Spider-man No way Home Film

Spider-man No way Home Film

Nyie mnashangaa kwakua sio wasomaji wa Comics, mm nimpenzi na ninasoma sana Comics. Ukisoma comics lazima upende hizi muvi na kupenda kwangu comics kulianzia kwenye Majarida ya Sani,Amkeni, Mnara wa Mlinzi, Bongo na Femina/Fema Hip. Yaani hayo majaridi nilikua sikosi enzi hizo sijui yalipotelea wapi

Mkuu mim naomba unipe info hata kwa kifupi kuhusu uhusika wa RONIN katika Hawkeye maana wanamtaja then wananiacha mbali saana 🥲🥲🥲🥲
 
Mnaacha kusubiri mamuvi ya kazi kama haya mnasubiri mamuvi yamekaa kama magemu ya kwenye computer
images - 2021-12-16T203451.301.jpeg
 
Nyie mnashangaa kwakua sio wasomaji wa Comics, mm nimpenzi na ninasoma sana Comics. Ukisoma comics lazima upende hizi muvi na kupenda kwangu comics kulianzia kwenye Majarida ya Sani,Amkeni, Mnara wa Mlinzi, Bongo na Femina/Fema Hip. Yaani hayo majaridi nilikua sikosi enzi hizo sijui yalipotelea wapi

Jana Tar 16 Nilienda Cinema watu walikuwa wengi balaa nahis leo Ijumaa ndio itakuwa kufuru
Movie ilikuwa tamu sana “I won’t spoil a thing” ila kelele kama zote aisee Nenda Cinema maana mle unakutana na wenzako wenye enthusiasm kama yako.

Leo naenda tena kurudia nashukuru niko mzima mpaka kuiona hii spiderman naogopa nkifa sitaona Movie za Marvel
 
Jana Tar 16 Nilienda Cinema watu walikuwa wengi balaa nahis leo Ijumaa ndio itakuwa kufuru
Movie ilikuwa tamu sana “I won’t spoil a thing” ila kelele kama zote aisee Nenda Cinema maana mle unakutana na wenzako wenye enthusiasm kama yako.

Leo naenda tena kurudia nashukuru niko mzima mpaka kuiona hii spiderman naogopa nkifa sitaona Movie za Marvel
mkuu mimi ni mwangaliaji wa movie lakini baada ya ku download kutoka kwenye torrent, hivi kama kuangalia hiyo spiderman no way home, ni shingapi?
 
Jana Tar 16 Nilienda Cinema watu walikuwa wengi balaa nahis leo Ijumaa ndio itakuwa kufuru
Movie ilikuwa tamu sana “I won’t spoil a thing” ila kelele kama zote aisee Nenda Cinema maana mle unakutana na wenzako wenye enthusiasm kama yako.

Leo naenda tena kurudia nashukuru niko mzima mpaka kuiona hii spiderman naogopa nkifa sitaona Movie za Marvel
Hahaaa wee jamaa kama mimi kabisa, yaani hua naomba kabisa Mungu anisaidie nione muvi fulani. Ndio maana Captain marvel ilivyorushwa mpaka 2023 roho iliniuma balaa.
Btw huko mnafanyiwa kiongilio shingapi?? Huku ni 15K
Natamani jumapili niione asee
 
mkuu mimi ni mwangaliaji wa movie lakini baada ya ku download kutoka kwenye torrent, hivi kama kuangalia hiyo spiderman no way home, ni shingapi?
Mkuu huwezi kuipata kwa sasa subiri baada ya miezi 2 ndio unaweza ipata torrent
 
Mkuu mim naomba unipe info hata kwa kifupi kuhusu uhusika wa RONIN katika Hawkeye maana wanamtaja then wananiacha mbali saana 🥲🥲🥲🥲
Je ulishaitazama muvi ya Avangers endgame?? Kama jibu ni ndio basi kwa mujibu wa Comics Ronin ni jina bandia (Alias) linalotumiwa na characters kadhaa kama vile Maya lopez, Alexei Shostakov, Blade, na Pondexter. Mara nyingi Clint alilitumia hili jina pindi laipokua anadeal na Cartel mabalimbali Mexico na Japan.

Ipo hivi, kipindi cha Avangers infinity war Hawkeye alikua kwenye kifungo cha nyumbani for 2years same as Antman, so tukio la Thanos kufuta nusu ya binaadamu yeye alikua hajui hivyo baada ya mke na Watoto na mke wake kufa yeye alijua kwamba itakua ni moja kati ya Cartel alizowahi kuzishambulia ndionzimelipa kisasi so kwenye avanger endgame ndio akavaa uhusika wa Ronin akapita Mexico na Japan kufyeka Cartel zote alizohisi kwamba watakua wameua familia yake...Hivyo kwenye Hawkeye series wanaonyesha na kumsema yule Ronini/Hawkeye wa kwenye avanger endgame.

Btw huyo Pondexter AKA Bullseye yupo kwenye kundi la dark avanger amepose kama hawkeye, kwa waliotazama series ya Daredevil S3 walimuona kwakweli ni moja kati ya supervillain naowakubali hasa uwezo wake wa ku-Recochet risasi na kutumia kila kitu kilichopo mbele yake as weapon. Kweye comics aliua watu wawili walio umbali wa urefu wa kiwanja kwa kutumia Toothpick.
Ngoja niishie hapa, I'm being Nerdy
 
Hawa jamaa "marvel ni next level .....binafsi napenda movies zao coz wanna idea fikirish........ although ni fiction but wanatumia akili sana
 
Nimetoka kuiangalia muda huu hapa Aura ni movie kali ukiachilia Avengers.
 
Daah... Arusha tunapigwa vitu bei kila upande. Maybe Kwakua hamna kumbi nyingi

Labda kwa kuwa mji wa kitaalii whites wengi maana hata jana majiran wang walikuwa whites sana sana hii Cinema ya Aura huwa inajawa na Indians sometimes huwa najihis kama mm ndio mgeni
 
Labda kwa kuwa mji wa kitaalii whites wengi maana hata jana majiran wang walikuwa whites sana sana hii Cinema ya Aura huwa inajaa na Indians sometimes huwa najihis kama mm ndio mgeni
Thanks for info anyway nimeshindwa kusubiri hadi X mass kesho naenda asee hakuna namna
 
Thanks for info anyway nimeshindwa kusubiri hadi X mass kesho naenda asee hakuna namna

Nenda kila la kheri ila stay off social medias hasa hasa YouTube maana spoilers zipo kila kona
 
Nenda kila la kheri ila stay off social medias hasa hasa YouTube maana spoilers zipo kila kona
Situmii fb,situmii Youtube(For 3months now I disabled it), situmii Insta wala Twitter.
Naona mpaka sasa washaingiza Mill100 daah ingekua sio Corona wangepiga 2B
 
Situmii fb,situmii Youtube(For 3months now I disabled it), situmii Insta wala Twitter.
Naona mpaka sasa washaingiza Mill100 daah ingekua sio Corona wangepiga 2B

Corona imewarudisha nyuma wangevunja box office kwa nguvu zote, baki kwa post credit scenes
 
Back
Top Bottom