Jackson94
JF-Expert Member
- Sep 14, 2016
- 492
- 560
Mhhhh!sisi wanahabari tunaojielewa na kuhoji tunatafutwa sana
Wakiitwa wanahabari na wewe unaenda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhhhh!sisi wanahabari tunaojielewa na kuhoji tunatafutwa sana
Haswa.. kichwa hakijahitimisha bali kimeacha wazi mtu asome then alinganishe then inaweza kuwa ndio ama hapana ama hata neno kujipendekeza lisiwepo kabisa.Kichwa cha Makala kinahoji,jibu ni ndio au hapana na inategemea na Uchambuzi wa msomaji.
Kwii kwii kwiii kwiiUmeshatoka kwa DAB kumtafuta Baba wa watoto wako uliotelekezewa??
Hongera Pascal jiwe uliotupa gizani limempata mlengwa na utawashinda .Jiwe mwenyewe mpaka leo ajakujibu swali lako .amekacha sembuse wapambe wake !!Spika Job Ndugai ametoa maagizo kwa Kamati ya Maadili ya Bunge, kumhoji Mwanahabari Pascal Mayalla na Wahariri wa gazeti la Raia Mwema kwa kuandika makala ikiwa na kichwa "Bunge linajipendekeza?"
View attachment 742128
Makala hiyo inayodaiwa kulidhalilisha Bunge ilitoka kwenye toleo la Jumatatu tarehe 9 Aprili 2018.
Taarifa zaidi zinafuata...
Hakuna Adhabu yeyote zaidi ya kutoa hela ili waundaji wa kamati wazipige .Mhe. Ndugai ameapa kula sahani moja na Pascal kwa kuingilia haki za bunge na wabunge kupitia gazeti la Raia mwema.
Adhabu kubwa kupita zote ambayo bunge linaweza kuitoa kwa mayalla koala hili kama likithibika ni ipi ?
Kuleta cheti cha Bibi wa Bibi yakeMhe. Ndugai ameapa kula sahani moja na Pascal kwa kuingilia haki za bunge na wabunge kupitia gazeti la Raia mwema.
Adhabu kubwa kupita zote ambayo bunge linaweza kuitoa kwa mayalla koala hili kama likithibika ni ipi ?
Naaaam,akawapige za uso kulekule.afanye zaidi ya zitto.Kama vipi Pascal Mayalla na yeye atayarishe majibu kama yale ya Zitto Kabwe aliyoyatoaga kwenye ile kamati nadhani ilikua ya maadili mpaka jamaa wakaamua kuahirisha kumuita maana majibu yale yalikua hawayawezi kutoa majibu