Spika Bunge la Katiba: Mchuano ni kati ya Sitta na Chenge

mawazo yako ni tofauti kabisa na kinacho endelea kule ccm.Kule wana shindana kwa uhodari wa ufisadi.Fisadi zaidi wao ndiyo jembe.Pole sana lakini!
 
Hapa si pahala pa mchezo nikimaanisha huko kwenye bunge, hakuna magamba wala magome ,bunge hili si la kucheka na CCM kwani halihusiani na chama chaowala chama kingine ,hivyo na wao wanatakiwa wawe na heshima la si hivyo patachimbika.

Pachimbike wapi, nchi hii hii iliyojaa mataahira kibao? Mangapi yamefanyika lkn wadanganyika wako kimya tu utadhani mazezeta?! Thubutu!
 
ngoja nikueleweshe ndugu yangu;bunge la katiba siyo la kisiasa ndiyo maana kutakuwa na wajumbe 166 kutoka nje ya bunge hivyo hakutakuwa na kambi rasmi ya serikali au kambi rasmi ya upinzani.

210,hao 166 umetoa wapi, be serious
 
Mbowe pia ni mgombea usisahau hilo nalo.
Kingereza kitasemeka mno, je! atakuwa na uwezo kumudu?
Lissu alidai kuwa Hana elimu ya chuo kikuu wala hawezi kuongea kingereza, kazi hipo!!!
 
Na hawa wabunge wengine wasio na vyama vya siasa watagombea kwa namna gani sasa?

Na ndo maana panahitajika mchakato huru usiotegemea wala kujihusisha na chama, hata asiye mbunge kwa tiketi ya chama naye aweze kugombea.
 

Basi ngoja wahuni waje wametinga kaunda suti na kubeba vi diary na ipad kuchukua mlungula kama wabunge wa katiba hawafamiani vizuri
 
mawazo yako ni tofauti kabisa na kinacho endelea kule ccm.Kule wana shindana kwa uhodari wa ufisadi.Fisadi zaidi wao ndiyo jembe.Pole sana lakini!

Ninyi wahariri Wa Raia Mwema na RAIA Tanzania mtaacha kupokea hongo za sitta na membe? Nyie mawakala Wa kagame hebu kuweni waandishi sio wadaku
 
Hayo majina yamekuwa yakitajwa wapi?
Na ukisema vijana ambao sio wavurugaji ambao ni wavurugaji ni wakina nani? Acha kukurupuka njoo na taarifa kamili,kama huna unaweza kuchangia posts nyingine sio lazima uanzishe na wewe.

Eti zzk!huyu si wa mahakama.
 
ccm wengi wenye akili baada ya kupigwa chenga na muungwana wameshtukia haya mashirikiano yao ambayo huwezi kukumbushia kisheria, wajinga waache wampitishe huyo chaguo la chama, lakini ukweli wa mambo 2015 takrima hiyo haitarejeshwa.
 
in chenge we trust...in 3 goverment we trust...sita ataendesha bunge la katba kishabiki na hawezi pitishwa na uwezo wa chenge katka ufahamu wa sheria ni mkubwa kuliko sta ikumbukwe chenge ni mmoja wa genius wa havard universty

nn amelifanyia taifa licha ya kuwa genius?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…