Spika aagiza mwandishi Pascal Mayalla na Wahariri wa gazeti la Raia Mwema wahojiwe kwa kulidhalilisha Bunge

Huu utawala hamna alieye SALAMA' Hata hili bunge linalojipendekeza nalo litakuja kujiukwa wakishakamilisha kazi ya bwana mkuubwa ya kufuta kipengele cha Ukomo wa Ukulu.
 
Mbona kwa Bashite hamkuhoji kazi ya kamati ya maadili?

Swali langu is too general. Only those with high IQ understands it. Hata kwa Mengi niliwahi kuhoji. Wanaingilia kazi mpaka za TCRA.

NA KWA TAARIFA YAKO KAMATI HII HAIJAWAHI KUMHOJI MTU YE YOTE ANAYEITWA BASHITE

Bashite ni nani?
 
Paskali is right. He just criticized, he never incited or insulted anyone. Wabunge tuwachague wenyewe kwa kura zetu kisha tusiwakosoe tunapoona wanakosea? kama kuna watu wanaona chama chao ni muhimu zaidi kuliko maslahi ya nchi hii, basi wawe wanachagua wabunge kupitia huko kwenye chama chao.

Mbona uchaguzi unapofika wanawaleta kwa wananchi? Nimeshangazwa pia kusikia mtu anasema "Huwezi kulichezea bunge..." nafikiri alikuwa na maana "Huwezi kulikosoa bunge" kwa sababu Paskali amelikosoa na wala hakulichea. Yaani imefikia mahali sasa kazi ya sisi wananchi ni kupiga tu kura na kuwachagua, na baada ya hapo hatutakiwi kuhoji chochote? We need progressive, not backward thinking.
 
kama anao ushahidi wa alichokiandika kuhusu ubutu wa bunge la sasa kuna shida gani kuitwa bungeni?
 
Hivi kuambiwa ukweli ni kudhalilishwa? ebo! hebu tuzidi kuiwaambia ukweli hakuna kuogopa. wajue fedha wanazotumia kupoteza muda huko DDM ni kodi zetu!
 
Pole Paskali kwa unayoyapitia kipindi hiki!Mungu akutetee mbele ya watesi wako.
Ukipona kwenye hili bora ukae kimya,uwe kama kunguru mjanja!
 
Hongera Paskali Mayala kwa hatua uliyofikia ya kuitwa kwenye Kamati ya maadili, tukio hili naweza kulifananisha na dhahabu kuingizwa kwenye tanuru la moto mkali, ukitoka utakuwa imara na wa thamani sana machoni mwajamii. Big up.
 
Yaani spika na sekretarieti yake yooooote hawakuiona hiyo alama ya kuuliza (?)?
Sasa hapa tukihoji uwezo wao, je tutakuwa tunakosea??
 
Huyo jamaa kwakujipendekesa Akili ndogo anajiita Mwandishi!
 
Yaani spika na sekretarieti yake yooooote hawakuiona hiyo alama ya kuuliza (?)?
Sasa hapa tukihoji uwezo wao, je tutakuwa tunakosea??
Uwezo wa Ndugai ni mdogo na uwezo wa mtu kiakili hausomewi darasani bali mtu hupewa na Mungu.
Watanzania tunaliletea taifa hasara kwa kuchagua viongozi kwa maslahi binafsi.
Ccm ina viongozi wengi wenye uwezo mkubwa kiuongozi na wangewaletea heshima na kulisaidia jamii, lkn Ndugai kawekwa hapo makusudi ili aburuzwe na serikali ipitishe miswada yake kirahisi kupitia huyu kiumbe dhaifu.
Samwel Sitta alililetea bunge heshima sana
 
Mi nachokijua kuna watu wamekusanyika Bungeni tu wako wanakula kodi za wananchi na kusema Ndiyo
 
Suala ni kwamba Bunge liache kujipendekeza hilo suala la msingi lijitambue kama muhimili kamili kila mtu anajua kwamba bunge linajipendekeza kumbuka uzinduzi wa makinikia washugulike Bungeni nitawashugulikia nje ya Bunge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…