza fika speed 60+ili uwe naye mwendo sawa!!,akiwa speed 85 km/h, ww unaweza jikuta unatembea 105+,ko usiaminishe watu uongo aiseeKuna kitu wengi hawakijua, haya mabasi mengi vithibiti mwendo kuna ambao wamewekewa kwenye speed 85, 90, 100 mpaka 120. Lakini pale kwenye dash board unaona inalia kwenye 85km lakini uhalisia ni 100 speed. Nilishawahi kufuata Kilimanjaro, NewForce, na Sauli za Mbeya Dar, speed zao ni 100. SO mt asikudangaye kwamba zote zinatembelewa 80 speed
Pili kuna mchezo wa kubeti, dereva anaweza amua anunue tochi au akubali kulipa fine lakini nia yake awe mbeye ya wote na kufika wa kwanza, so huo ni mchezo mwingine
Tatu madereva wanaachana kwenye sehemu zifuatazo, kwenye 50 wenzanko wanapita na 100 speed, kwenye vituo au stand za mabasi wajanja wanafanya fasta kama abiria ana mzigo anapeleka stand, mfano stand pale Uyole mabasi yakisimama muda ni dk3 ishapotea. Vitu vya kula pia wengi wanatoa dk 10-15.
Hakika kilo 1 ya jiwe ni nzito kuliko kilo 1 ya Pamba.Acha uongo mzee,hiyo Sauli ulikuwa unaifata na gar gan,? Usije fananisha speed 50 ya Basi na gari ndogo,,kwasababu gar. Kubwa inamzunguko mkubwa wa tair vivyo hivyo speed 50 ya Basi kutokana na ukubwa wa tair we mwenye gar ndogo unaweza fika speed 60+ili uwe naye mwendo sawa!!,akiwa speed 85 km/h, ww unaweza jikuta unatembea 105+,ko usiaminishe watu uongo aisee
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Hapo ni kazi kazi mzee Haina kuremba!Hiyo seat ya dereva ina tofauti gani na seat ya forklift? [emoji38][emoji38][emoji38]
Kwasasa hakuna basi linalotembea zaidi ya speed 85k/h sasa ujanja ni kuwa na engine yenye nguvu yenye kuweza kutembea speed 85 muda wote wa safari
Tunawahi mzeeUnasemaje???? !!! Chunguza vizuri mkuu wamesha fanya yao mapema tuu. Juzi natoka Dodoma busi za allys za nwanza zinanikimbiza vibayaaa sana na nipo 120-130 mpaka nikashangaa na sio hao tuu nilipo toka Morogoro!! Aseeee nilishangaa saana ngoma zinakuja zinaomba njia balaa na niko 120 [emoji23][emoji23] na ikikupita unaenda kuikuta labda ikishusha au inatafuta upenyo i overtake lori.
hili swala hata mimi limenitesa sana ila kumbe issue ni kwamba rotation ya tair za gari kubwa ni tofauti na gari ndogo yaaani mzunguko wao mmoja inaeza ikawa ni mizunguko miwili ya vibaby walker kwaiyo 85km/h kidoogo inakuwa imechangamka compared to ya gari yakoUnasemaje???? !!! Chunguza vizuri mkuu wamesha fanya yao mapema tuu. Juzi natoka Dodoma busi za allys za nwanza zinanikimbiza vibayaaa sana na nipo 120-130 mpaka nikashangaa na sio hao tuu nilipo toka Morogoro!! Aseeee nilishangaa saana ngoma zinakuja zinaomba njia balaa na niko 120 [emoji23][emoji23] na ikikupita unaenda kuikuta labda ikishusha au inatafuta upenyo i overtake lori.