Spider-man No way Home Film

Spider-man No way Home Film

Da'Vinci

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2016
Posts
35,812
Reaction score
107,628
Nimeamini ushabiki ni kitu kibaya sana haina utofauti na urahibu wa madawa na pombe.
I'm so soooooooo happy today yaani naumaliza mwaka vizuri Mungu akipenda shukrani za pekee kwake Daisy Skye
FB_IMG_16396620892576072.jpg

Mwezi uliopita CEO wa marvel studios alitangaza kwamba wamebadirisha tarehe ya muvi kadhaa kutoka na zingine zilizotakiwa kutoka 2022 wamezipeleka 2023. Kwa Kweli roho iliniuma kama nimefiwa au nimeibiwa kitu. Anyway nikaona nateseka kwa vitu visivyokua na faida nikapotezea na kumove On.

Duniani napenda sana waigizaji wawili Kit Harrington na Charlie Cox, Charlie aliigiza Kwenye Series ya Daredevil. He is my favorite yaani naweza kuingalia hii series kila siku ajili yake nikawa natamani kweli siku moja arudishwe kucheza character yake ya Matt Murdock maana hii Series ilikua Cancelled.

Nilijua tu soon or later Daredevil itarejeshwa rasmi MCU ila nilipenda Charlie ndio aendelee kuicheza so ili kuweka msisitizo nikaanzisha petition yangu huko Twitter nikawaarifu Walt Disney na Marvel studio juu ya petition yangu.

Mwezi huu December CEO akatangaza kwamba kama Daredevil atahitajika MCU basi ni charlie cox ndio atacheza nafasi hiyo
Screenshot_20211216-112902~2.png


Spoiler Alert 🚫🚫
Hawkeye Ep5 ilipotoka nikamuona Vicent D'onafario yupo nikajua tu na Charlie lazima awepo since Echo ni girlfriend wa Daredevil. Mungu mwema kama walinisikia now Daredevil/Charlie Cox yupo kwenye Spiderman no way home movie as an attorney to spiderman.

Muvi inaachiliwa rasmi 17December, Samahani kwa kuspoil ni vile I'm so excited asee yaani Spiderman wapo watatu kama tulivyodhania, Venom yupo, Kubwa zaidi Strange Supreme rasmi yupo kwa mliotazama series ya What If....? mtakua mnamfaham na atakuwepo kwenye muvi ya Multiverse of Madness.

Aisee naona Weekend haifiki siwezi kuisubiria Torrent kwakweli hii itapendeza kuitaza kwenye Big Screen.
Cc
Super Assassin Richmoto Kushmoto George Betram Chilojnr Kunguru wa Manzese tzniceguy I am Groot Franky Samuel Chachasteven Kingsmann
 
Utakuwa netflix au wajuba hawajauza haki zao?
Hapana mzee Kwa sasa ipo Cinema kwanza baada ya siku kadhaa itawekwa kwenye Chanel za starz kwa walio mambele huko ndio watatazama. Baada ya miezi miwili itakua Disney+ hapo ndio sisi wazee wa torrent tutaipata.
Haina budi kujilipua tu Cinema kama ni shabiki wa kweli

Netflix hawahusiki kwenye kusambaza muvi tena hii ya spiderman hata disney hahusiki ni Sony wenyewe wanaingia mzigono
 
Aisee jamaa unapendaga muvi za aina yako tu tena mixer mikatuni..🤣
But anyway binafsi napenda za wizi like money heist,napenda zakipelelezi kama za James bond a.k.a 007 napenda za kisayansi Kama gravity au life.

Hiyo marvel nikionaga tu hata tangazo lake naona lipicha linalokuja ni miroboti na michawichawi tu🤣
 
Aisee jamaa unapendaga muvi za aina yako tu tena mixer mikatuni..🤣
But anyway binafsi napenda za wizi like money heist,napenda zakipelelezi kama za James bond a.k.a 007 napenda za kisayansi Kama gravity au life.

Hiyo marvel nikionaga tu hata tangazo lake naona lipicha linalokuja ni miroboti na michawichawi tu🤣
Mkuu yaani mnavyoniona wa ajabu kwa kupenda muvi na animation namm nawaona wa ajabu mnavyopenda mpira +Beer, hua najiuliza inakuaje mtu anapata hamu ya bia kabisa na kusema bia tamu????

