Spika aagiza mwandishi Pascal Mayalla na Wahariri wa gazeti la Raia Mwema wahojiwe kwa kulidhalilisha Bunge

Spika aagiza mwandishi Pascal Mayalla na Wahariri wa gazeti la Raia Mwema wahojiwe kwa kulidhalilisha Bunge

Ni matumaini yangu makubwa sana kwamba kupitia hili lililotokea sasa Pascal Mayalla ataukumbuka ule ushauri wangu ' Kuntu ' kabisa wa ' Kitahadhari ' niliompa wiki tatu tu zilizopita japo alinijibu kwa ' Kujiamini ' kabisa lakini alisahau ya kwamba japo Yeye ni Kaka yangu na ' Comrade ' wangu ' Kitasnia ' ila Mimi kidogo nimemzidi upande wa kuwa ' Sungura ' na kuona mbali ( mwenye maono ya hatari ) huku nikiwa nimejaaliwa mno ' machale ' na Mwenyezi Mungu. Pole sana ' Kamarada ' wangu ila yataisha tu usijali.
 
baro Ingawa sijafahamu P. Mayalla aka njaa yupo upande gani kutokana na mabandiko yake Mara Leo huku kesho kule keshokutwa hapa. Ila kwa hili Ndugani ekurupuka, Mayalla ameuliza swali ambalo angetakiwa walijibu au hakuona hyo alama ya kuuliza, avue miwani asome tena vinginevyo hoja yake ya kumchunguza Mayalla haina nguvu labda watumie ubabe wa kumchungua uraia.
 
Tanzania tumezidi kubanana hata pasipohitaji kubanwa. Sasa wananchi wasilalamike wanapoona bunge lao linapoteza mwelekeo? Kwani ukiacha wananchi walalamike unapungukiwa nini? Yaani hata Wakenya wanatuzidi ustaarabu. Hebu waone wakenya walivyofanya mwaka 2013 baada ya wabunge kutaka kujiongezea mishahara.

unnamed.jpg


pigs1.jpg
 
Hii nchi ili iweze kuendelea ni lazima mdudu anaitwa CCM aondoke kwanza. Kenya inapiga hatua baada ya KANU kufa
 
baro Anaefahamu anijuze vipi kuhusu yulemkuu wa mkoa aliwahi kusema wabunge wanalala bungeni alifanywa nini naalipoitwa kwanza alikaidi nini kiliendelea ?
 
Namnukuu"wewe paschal mayalla na kadigirii chako unajiona msomi saaana wakati humu kuna wasomi zaidi yako"sasa najiuliza kwa nini amdharau mwenzake na elimu yake.
 
Ana kadegree kenyewe kamoja halafu anajifanya anajuaaa...... Degree si ni sawa na darasa la pili tu siku hizi.
 
ZAMU YA P. MAYALLA KUCHUNGUZWA UHALALI WA URAIA WAKE...aandandae vyeti vyote vya kuzaliwa kuanzia vya babu mzaa babu yake na vya bibi mzaa bibi yake... kama hana hivi sio RAIA...nawaza tu kwa sauti.
Pia atapimwa Mkojo, Paskal mayala hana raha tena yupo busy anawaza sana
 
Back
Top Bottom