Nilikua nataka nianze kushabikia mpira ila nimeona huko maumivu nimakali zaidi watu wanajiua kabisa kisa timu zao na kwa jinsi nilivyo nikipenda kitu nazama kabisa yaani I love it with integrity. Napenda Sci-fi movies ndio maana nawapenda Marvels...Halafu kinachovutia zaidi ni mtirirko wa story zao aisee hawa watu wanaakili bwana Bongo muvi sidhani tutawafikia bila miaka 2000kupita .

Someone anayeniuzia movie nilimwambia naona muvi na series zinanimalizia pesa tu bora niache kufuatilia. Akasema bora wewe ukichukua muviz za 5000 unaangalia wiki nzima wakati yeye anasema akienda bar kima vha chini anatumia 20K kwa siku. Sasa umeona bora mm nayependa muvi kuliko wapenda pombe, bora nibaki hukuhuku wengine bila kuvuta bangi hawaoni maisha kama ni kitu😅
 
Mkuu yaani mnavyoniona wa ajabu kwa kupenda muvi na animation namm nawaona wa ajabu mnavyopenda mpira +Beer, hua najiuliza inakuaje mtu anapata hamu ya bia kabisa na kusema bia tamu????

Nilikua nataka nianze kushabikia mpira ila nimeona huko maumivu nimakali zaidi watu wanajiua kabisa kisa timu zao na kwa jinsi nilivyo nikipenda kitu nazama kabisa yaani I love it with integrity. Napenda Sci-fi movies ndio maana nawapenda Marvels...Halafu kinachovutia zaidi ni mtirirko wa story zao aisee hawa watu wanaakili bwana Bongo muvi sidhani tutawafikia bila miaka 2000kupita .

Someone anayeniuzia movie nilimwambia naona muvi na series zinanimalizia pesa tu bora niache kufuatilia. Akasema bora wewe ukichukua muviz za 5000 unaangalia wiki nzima wakati yeye anasema akienda bar kima vha chini anatumia 20K kwa siku. Sasa umeona bora mm nayependa muvi kuliko wapenda pombe, bora nibaki hukuhuku wengine bila kuvuta bangi hawaoni maisha kama ni kitu😅
Mpira mi napenda kombe la dunia tu naona Kama mwakani mbali kinyama!, Bia hapana aisee.. tunafanana baadhi ya vitu ila ndugu yangu Kuna vitu umizidi..😂 but it's your personality nyie ndio akina baba kabwela ama akina wale bwana ndie mwokozi wangu!.

Aisee katika hizo muvi nilizokutajia hapo ni swala la muda tu utakuja kujua umechelewa sana ati niache kuangalia angel has fallen niangalie spider! Au niache London has fallen!. Ujumbe ukikuwa utaacha..😂
 
Hii ni moja kati ya movies za Marvel phase 4 niliyoisubiri kwa hamu kubwa tangu inatangazwa. Nasikitika sitaweza kuiona mpaka mwakani😭 na hasira ya wivu zinazidi kunipanda waliyoiona wanavyokazana kuisifu.
 
Mpira mi napenda kombe la dunia tu naona Kama mwakani mbali kinyama!, Bia hapana aisee.. tunafanana baadhi ya vitu ila ndugu yangu Kuna vitu umizidi..😂 but it's your personality nyie ndio akina baba kabwela ama akina wale bwana ndie mwokozi wangu!.

Aisee katika hizo muvi nilizokutajia hapo ni swala la muda tu utakuja kujua umechelewa sana ati niache kuangalia angel has fallen niangalie spider! Au niache London has fallen!. Ujumbe ukikuwa utaacha..😂
Yaani Mkuu kama watu humu wanashindw wanajisifia kununua malaya na kufanya umalaya na hawaoni noma sasa mimi nione noma kwa lipi kujisifu navyopenda muvi?????
Mm nikipenda kitu hua napenda kweli kweli ndio maana hadi huyo Charlie nimethubutu kumuandikia petition japo sipati faida yoyote.

Mkuu napokuambia napenda muvi sio tu hizi za Marvel hakuna muvi utakayotaja mm sijaitazama. Naamini nichache tu.. napenda muvi zote zisiwe tu za kusikitisha. Nishakua na sitaacha...
 
Aisee jamaa unapendaga muvi za aina yako tu tena mixer mikatuni..[emoji1787]
But anyway binafsi napenda za wizi like money heist,napenda zakipelelezi kama za James bond a.k.a 007 napenda za kisayansi Kama gravity au life.

Hiyo marvel nikionaga tu hata tangazo lake naona lipicha linalokuja ni miroboti na michawichawi tu[emoji1787]
Hahahaha
 
Yaani Mkuu kama watu humu wanashindw wanajisifia kununua malaya na kufanya umalaya na hawaoni noma sasa mimi nione noma kwa lipi kujisifu navyopenda muvi?????
Mm nikipenda kitu hua napenda kweli kweli ndio maana hadi huyo Charlie nimethubutu kumuandikia petition japo sipati faida yoyote.

Mkuu napokuambia napenda muvi sio tu hizi za Marvel hakuna muvi utakayotaja mm sijaitazama. Naamini nichache tu.. napenda muvi zote zisiwe tu za kusikitisha. Nishakua na sitaacha...
We tukipige konyagi wewe..😂
 
Mpira mi napenda kombe la dunia tu naona Kama mwakani mbali kinyama!, Bia hapana aisee.. tunafanana baadhi ya vitu ila ndugu yangu Kuna vitu umizidi..[emoji23] but it's your personality nyie ndio akina baba kabwela ama akina wale bwana ndie mwokozi wangu!.

Aisee katika hizo muvi nilizokutajia hapo ni swala la muda tu utakuja kujua umechelewa sana ati niache kuangalia angel has fallen niangalie spider! Au niache London has fallen!. Ujumbe ukikuwa utaacha..[emoji23]
Infact hata mimi hizi sci-fi movies sizikubali kabisa .

Mimi aina ya movies kama zako ndio nazikubali
 
We tukipige konyagi wewe..😂
Nyie mnashangaa kwakua sio wasomaji wa Comics, mm nimpenzi na ninasoma sana Comics. Ukisoma comics lazima upende hizi muvi na kupenda kwangu comics kulianzia kwenye Majarida ya Sani,Amkeni, Mnara wa Mlinzi, Bongo na Femina/Fema Hip. Yaani hayo majaridi nilikua sikosi enzi hizo sijui yalipotelea wapi
 
Nyie mnashangaa kwakua sio wasomaji wa Comics, mm nimpenzi na ninasoma sana Comics. Ukisoma comics lazima upende hizi muvi na kupenda kwangu comics kulianzia kwenye Majarida ya Sani,Amkeni, Mnara wa Mlinzi, Bongo na Femina/Fema Hip. Yaani hayo majaridi nilikua sikosi enzi hizo sijui yalipotelea wapi
Sawa mcomics na zitakukomics
 
Mkuu yaani mnavyoniona wa ajabu kwa kupenda muvi na animation namm nawaona wa ajabu mnavyopenda mpira +Beer, hua najiuliza inakuaje mtu anapata hamu ya bia kabisa na kusema bia tamu????

Nilikua nataka nianze kushabikia mpira ila nimeona huko maumivu nimakali zaidi watu wanajiua kabisa kisa timu zao na kwa jinsi nilivyo nikipenda kitu nazama kabisa yaani I love it with integrity. Napenda Sci-fi movies ndio maana nawapenda Marvels...Halafu kinachovutia zaidi ni mtirirko wa story zao aisee hawa watu wanaakili bwana Bongo muvi sidhani tutawafikia bila miaka 2000kupita .

Someone anayeniuzia movie nilimwambia naona muvi na series zinanimalizia pesa tu bora niache kufuatilia. Akasema bora wewe ukichukua muviz za 5000 unaangalia wiki nzima wakati yeye anasema akienda bar kima vha chini anatumia 20K kwa siku. Sasa umeona bora mm nayependa muvi kuliko wapenda pombe, bora nibaki hukuhuku wengine bila kuvuta bangi hawaoni maisha kama ni kitu[emoji28]
Kwahiyo wewe 5k una magorofa na yeye 20k pee day hana hata pa kulala eh. Mimi napenda zile muvi za kivita za mapanga shaa like troy, lord of the ring, 300 sparta etc
 
Hapana mzee Kwa sasa ipo Cinema kwanza baada ya siku kadhaa itawekwa kwenye Chanel za starz kwa walio mambele huko ndio watatazama. Baada ya miezi miwili itakua Disney+ hapo ndio sisi wazee wa torrent tutaipata.
Haina budi kujilipua tu Cinema kama ni shabiki wa kweli

Netflix hawahusiki kwenye kusambaza muvi tena hii ya spiderman hata disney hahusiki ni Sony wenyewe wanaingia mzigono
Netflix movies za spider man zipo ila huwa wanachelewa sana kuziweka
 
Hakuna movie ninazozisubiri kwa shauku kubwa kama Spiderman hii na Avatar 2.
 
Back
Top Bottom